kani mkali
Senior Member
- Dec 18, 2013
- 121
- 64
hata tz mwaka jana km mwez wa nane kuna colonel wa jesh alikua anaitwa selomba alikuja kushtukiwa kuwa ni mnyarwanda wakamkamata lakini akaja akatoroka.."
For this thinking and the whole topic is just tragedy, thanks to people like jmali ...but there's still hope and people will wake up and see the obvious.hata tz mwaka jana km mwez wa nane kuna colonel wa jesh alikua anaitwa selomba alikuja kushtukiwa kuwa ni mnyarwanda wakamkamata lakini akaja akatoroka.."
Haikuhusu! Hii ni forum ya watanzania. Nenda kaongelee kwenye forums za kwenu rwanda (kama mnazo maana no free of speech allowed by the tyrant kagame). Tuacheni na yetu
Huu mjadala haufai tena umejaa chuki na ukabila..kitu kimoja watu waelewe makabila mengi ya mipakani yanaingiliana na ni wamoja sema mipaka ya wakoloni imewagawanya..ikumbukwe pia Rwanda na Burundi na Tanganyika zilikua nchi moja chini ya wajerumani ikiitwa Deutch Ostafrica na hio mipaka imekuja after WW2,tupunguze chuki na jazba sisi wote ni waafrika na afrika ni moja...nimeongea hivi ni baada ya ya kuona chuki dhidi ya watutsi zimezidi mpaka as if wao sio watu na hawana haki na nchi yao,..kuweka picha ya mtu hapa its not fair!!!
So JMarie unataka kusema kuwa Interahamwe ilikuwa group iliyoundwa na Mtutsi (Kajuga, manake i can see this is what you think is the strong argument to support your ideology):Una maana Watutsi waliuana wenyewe kwa wenyewe sio?Kwani Interahamwe lilikuwa kundi gani na lanani hasa ...Interahamwe lilikuwa kundi la wanamgambo wa MRND chama cha kisiasa cha Habyarimana, walipewa mafunzo na silaha kutoka kwa serikali na sio Kajuga:Kajuga alikuwa Interahamwe as a Hutu manake ID yake ilikuwa na Hutu sio Tutsi, ali ficha true ID:Kwenye road blocks ulikuwa unaulizwa kuonyesha ID wakikuta kumeandikwa Tutsi unauawa, kukiwa kumeandikwa Hutu unaendelea:My main concern ni wewe kujaribu kueneza hatred against Tutsi na kutaka kumfanya mTutsi kujisikia guilty popote alipo:Yaani, maovu yaliyofanywa na wahutu NOTE🙁sio wote) yasahaulike, na attention iwe kwa wale waliouliwa:Imagine eti Uraia wa waTutsi..so what???:kwa mantiki yako it is as if hawa niviumbe waliotoka sijui wapi yaani hawana nchi, na hawatakiwi kushika nyadhifa zozote kwenye society just because they are minority, hata huo uminority sijui una statistics umefanya..For you mTutsi hata kama ana uwezo hafai kupewa nafasi kwenye jamii ehh!!hiyo ndio Genocide ideology tunayoiongerea..
Heri ugekuwa unaelewa nani kakupa ushauri huu mwanana usingejibu kwa kiburi!! Mtu makini,mweledi na hasiye kaburu hawezi anzisha thread ambayo yeye binafsi angeweza jisahili na kupata majibu na baadaye ndipo aanze kutafuta maoni ya watu wenye hoja tofauti kuboresha hoja yake.
Swali la kwanza angejiuliza ilikuwa vipi hawa anaowataja ambao wote ni Watutsi wakasambaa ktk nchi zote hizo! Akisha pata jibu akajiuliza ni nani ama tukio gani lilisababisha hawa watu wakatawanyika hivyo! Na baada ya hapo angejiuliza kama ilikua makosa kurudi kwao!
Pengine kumaliza hii hoja yangu ni kwamba GT wa JF tena ktk Jukwaa la Kimataifa baada ya kujiuliza maswali hayo anapaswa aangalie jinsi gani tukio la kishenzi la 1959 ambavyo baada ya miongo kama 3 na nusu limezaa mauaji ya kimbari Rwanda,mauaji makubwa DRC na kudorora kwa amani ktk nchi za Maziwa Makuu!
Na baada ya hapo GT wa JF atoe maoni jinsi gani nchi yetu,afrika na dunia tunaweza epuka na machafuko ya aina hii! Kujadili watu ama jamii fulani kwa chuki zako binafsi hakuwezi saidia jamii yetu kurekebisha makosa ya aina hii!
Huu mjadala haufai tena umejaa chuki na ukabila..kitu kimoja watu waelewe makabila mengi ya mipakani yanaingiliana na ni wamoja sema mipaka ya wakoloni imewagawanya..ikumbukwe pia Rwanda na Burundi na Tanganyika zilikua nchi moja chini ya wajerumani ikiitwa Deutch Ostafrica na hio mipaka imekuja after WW2,tupunguze chuki na jazba sisi wote ni waafrika na afrika ni moja...nimeongea hivi ni baada ya ya kuona chuki dhidi ya watutsi zimezidi mpaka as if wao sio watu na hawana haki na nchi yao,..kuweka picha ya mtu hapa its not fair!!!
mkuu ndiyo maana nimemwuliza mwanzisha hoja kama kweli ni Mtanzania mwenzetu. Lakini nawapa ushauri wa bure Mods wa JF kuangalia kwa makini threads za chuki za aina hii. Nimefanya kazi kwa muda mfupi UN-ICTR,nilikuepo wakati wa ruling ya Media trial ya Jean Bosco Barayagwiza na Hassan Ngeze wamiliki/mhariri wa Kangura na RTLM najua nini nazungumza! Siku uchochezi huu unaoendelea hapa ndani ukizaa matunda msije shangaa mnapelekwa the Hague!
mjadala ulioanzisha lengo hasa ni kitu gani.?
nahisi untumia multiple ID kujijibu na kusambasa siasa za chuki.kabla ya 1940 watusi,wahutu,watwa walikuwa sehemu ya utawala wa ujerumani, na kabla ya hapo kulikuwa na tawala za kiafrika kabla ya Scramble for Africa amabapo mipaka ilichorwa kuigawa africa bila kuzingatia watu waliomo katka sehemu husika.
hoja zako zimepitwa sana na wakati hasa ktk karne hii.
Je unatambua ukiwa na dola laki 5 unapata ukazi marekani na muda mfupi unakuwa raia wa marekani,
Je unatambua ukiwa na euro laki 2 unapata urai nchi ya europe?
usipoteze resources kutandaza chuki ktk mtandao kwa kigezo cha uraia,
Nyerere alitumia muda mwingi kujenga umoja wa africa bila kuzingatia kabila wala udini,ndio maana sasa unaweza kukaa mbele ya pc/ laptop ukasambaza uchuki na ukabila ktk mtandao bila woga,jenga urithi wa amani na utawala bora tanzania na Africa
Huu mjadala haufai tena umejaa chuki na ukabila..kitu kimoja watu waelewe makabila mengi ya mipakani yanaingiliana na ni wamoja sema mipaka ya wakoloni imewagawanya..ikumbukwe pia Rwanda na Burundi na Tanganyika zilikua nchi moja chini ya wajerumani ikiitwa Deutch Ostafrica na hio mipaka imekuja after WW2,tupunguze chuki na jazba sisi wote ni waafrika na afrika ni moja...nimeongea hivi ni baada ya ya kuona chuki dhidi ya watutsi zimezidi mpaka as if wao sio watu na hawana haki na nchi yao,..kuweka picha ya mtu hapa its not fair!!!
mkuu ndiyo maana nimemwuliza mwanzisha hoja kama kweli ni Mtanzania mwenzetu. Lakini nawapa ushauri wa bure Mods wa JF kuangalia kwa makini threads za chuki za aina hii. Nimefanya kazi kwa muda mfupi UN-ICTR,nilikuepo wakati wa ruling ya Media trial ya Jean Bosco Barayagwiza na Hassan Ngeze wamiliki/mhariri wa Kangura na RTLM najua nini nazungumza! Siku uchochezi huu unaoendelea hapa ndani ukizaa matunda msije shangaa mnapelekwa the Hague!
mjadala ulioanzisha lengo hasa ni kitu gani.?
nahisi untumia multiple ID kujijibu na kusambasa siasa za chuki.kabla ya 1940 watusi,wahutu,watwa walikuwa sehemu ya utawala wa ujerumani, na kabla ya hapo kulikuwa na tawala za kiafrika kabla ya Scramble for Africa amabapo mipaka ilichorwa kuigawa africa bila kuzingatia watu waliomo katka sehemu husika.
hoja zako zimepitwa sana na wakati hasa ktk karne hii.
Je unatambua ukiwa na dola laki 5 unapata ukazi marekani na muda mfupi unakuwa raia wa marekani,
Je unatambua ukiwa na euro laki 2 unapata urai nchi ya europe?
usipoteze resources kutandaza chuki ktk mtandao kwa kigezo cha uraia,
Nyerere alitumia muda mwingi kujenga umoja wa africa bila kuzingatia kabila wala udini,ndio maana sasa unaweza kukaa mbele ya pc/ laptop ukasambaza uchuki na ukabila ktk mtandao bila woga,jenga urithi wa amani na utawala bora tanzania na Africa
1. Patrick karegeya: kazaliwa uganda kakulia uganda, kasoma digrii makerere, kaingia jeshini uganda hadi cheo cha luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!
2. James kabarebe: kazaliwa rutshuru congo, kasoma makerere, kawa Chief of military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa cheo cha chief of staff jeshi la Rwanda!
3. Bosco Ntaganda: kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si mRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in congo, bali kinyarwanda tu!
4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.
5. baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.
Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.
Heri ugekuwa unaelewa nani kakupa ushauri huu mwanana usingejibu kwa kiburi!! Mtu makini,mweledi na hasiye kaburu hawezi anzisha thread ambayo yeye binafsi angeweza jisahili na kupata majibu na baadaye ndipo aanze kutafuta maoni ya watu wenye hoja tofauti kuboresha hoja yake.
Swali la kwanza angejiuliza ilikuwa vipi hawa anaowataja ambao wote ni Watutsi wakasambaa ktk nchi zote hizo! Akisha pata jibu akajiuliza ni nani ama tukio gani lilisababisha hawa watu wakatawanyika hivyo! Na baada ya hapo angejiuliza kama ilikua makosa kurudi kwao!
Pengine kumaliza hii hoja yangu ni kwamba GT wa JF tena ktk Jukwaa la Kimataifa baada ya kujiuliza maswali hayo anapaswa aangalie jinsi gani tukio la kishenzi la 1959 ambavyo baada ya miongo kama 3 na nusu limezaa mauaji ya kimbari Rwanda,mauaji makubwa DRC na kudorora kwa amani ktk nchi za Maziwa Makuu!
Na baada ya hapo GT wa JF atoe maoni jinsi gani nchi yetu,afrika na dunia tunaweza epuka na machafuko ya aina hii! Kujadili watu ama jamii fulani kwa chuki zako binafsi hakuwezi saidia jamii yetu kurekebisha makosa ya aina hii!
80% white inaongozwa na Obama(10% black)...kama wewe sio chizi lazima uwe mwehu.
1. Kwanza tuheshimiane, tatizo lenu nyinyi watu mna matusi kibao halafu mnajidai waungwana, ID yangu ni jMali, vinginevyo ukitaka kuniita jean marie ongezea Runiga mwisho! Mbona wewe sikuiti cymoro?
2. Swala la watutsi kuua watutsi sio maneno yangu ni ukweli mtupu (FACTS). kwani huyu kajuga amefungwa kwa sababu gani tofauti na ushiriki wake katika genocide against his own? serikali yenyewe imeshindwa kumlinda because what he did was clear to everybody.
Nyinyi mnasema interahamwe was purely a hutu extremist group. Lakini fact ni kwamba si tu iliongozwa bali hata waanzilishi wake na wafadhili walikuwa watutsi. Kitu ambacho kinavunja vunja maelezo yenu. Ukweli ni kama ulivyoeleza kuwa interahamwe halikuanzishwa kwa minajili ya kuua watutsi, lilikuwa kundi la kisiasa zaidi, lakini baada ya kutunguliwa ndege likabadili muelekeo. Ndio maana ndani yake kuna watutsi pia, ndani ya MRND kulikuwa na watutsi pia. Jambo hili hamtaki kukubali. Nyinyi mnataka kudai kuwa kulikuwa na mgawanyiko ili kusupport invasion ya kagame.
3. Kuhusu thread ya uraia wa watutsi. Nimeonyesha kwa mifano hai juu ya utata wa uraia wao. Kila mtu anaweza kuona wazi hatari ya utata huu. Sioni kivipi unanilaumu, kwani mimi nimelenga watutsi wote, au hao niliowataja? Inawezekanaje mtu afikie ngazi ya kuwa amiri jeshi mkuu msaidizi wa nchi moja halafu aende kuwa waziri nchi nyingine? Mtu awe mwanajeshi wa nchi moja halafu aende kuwa rais nchi nyingine. Hivi jeshi letu sisi likijaa watutsi tutakuwa salama tutakapochokozwa na Rwanda? Tazama jeshi la Museveni NRM robo nzima (1/4) ilikuwa ni watutsi ambao leo ndio serikali ya Rwanda. Wewe kama huoni hatari wapo watu walio-like thread wanajua.
Hiyo concern yako ya kuona kuwa mimi naeneza chuki inatoka wapi? i've simply pointed out few tutsis not the entire tribe (kama ningefanya hivyo nahisi thread ingefutwa na mods). Inakuwaje kusema watutsi wachache kuwe ni vita dhidi ya watutsi wote? Tatizo lenu nyinyi mna inferiority/superiority complex, akisemwa mmoja basi mnaona mmesemwa wote.
Tunajua almost all of Rwanda genocide architects wanatumikia life sentences in Mali prisons,hilo jina lako vipi?Obama was elected democratically. He was not a military chief of a neighbouring country, he did not form an armed group of black people (minorities in america) which attacked America for four years killings scores of white people, and then over-turn the government of America and make himself president! And even now, running against Obama does not lead to you getting shot, or assassinated! You are comparing apples and oranges (as usual).
By the way mmemaliza ile 'home-work' yenu ya kuangalia atachakachuaje katiba ili aendelee kuwa rais post 2017?
80% white inaongozwa na Obama(10% black)...kama wewe sio chizi lazima uwe mwehu.
Obama was elected democratically. He was not a military chief of a neighbouring country, he did not form an armed group of black people (minorities in america) which attacked America for four years killings scores of white people, and then over-turn the government of America and make himself president! And even now, running against Obama does not lead to you getting shot, or assassinated! You are comparing apples and oranges (as usual).
By the way mmemaliza ile 'home-work' yenu ya kuangalia atachakachuaje katiba ili aendelee kuwa rais post 2017?
Tunajua almost all of Rwanda genocide architects wanatumikia life sentences in Mali prisons,hilo jina lako vipi?
Teh teh teh ...hivi kwa akili yako you think I'm taking you serious? Nakuona mwehu tuuhebu jione mwenyewe unavyobadili topiki baada ya kushindwa hoja! usikimbie, kubali kwanza kagame is not obama!
Teh teh teh ...hivi kwa akili yako you think I'm taking you serious? Nakuona mwehu tuu
1. Sihitaji propaganda za ndi Umunyarwanda. Mimi nafahamu tofauti ya mhutu na interahamwe toka kitambo. Nyinyi ndio mnaoamua kutumia maneno haya interchangeably when ever it suits you. Kinachowafanya media zenu (new times rwanda) kumpachika uhutu first lady wetu ni nini, kama sio chuki zenu dhidi ya wahutu? kwani if angekuwa mhutu so what?
Interahamwe imeua watutsi sawa sikatai. Lakini mbona waanzilishi wake walikuwa watutsi, na rais wake alikuwa mtutsi aliyejifanya mhutu na alishiriki kikamilifu kwenye mauaji? Ndiyo amehukumiwa, lakini the question is kwanini ALIONGOZA mauaji dhidi ya watutsi wenzie? what did he have to gain? How many other interahamwe members were actually tutsis pretending to be hutu if rais mwenyewe anayeamua tukachinje nyumba ipi alikuwa mtutsi? Je is it not possible kwamba kwamba ukiacha extremist hutus, interahamwe pia ilijaa watutsi wahalifu waliotumia opportunity ya vita kufanya uhalifu dhidi ya watutsi wenzao (looting, raping etc)? Tatizo badala ya kujibu maswali haya we unaleta matusi. Are these not valid questions worthy to be answered by a great thinker as you pretend to be?
2. "kwetu hakuna uhutu au ututsi": hii imeshaonekana wazi kuwa ni sera yenu wachache ya kuziba watu midomo kuwa minorities mmehodhi madaraka. Nilishatoa mfano kuwa hapa Tanzania haiwezekani litokee kundi la waasi la kihindi lipindue nchi halafu lilete rais mhindi, waziri mkuu mhindi, wakuu wa majeshi wahindi, jeshi lote wahindi, polisi wote, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa idara zote muhimu, mabalozi n.k woooote muhimu wawe wahindi (tena wahindi toka Uganda, sio Tanzania). Unadhani serikali hii ya kihindi ikiweka sheria kali ya kukataza watu kujadili uafrika na uhindi itakuwa ni kwa sababu ya kudumisha umoja wa watanzania au kuendeleza udikteta wao?
Hii sera yenu ingefaa sana kama mngeimplement Arusha accord, lakini mkamtungua ndege ya rais, mkapindua serikali, mkahodhi madaraka, halafu sasa mnadai eti "we are all rwandans" what hypocrisy! The only reason kwa nini hakuna fujo leo ni kwa sababu mna jeshi tu baasi, lakini moyoni watutsi wana woga kwa sababu they know it's just a matter of time kabla wahutu hawajadai haki zao, and it won't be pretty. Let's be honest, tuache propaganda na rhetorics, kilichosababisha mapinduzi ya wahutu miaka ya late 50' ni nini?
Zimbabwe kuna waafrika (majority) na wazungu(minorities, former colonial masters). would it make sense kwa serikali ya ian smith ya wakati ule kudai kuwa eti "there is only one zimbabwe, no african no white"? Hata mwehu angeona kwa nini wanasema hivyo. where is the onness when only one tribe holds all the reigns of power?
Tazama Burundi with its history almost identical to yours (belgians, tutsis and hutus). Mbona watutsi na wahutu huko sasa wanaelewana? waliresolve vipi issues zao? ni kupitia peace talks sio ubabe na ideologies za kifalme za kip.umbavu p.umb.avu.
Wahutu walikuwa tayari kushare madaraka kupitia arusha accord nyinyi mkatungua ndege ya rais wao, mkavamia nchi, mkapindua... leo hii mnashauriwa kufanya mazungumzo na wale wale waliokuwa tayari kuzungumza na nyinyi when they didn't even have to (they were the gov, while you RPA/RPF were external aggressors/terrorists) mnatishia ku-hit watu wanaoshauri (kikwete)!
Even worse, mnatengeneza situation kwa jirani zenu. Watutsi DRC hawafikii hata 1% ya population nzima (congo ina makabila zaidi ya 250 tutsi ni moja wapo tu), lakini mnafadhili vikundi vya waasi, mnapenyeza watu wenu humo kama kabarebe, ntanganda (ex-RPA soldiers) n.k. M23 walishateka Goma na wakatishia kwenda kinshasa kuchukua nchi nzima. Obviously, ingetokea Makenga kapindua DRC, angesema vile vile "there is no tutsi, bemba, baluba...only congolese" angepiga marufuku watu kujadili kuwa you people are less than 1% but control 99%. Leo hii Ntaganda huko ICC anajitetea kwa kinyarwanda, hajui lugha yoyote ya taifa kati ya NNE za DRC! You try to comprehend that!
Topic ni hii,wako wapi hawa ndugu zako dwanzi wewe,hilo jina lako vipi maana kule Bamako mali ndio ndugu zako wananyea debe for life sentences,unakuja kuzuga watu humu na story zako za kutunga..criminal wenzako hao hapo chini wanted by international communityhebu jione mwenyewe unavyobadili topiki baada ya kushindwa hoja! usikimbie, kubali kwanza kagame is not obama!