The hatred, mistrust, future calculations, manipulation, propaganda, unwillingness to forgive and opening up new chapter for the sake of long term solution from our bordering brothers demonstrated in this thread explains why one's ideological identity (just a mental self identity gained during socialization can be dangerous for the health of a nation).
I dont get this unakutana na wakikuyu ambao wapo very friendly towards Tanzanians in foreign land, lakini akija Mkenya mwengine ambae si wa kwao hataki hata ku-socialize nae. Sijawahi kuwajua wanyarandwa with hutu origin (at least by self proclaim), lakini watutsi nimekutana nao na ni very charming and very loyal friends. Halikadhalika kuna watanzania wengi sana wameomba makaratasi ugenini kupitia nchi za rwanda na wanyarandwa (both hutu and tutsi) wengi sana wanafanya kazi as interpreters, sasa ukijifanya wewe mnyarwanda of either tribe na unaongea kiswahili unaitiwa mmoja for verification purposes.
Marejesho ninayosikia ni kwamba wakija hao hawakukatai even better since the interview is in swahili wewe hata ukiongea hivi yeye anarudisha majibu aliyorekebisha yeye kukuwekea sawa, wameshawatoa watu detention ready to be deported, wameshafanya watu wengi wapewe makaratasi mahakamani, wamesha walengesha watu sehemu gani za kwenda wakiwakuta kwenye sector za misaada. So why do you people hate on your own.
Future African leaders need to work on eliminating tribes and all the nonsense that come with its sub cultures, languages and other socialization aspect after that we need to attack religious leaders wenye kiherehere cha siasa or else we will remain vulnerable if we want to see strong nations.
Mwisho watanzania tumechoka kusikia chuki zenu, somebody need to point out this 'Koba' to the local immigration office if he happens to live in Tanzania this dude is full of shyt, calculations and hatred towards our land.