Uraia wa waTutsi !

Haikuhusu! Hii ni forum ya watanzania. Nenda kaongelee kwenye forums za kwenu rwanda (kama mnazo maana no free of speech allowed by the tyrant kagame). Tuacheni na yetu
Huu ni upuuzi na haufai kuendekezwa
 
Wamakonde wapo TZ,wapo Kenya wapo Msumbiji,hao hawawapi shida!!
Wamasai wapo TZ wapo Kenya,nao pia hamuwaogopi.
Waluo wapo TZ,wapo Kenya,hata hao hawawatishi,
Ila mkisikia MTU ana jina linalofanana na Waganda,Rwanda,Burundi,mnatetemeka,!!?shida nini?
Wenyeji wa Kagera,wanauhusiano wa kinasaba na hayo mataifa,kama wamakonde wa masasi wanavyoelewana na wa Msumbiji,
Acheni kuwashwa jamani,mipaka iliwekwa na wakoroni,hakuna aliyechagua kuwa kwenye mipaka aliyopo
 
Tafuta historia ya jamaa mmoja anaitwa Bizima Karaha (si jina lake halisi amejaribu kulifanya liwe la kikongo) Yeye alikuwa Minister Uganda, akawa minister Rwanda akawa minister DRC, baada ya kusitukiwa naona akaamua kuanza adventures nyingine.

Wakuu lakini sioni kama ni sahihi kuwadefine wanyarwanda in terms of watutsi na mbaya zaidi kuwadefine in terms of Kagame. Mbona watutsi tulio nao Tanzania hawako ovyo? Mimi naona ovyo ni serikali ya Kigali.
Nimesoma, nimeishia kucheka.
 
Tafuta historia ya jamaa mmoja anaitwa Bizima Karaha (si jina lake halisi amejaribu kulifanya liwe la kikongo) Yeye alikuwa Minister Uganda, akawa minister Rwanda akawa minister DRC, baada ya kusitukiwa naona akaamua kuanza adventures nyingine.

Wakuu lakini sioni kama ni sahihi kuwadefine wanyarwanda in terms of watutsi na mbaya zaidi kuwadefine in terms of Kagame. Mbona watutsi tulio nao Tanzania hawako ovyo? Mimi naona ovyo ni serikali ya Kigali.
Huyo dktari Bizima Karaha ( Bizimana Karahamuheto) ni mnyamlenge hakuwahi kuwa waziri Uganda wala Rwanda, isipokua alikuwa FM wa Desire Kabila.
 
Watutsi siyo waisraeli weusi, ni jamii isiyokuwa na makazi maalum, ndiyo maana hawawezi kukaa pamoja na hawapajui kwao na hawana lugha yao. hicho kinyarwanda ni lugha ya wahutu. Jews wanakumbukumbu ya nchi yao na wana lugha yao na ukoo wao.
Tanzania wapo wengi lakini wana discipline. hawawezi kufanya umafia wao wa danganya toto. CHEZEA NCHI YA NYERERE WEWE!
 
Wahutu walikuwa na ndio majority Rwanda (about 84%, mwaka 2009), wakati watutsi ni around 15% na the rest ni watwa. wakoloni waliwapendelea watutsi kwa kuwafanya watawala (soma historia kwa habari zaidi). Ufalme wa kitutsi ulipinduliwa Rwanda miaka ya 1958-59. Na kuundwa mfumo wa kiserekali. Watutsi wa koo za kifalme kama kagame na wengineo walikimbilia uhamishoni kukwepa aibu ya kutawaliwa na 'watumwa' wao wahutu, wakati watutsi wengine waliendelea na maisha Rwanda kama kawaida.

Katika mfumo halali wa kidemokrasia, haikuwezekana tena na hata leo haiwezekani (ingawa kagame amechakachua obviously) given the demographics kwa serikali ya kidemokrasia kujaa watutsi kama ilivyo sasa, wakati wao ni minorities. Kwa hiyo mbinu iliyotumiwa na Kagame ni kuinstigate 'genocide', kwa kuunda jeshi la kitutsi RPA na kuvamia Rwanda kuanzia mwaka 1990 mpaka 1994. Ukitafuta habari zaidi utaona kuwa actually Habyarimana ndio alizuia wahutu wasilipize kisasi kwa watutsi kutokana na mauaji ya waasi hawa wa kitutsi. Yeye ndio alikuwa kama breki iliyozuia mauaji. Habyarimana alifikia makubaliano ya kushare madaraka na hawa 'waasi' wa RPA kupitia Arusha Accords (kama unakumbuka) for the sake of peace mwaka 94.

Sasa tatizo kwa watutsi wafalme kama Kagame likawa kama nilivyosema kuwa hawataweza kuchukua nchi nzima kurudisha ufalme wao. Katika mfumo wa demokrasia, lazima baada ya muda uchaguzi huru utafanyika na serikali itandelea kuwa ya wahutu kwa sababu simply ndio majority, kama ambavyo hapa Bongo hata wahindi wafanyaje hawawezi kuwa majority katika uongozi(rais, mawaziri, ukuu wa mikoa, ubunge, wilaya, wakurugenzi...)! Unless...they have a dictator like PK. Pia kumbuka vile vile kulikuwa na swala la Kagame kushitakiwa kwa mauaji (ambayo sijui kwa nini hayaitwi genocide against hutus, given jeshi la RPA lilikuwa la kitutsi) waliyofanya kwa miaka minne toka 1990 kutokea Uganda.
Hapo ndipo alipomtungua Habyarimana, akijua fika kuwa baadhi ya wahutu watakosa uvumilivu na kuingia mtaani kusaka just any tutsi regardless, na yeye kupata kisingizio kuwa anavamia Rwanda sasa ili kuokoa watutsi wenzie kutokana na 'genocide'. Ndio maana akaweka watu kama Robert kajuga na wenzie kuongoza na kuchochea interahamwe kuchinja watutsi wenzao huku wakijifanya wao ni wahutu ili kukoleza dhana ya genocide apate uhalali wa kuingia Rwanda. Lakini kiukweli majority ya wahutu ilikuwa kama yule bwana wa Hotel Rwanda, sio wauaji by nature! Ndio maana nikasema kuwa genocide against tutsis ni concept ya kutungwa na kagame. Kuna tofauti kati ya genocide na mass-killings (kama great thinker nenda ka-research). Ni kweli waliuawa baadhi ya watutsi na raia wa kihutu but it was never under genocide, sana sana labda kisasi tu.

Waliouawa wengi ni wahutu waliokuwa wana-defend nchi yao isipinduliwe na jeshi la kitutsi la RPA, lakini leo hii mafuvu yao yote Kagame analazimisha yawe ni ya watutsi tu ili kuendelea na dhana yake ya genocide!
Na vile vile analazimisha kuwa FDLR ambayo ni mabaki ya jeshi la serikali halali ya Habyarimana kuwa nao wote ni ma-genocidaire, badala ya kusema ukweli kuwa wao waliuwa waasi wa RPA ambao ni watutsi na sio watutsi kwa sababu ni watutsi. Ingekuwa hivyo kusingekuwa na watutsi Rwanda mpaka 1994, baada ya mapinduzi ya wahutu 1958! lakini ukweli ni kuwa watutsi waRwanda toka enzi hizo mpaka leo majority yao dunia nzima wako Rwanda! Hii inatosha kuthibitisha kuwa chuki dhidi ya watutsi ni concept ya kutungwa tu.

Rusesabagina the hero of hotel Rwanda, ndio yale yale niliyosema kuwa huyu alikuwa mhutu (tena mmoja wapo tu kati ya majority) ambaye aliwahifadhi watutsi wasiuwawe na BAADHI ya wahutu wachache wenye hasira kali. This guy was a normal Hutu, kama wahutu wengine. kagame anamchukia kwa sababu anaharibu version yake ya 'genocide'! anaonyesha kuwa kumbe hakukuwa na simply vita kati ya wahutu na watutsi, bali vita kati ya wanyarwanda (wahutu+watutsi) vs jeshi la waasi wa kitutsi toka Uganda!

Tufanye chemsha bongo: Baada ya siku 100 toka kutunguliwa kwa ndege ya Habyarimana kulikuwa na maiti milioni moja.
Kagame alikuwa na jeshi la watutsi lenye bunduki na risasi wakipigana na jeshi la Rwanda then (ambalo leo ni FDLR). How is it possible kuwa wahutu wa kawaida wameua watutsi millioni moja in that short period of time (just 100 days) wakitumia majembe na mapanga huku wamebeba watoto migongoni, mbuzi, bata, magodoro, n.k wakikimbilia ukimbizini Tanzania, Congo.. na kwingineko? Common sense ni kuwa kuua watu milioni moja in 100 days kunahitaji bunduki, na given kuwa katika kila 10 watu 8 ni wahutu. na kama wahutu ndio waliokuwa wanakimbia wauaji wa RPA under Kagame, na basi hayo mafuvu milioni majority yake ni wahutu!
Ndio maana kuhojihoji utata wa genocide unafungwa mara mbilimbili kama victoire ingabire! Na kuongea amani na FDLR kama Kikwete unatishiwa kupigwa hata kama wewe Rais!
Umechambua vzr
 
1. Sihitaji propaganda za ndi Umunyarwanda. Mimi nafahamu tofauti ya mhutu na interahamwe toka kitambo. Nyinyi ndio mnaoamua kutumia maneno haya interchangeably when ever it suits you. Kinachowafanya media zenu (new times rwanda) kumpachika uhutu first lady wetu ni nini, kama sio chuki zenu dhidi ya wahutu? kwani if angekuwa mhutu so what?
Interahamwe imeua watutsi sawa sikatai. Lakini mbona waanzilishi wake walikuwa watutsi, na rais wake alikuwa mtutsi aliyejifanya mhutu na alishiriki kikamilifu kwenye mauaji? Ndiyo amehukumiwa, lakini the question is kwanini ALIONGOZA mauaji dhidi ya watutsi wenzie? what did he have to gain? How many other interahamwe members were actually tutsis pretending to be hutu if rais mwenyewe anayeamua tukachinje nyumba ipi alikuwa mtutsi? Je is it not possible kwamba kwamba ukiacha extremist hutus, interahamwe pia ilijaa watutsi wahalifu waliotumia opportunity ya vita kufanya uhalifu dhidi ya watutsi wenzao (looting, raping etc)? Tatizo badala ya kujibu maswali haya we unaleta matusi. Are these not valid questions worthy to be answered by a great thinker as you pretend to be?

2. "kwetu hakuna uhutu au ututsi": hii imeshaonekana wazi kuwa ni sera yenu wachache ya kuziba watu midomo kuwa minorities mmehodhi madaraka. Nilishatoa mfano kuwa hapa Tanzania haiwezekani litokee kundi la waasi la kihindi lipindue nchi halafu lilete rais mhindi, waziri mkuu mhindi, wakuu wa majeshi wahindi, jeshi lote wahindi, polisi wote, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa idara zote muhimu, mabalozi n.k woooote muhimu wawe wahindi (tena wahindi toka Uganda, sio Tanzania). Unadhani serikali hii ya kihindi ikiweka sheria kali ya kukataza watu kujadili uafrika na uhindi itakuwa ni kwa sababu ya kudumisha umoja wa watanzania au kuendeleza udikteta wao?

Hii sera yenu ingefaa sana kama mngeimplement Arusha accord, lakini mkamtungua ndege ya rais, mkapindua serikali, mkahodhi madaraka, halafu sasa mnadai eti "we are all rwandans" what hypocrisy! The only reason kwa nini hakuna fujo leo ni kwa sababu mna jeshi tu baasi, lakini moyoni watutsi wana woga kwa sababu they know it's just a matter of time kabla wahutu hawajadai haki zao, and it won't be pretty. Let's be honest, tuache propaganda na rhetorics, kilichosababisha mapinduzi ya wahutu miaka ya late 50' ni nini?

Zimbabwe kuna waafrika (majority) na wazungu(minorities, former colonial masters). would it make sense kwa serikali ya ian smith ya wakati ule kudai kuwa eti "there is only one zimbabwe, no african no white"? Hata mwehu angeona kwa nini wanasema hivyo. where is the onness when only one tribe holds all the reigns of power?

Tazama Burundi with its history almost identical to yours (belgians, tutsis and hutus). Mbona watutsi na wahutu huko sasa wanaelewana? waliresolve vipi issues zao? ni kupitia peace talks sio ubabe na ideologies za kifalme za kip.umbavu p.umb.avu.
Wahutu walikuwa tayari kushare madaraka kupitia arusha accord nyinyi mkatungua ndege ya rais wao, mkavamia nchi, mkapindua... leo hii mnashauriwa kufanya mazungumzo na wale wale waliokuwa tayari kuzungumza na nyinyi when they didn't even have to (they were the gov, while you RPA/RPF were external aggressors/terrorists) mnatishia ku-hit watu wanaoshauri (kikwete)!

Even worse, mnatengeneza situation kwa jirani zenu. Watutsi DRC hawafikii hata 1% ya population nzima (congo ina makabila zaidi ya 250 tutsi ni moja wapo tu), lakini mnafadhili vikundi vya waasi, mnapenyeza watu wenu humo kama kabarebe, ntanganda (ex-RPA soldiers) n.k. M23 walishateka Goma na wakatishia kwenda kinshasa kuchukua nchi nzima. Obviously, ingetokea Makenga kapindua DRC, angesema vile vile "there is no tutsi, bemba, baluba...only congolese" angepiga marufuku watu kujadili kuwa you people are less than 1% but control 99%. Leo hii Ntaganda huko ICC anajitetea kwa kinyarwanda, hajui lugha yoyote ya taifa kati ya NNE za DRC! You try to comprehend that!
Duuuh umechambua
 
1. Patrick Karegeya: Kazaliwa Uganda kakulia Uganda, kasoma digrii Makerere, kaingia Jeshini Uganda hadi cheo cha Luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James Kabarebe: Kazaliwa Rutshuru Congo, kasoma Makerere, kawa Chief of Military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa Cheo cha Chief of Staff Jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: Kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si MRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in Congo, bali Kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. Baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.
Watutsi ni kama WAYAHUDI......

Tunapotoa URAIA VYOMBO vyetu vifanye VETTING YA KUTOSHA KWENYE BAADHI YA NAFASI ZA UONGOZI NA KWENYE VYOMBO.....

Hawa watu HAWAAMINIKI
 
umesahau pia kagame alikuwa mkuu, chief of millitary inteligency wa jeshi la Uganda ( uganda people's Defence Force )

sasa hivi ni rais wa Rwanda,yani hawa watu siwaelewi,Tanzania inabidi tuwe makini
Kumbe money stunna huko active tu. Last seen October 2022
 
1. Patrick Karegeya: Kazaliwa Uganda kakulia Uganda, kasoma digrii Makerere, kaingia Jeshini Uganda hadi cheo cha Luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James Kabarebe: Kazaliwa Rutshuru Congo, kasoma Makerere, kawa Chief of Military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa Cheo cha Chief of Staff Jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: Kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si MRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in Congo, bali Kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. Baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.
Rip Karegeya...

Huyo Ntaganda (Terminator) kawasumbua mno raia wa Drc bora afungwe tu.
Moronight walker mtu chake
 
1. Patrick Karegeya: Kazaliwa Uganda kakulia Uganda, kasoma digrii Makerere, kaingia Jeshini Uganda hadi cheo cha Luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James Kabarebe: Kazaliwa Rutshuru Congo, kasoma Makerere, kawa Chief of Military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa Cheo cha Chief of Staff Jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: Kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si MRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in Congo, bali Kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. Baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.
The real great thinking. Hii post inanifurahisha sana
 
1. Patrick Karegeya: Kazaliwa Uganda kakulia Uganda, kasoma digrii Makerere, kaingia Jeshini Uganda hadi cheo cha Luteni. Mpaka hapo ungemuuliza uraia si angedai yeye Mganda halisi kabisa huyu? wait for it; baada ya kagame kupindua serikali halali ya Rwanda, ghafla this guy akawa HEAD OF EXTERNAL INTELLIGENCE katika jeshi la ulinzi la Rwanda!

2. James Kabarebe: Kazaliwa Rutshuru Congo, kasoma Makerere, kawa Chief of Military Congo, alipofukuzwa kazi kakimbilia Rwanda, huko akazawadiwa Cheo cha Chief of Staff Jeshi la Rwanda!

3. Bosco Ntaganda: Kazaliwa Rwanda, kapigana vita vya 94 akiwa na Kagame kupindua serikali ya Habyarimana, huyu si MRwanda kabisa huyu? wait for it; sasa hivi anajibu mashtaka Hague, akidai yeye ni Mcongo kabisaaaaaaaaaaaa! lakini hazungumzi kifaransa, lingala wala lugha yoyote native in Congo, bali Kinyarwanda tu!

4. Laurent Nkundabatware: huyu naye supposedly ni Mcongo, lakini haieleweki ilikuwaje akajoin jeshi la kagame RPF mwaka 94. baada ya kufanya makosa ya kihalifu sasa anahifadhiwa RWANDA kama "special guest". Kwa nini Rwanda inamhifadhi mhalifu wa kivita anayetakiwa nchi nyingine bila sababu, hakuna anayejua.

5. Baba lao Paul Kagame mwenyewe kakulia Uganda toka ana miaka 3 naona hata kuongea alijifunzia Uganda, kawa askari wa Uganda na hata hapa Bongo alikuja kutrain akiwa kama mganda, leo hii....Rais wa Rwanda.

Aliyebuni operesheni kimbunga anastahili pongezi sana.
Je Joseph kabila😀
 
NAHITAJ NIMJUE ZAIDI HUYU BIZIMA KARAHA
Tafuta historia ya jamaa mmoja anaitwa Bizima Karaha (si jina lake halisi amejaribu kulifanya liwe la kikongo) Yeye alikuwa Minister Uganda, akawa minister Rwanda akawa minister DRC, baada ya kusitukiwa naona akaamua kuanza adventures nyingine.

Wakuu lakini s
 
Back
Top Bottom