Uraia wa waTutsi !

jMali

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
8,379
4,899
1. Patrick Karegeya: Kazaliwa Uganda kakulia Uganda, kasoma digrii Makerere, kaingia Jeshini Uganda hadi cheo cha Luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James Kabarebe: Kazaliwa Rutshuru Congo, kasoma Makerere, kawa Chief of Military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa Cheo cha Chief of Staff Jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: Kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si MRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in Congo, bali Kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. Baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.
 
Hiyo nikawaida lakini, mimi naona ungeanza hivi JMALIA MnyaRwanda Mhutu babake kaua watu harafu akapigwa akakimbia nchi sasa anaweweseka kwenye mitandao ya jamii akijifanya raia wa nchi nyingine,just talk and talk umeshindwa na hiyo ideology yako haiwezi kukufikisha popote, by the way hao wa Tutsi unaowachukia hata Tanzania wapo, fika Tabora utaambiwa.
Other wise hata Obama babake ni Mkenya, harafu historia ya nchi ya Rwanda ndio sababu.
Your interest with Rwanda inaonesha wewe sio mu Tanzania.
Tulia ndugu.
Hao uliowaongelea hawakupenda kuzaliwa kwenye hizo nchi, it was bad history created from ethnic ideologies kama hizo zako.
I wish ungekua karibu yangu, nikuzabe kibao.
 
Tafuta historia ya jamaa mmoja anaitwa Bizima Karaha (si jina lake halisi amejaribu kulifanya liwe la kikongo) Yeye alikuwa Minister Uganda, akawa minister Rwanda akawa minister DRC, baada ya kusitukiwa naona akaamua kuanza adventures nyingine.

Wakuu lakini sioni kama ni sahihi kuwadefine wanyarwanda in terms of watutsi na mbaya zaidi kuwadefine in terms of Kagame. Mbona watutsi tulio nao Tanzania hawako ovyo? Mimi naona ovyo ni serikali ya Kigali.
 
JMali,

Ungekuja na list ya wahutu waliozaliwa au kukulia nje ya Rwanda pia basi. Suala si ututsi au uhutu bali ni historia iliyopelekea kwa watu kufukuzwa au kukimbia nchi yao kutokana na chuki na state sanctioned persecution. Hivi unafikiri mauaji ya watutsi yalianza 1994? Wengi wa waliokulia nje (ikiwemo Tanzania) hawakupenda kwa hiari. Ni victims of circumstance.
 
1. Patrick karegeya: kazaliwa uganda kakulia uganda, kasoma digrii makerere, kaingia jeshini uganda hadi cheo cha luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James kabarebe: kazaliwa rutshuru congo, kasoma makerere, kawa Chief of military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa cheo cha chief of staff jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si mRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in congo, bali kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.

Viva papaa JK
 
JMali,

Ungekuja na list ya wahutu waliozaliwa au kukulia nje ya Rwanda pia basi. Suala si ututsi au uhutu bali ni historia iliyopelekea kwa watu kufukuzwa au kukimbia nchi yao kutokana na chuki na state sanctioned persecution. Hivi unafikiri mauaji ya watutsi yalianza 1994? Wengi wa waliokulia nje (ikiwemo Tanzania) hawakupenda kwa hiari. Ni victims of circumstance.

Mkuu Comrade kuna swali ambalo mpaka leo sijui jibu lake. NI kwanini Interhamwe waliwaua watutsi? kwanini hili swali tunakwepa kila mara kutafuta au kueleza majibu yake?

Hawa jamaa machinjachinja tukielewa akili zao ndio tunaweza kudeal nao vizuri, kila siku tunasema watutsi watutsi watutsi, why are we not talking of interhamwe?
 
1. Patrick karegeya: kazaliwa uganda kakulia uganda, kasoma digrii makerere, kaingia jeshini uganda hadi cheo cha luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James kabarebe: kazaliwa rutshuru congo, kasoma makerere, kawa Chief of military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa cheo cha chief of staff jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si mRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in congo, bali kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.

Bado hapa kwetu watakuja kuibuka kwa mtindo huo, unamkuta jamaa kasoma Buguruni akaendelea na shule Ilboru na kadhalika kisha akibanwa sana anakuwa Mnyarwanda.
 
Naomba kueleweshwa Kwani hiyo 1994 aliyeuliwa ni nani kati mhutu au mtusi?

Waliuana pande zote mbili. Watutsi wa RPF waliwaua wahutu wakiwemo marais wawili wahutu wa Rwanda na Burundi (habyarimana na ntaryamira) na upande wa wahutu waliwaua watutsi. Tofauti tu ni kwamba kwa vile watutsi walishika dola waliweza kuhadaa jumuia ya kimataifa na kuwafanya wahutu waonekane kama ndio walioua pekee wakati inasadika kuwa idadi ya wahatu waliouawa na watusi ni kubwa kuliko ile ya watusi iliyouawa na wahahutu.
 
1. Patrick karegeya: kazaliwa uganda kakulia uganda, kasoma digrii makerere, kaingia jeshini uganda hadi cheo cha luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James kabarebe: kazaliwa rutshuru congo, kasoma makerere, kawa Chief of military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa cheo cha chief of staff jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si mRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in congo, bali kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.

Hii ndio jamii forum bwana unapata vitu ambavyo adimu.....haaa haaaa haaa viva Jf!!
 
Watutsi siyo waisraeli weusi, ni jamii isiyokuwa na makazi maalum, ndiyo maana hawawezi kukaa pamoja na hawapajui kwao na hawana lugha yao. hicho kinyarwanda ni lugha ya wahutu. Jews wanakumbukumbu ya nchi yao na wana lugha yao na ukoo wao.
Tanzania wapo wengi lakini wana discipline. hawawezi kufanya umafia wao wa danganya toto. CHEZEA NCHI YA NYERERE WEWE!
 
tafuta historia ya jamaa mmoja anaitwa bizima karaha (si jina lake halisi amejaribu kulifanya liwe la kikongo) yeye alikuwa minister uganda, akawa minister rwanda akawa minister drc, baada ya kusitukiwa naona akaamua kuanza adventures nyingine.

Wakuu lakini sioni kama ni sahihi kuwadefine wanyarwanda in terms of watutsi na mbaya zaidi kuwadefine in terms of kagame. Mbona watutsi tulio nao tanzania hawako ovyo? Mimi naona ovyo ni serikali ya kigali.

kwa taarifa yako watusi ni wahuni kupitiliza mmoja akiolewa kwenu tu familia yenu ni lazima ijae watusi kutoka rwanda na muda si mrefu wanaanza kuwabagua hata ulieoa
 
watutsi siyo waisraeli weusi, ni jamii isiyokuwa na makazi maalum, ndiyo maana hawawezi kukaa pamoja na hawapajui kwao na hawana lugha yao. Hicho kinyarwanda ni lugha ya wahutu. Jews wanakumbukumbu ya nchi yao na wana lugha yao na ukoo wao.
Tanzania wapo wengi lakini wana discipline. Hawawezi kufanya umafia wao wa danganya toto. Chezea nchi ya nyerere wewe!

kwanza kizazi chote cha waisraeli kinatambulika kwao na wengi walisharudishwa kwao lilipoanzishwa taifa la israeli hawa jamaa ni wafugaji wa porini/jangwani na wana mahusiano makubwa na waasi wa kaskazini mwa mali wenye vurugu sana wanaojulikana kama tuaregs.
 

Bado hapa kwetu watakuja kuibuka kwa mtindo huo, unamkuta jamaa kasoma Buguruni akaendelea na shule Ilboru na kadhalika kisha akibanwa sana anakuwa Mnyarwanda.

1. Jina lake limenitoka labda kuna wanaokumbuka hii kesi: tuliwahi kuwa na Balozi wetu Nigeria miaka fulani kumbe Mnyarwanda tulimpomshtukia alienda kwao Rwanda akapewa zinga la cheo kuiwakilisha Rwanda UN!
 
Hiyo nikawaida lakini, mimi naona ungeanza hivi JMALIA MnyaRwanda Mhutu babake kaua watu harafu akapigwa akakimbia nchi sasa anaweweseka kwenye mitandao ya jamii akijifanya raia wa nchi nyingine,just talk and talk umeshindwa na hiyo ideology yako haiwezi kukufikisha popote, by the way hao wa Tutsi unaowachukia hata Tanzania wapo, fika Tabora utaambiwa.
Other wise hata Obama babake ni Mkenya, harafu historia ya nchi ya Rwanda ndio sababu.
Your interest with Rwanda inaonesha wewe sio mu Tanzania.
Tulia ndugu.
Hao uliowaongelea hawakupenda kuzaliwa kwenye hizo nchi, it was bad history created from ethnic ideologies kama hizo zako.
I wish ungekua karibu yangu, nikuzabe kibao.

sio kila thread lazima ujibu.
 
Back
Top Bottom