Ndugu
ndonya1 Nimeamua kukumention badala ya kuquote kwa kuwa nimeona itakuwa gazeti juu ya gazeti. Sina shaka unafahamu ni post gani ninakujibu.
Kwanza nikushukuru kwa kujadili bila jazba. Sio watu wengi wanaosapoti Rwanda/kagame wana attitude ya kuongea kwa hoja kama wewe. Nimejitahidi kujibu kwa kadiri ninavyoweza kama unavyojua huu mjadala ni mrefu hivyo nimefupisha baadhi ya mambo, natumaini references/sources zitajieleza kwa zaidi.
UTETEZI WA THREAD:
Hakuna mtu ana tatizo na kusambaa kwa watutsi Afrika mashariki. Hivyo sielewi kwa nini kila saa nakumbushwa historia ya walisambaa vipi. Swali sio kwa nini kuna watutsi nchi zote EAC. Thread inajieleza yenyewe kuwa tatizo ni undumilakuwili wa baadhi ya watutsi wanaotumia kusambaa kwao kama mtaji wa kuchukua madaraka kinyume na sheria.
Of course sina control na watu wanaochangia mjadala huu kinyume na malengo mfano kupost picha za watu, chuki binafsi n.k. Ma-mods wako kwa ajili hiyo. Mimi nimejadili facts tena nimewaandika kwa majina, sijahukumu kabila lote. Nimetoa mfano: Bosco Ntaganda, Laurent Nkunda na sultani makenga walipigana vita vya 94 kama askari wa paul kagame chini ya RPA wakitetea Rwanda. Leo wao ni wacongomani kivipi? Kilichowafanya wapigane vita hivi ni nini hali wao si wakimbizi wa Rwanda bali raia halali wa congo? Ni pan-africanism au simply ni ututsi wao. Huo ni mfano tu.
Tatizo hapa ni kuwa watu kama wewe mnanipachika hutu-power ideology na uinterahamwe ili mjibu maswali ambayo tayari majibu yake mnayo na si yale ambayo yanaulizwa. Na hivyo kubadilisha thread iwe mnavyotaka nyinyi.
GENOCIDE OR NOT?:
The real news was that ALL of the top Rwandan military officers, including the supposedly infamous Colonel Bagosora, were found not guilty of conspiracy or planning to commit genocide. And Gen. Gratien Kabiligi, a senior member of the general staff was acquitted of all charges! The others were found guilty of specific acts committed by subordinates, in specific places, at specific times - not an overall conspiracy to kill civilians, much less Rwandan-Tutsi civilians.
This raises the more profound question: if there was no conspiracy and no planning to kill ethnic civilians, can the tragedy that engulfed Rwanda properly be called a genocide at all? Or, was it closer to a case of civilians being caught up in war-time violence, like the Eastern Front in WWII, rather than the planned behind-the-lines killings in Nazi death camps? The ICTR judgment found the former. Source: Jurist forum
Debate yangu ipo kwenye neno genocide sio vile vifo. Kwa ujumla nakubali kulikuwa na genocide against Tutsis on those 100 days, kwa hiyo ili tusilumbane katika hili kuanzia sasa nitajadili nikitumia genocide exactly kama unavyotafsiri wewe ili twende sawa.
IDADI NA TAKWIMU YA WAHANGA:
Sensa
rasmi ya serikali kufanyika Rwanda kabla ya genocide ya 1994 ilifanyika mwaka 1991. Sensa hii inasema idadi ya watutsi wote Rwanda ilikuwa 596,400, au 8.4% ya wanyarwanda wote wakati huo. Hivyo logically haiwezekani uwe na vifo kuanzia 800,000 hadi millioni vya watutsi mwaka 1994, miaka mitatu tu baadae. Maana yake utakuwa umemaliza watutsi wote, ambao wangebaki wangekuwa watoto wa miaka 3 tu yaani waliozaliwa baada ya sensa.
Baada ya kuingia madarakani serikali ya Kagame ilinyofoa vipengele vyote vya asilimia za wahutu na watutsi na sasa haichapishi asilimia au idadi kamili za wahutu na watutsi badala yake inachapisha idadi ya jumla tu. Yenyewe imeweka jumla ya watu 7,148,496 mwaka 1991.
Source:
National Institute of statistics Rwanda. Hivyo hii 8.4% unaweza kuipata kutoka vyanzo vingine huru. Vya kwangu baadhi ni hivi hapa:
- Monbiot takes issue with our claim that the "great majority of deaths were Hutu", and calls this "as straightforward an instance of revisionism as I've ever seen". But Rwanda's 1991 census estimated the Tutsi population at 600,000, and some 300,000 Tutsi survived the violence of 1994. Whether 800,000 or 1 million people perished, the great majority of deaths must have been Hutu. The standard account of the "Rwandan genocide" is monumentally flawed. We also cite a 1994 US state department memo that Kagame's forces were killing "10,000 or more Hutu civilians per month" source: the guardian uk.
- (prof Congleton, prof Hillman, prof konrad; 40 years research on rent seeking2: rent seeking in practice. springer-verlag berlin Heidelberg; 2008, pg 193).
- There are an estimated 300,000 survivors of the Rwandan genocide source: Rwandan survivors.
Mwaka 2005, jumuiya ya wahanga wa genocide wa kitutsi inayoitwa Ibuka ilifanya sensa ya nyumba kwa nyumba kupata idadi ya watutsi waliokufa kwenye genocide. Zoezi hili lilipata Baraka za serikali, lilikuwa wazi na lilitangazwa sana kwenye media ili wananchi watoe ushirikiano. Walipata idadi ya vifo vya watutsi 355,745 tu! Kwa maana nyingine kila mwaka, ikifika ile siku ya maazimisho ya genocide, watutsi waliofiwa, wanaadhimisha vifo vya ndugu zao 355,745 tu si zaidi ya hapo! Serikali ya Kagame ikakataa kuchapisha matokeo haya (lakini ripoti ilivuja). Chanzo cha habari hii si cha kuaminika sana lakini kuna facts mbili ambazo hazina utata; moja, sensa hii ilifanyika hili halina ubishi, pili; matokeo yake yalizuiwa kutolewa.
Source:
proxylake. Ukijumuisha na data za kuaminika za sensa idadi hii inamake sense.
Quote: The Rwandan gov of the RPF prefers to maintain this confusion. That is why it has refused to reveal the number of dead Tutsis and dead Hutus. It prefers things blurred so the world does not know the extent of massacres committed against the Hutu by the RPF and to inflate the number of Tutsi victims. It is necessary to note that the census of the population organized under the supervision of the UN (UNDP, UNFAP, CEA) and with the aid of countries such as the USA and Canada that terminated on the
15[SUP]th[/SUP] of August, 1991 fixed the total number of Tutsis in the country
at 8.4% of the population of 7,099,844 persons. Thus, the numbers that suggest that the entire Tutsi population was massacred between April and July 1994 are simply fantasies.
Source: The New World Order Ideology and Africa, Tatah mentah, 2010, pg242.
Conclusion: Serikali ya Kagame kwa makusudi haitaki wahutu wahesabu watu wao waliokufa kwa sababu kwa mahesabu ya vifo 800,000 mpaka milioni, wahutu watakuwa zaidi ya 400,000 au angalau nusu ya wahanga wa genocide. Ndio maana sasa badala ya kuitwa Rwandan genocide sasa inalazimishwa kuitwa genocide against Tutsis! Ili iwe kosa kuhesabu wahutu nao kama wahanga wa genocide. Kama watutsi wenyewe waliofiwa wanaomboleza vifo chini ya laki nne, hao kadiri ya laki nne mpaka 6 wengine ni akina nani? Serikali inajuaje kuwa hawa ni watutsi bila ushahidi wowote?
But the recent volume of supposed 'Genocide Deniers Inc.' includes articles by some very accomplished and highly respected Rwanda scholars, including professors David Newbury, Catherine Newbury, and Dr. Scott Strauss. None of these accomplished academics have ever previously fallen anywhere near the category 'genocide deniers'.
source: Pentagon releases satellite photos of 94 genocide
KUWAPO KWA MAJESHI YA KAGAME KIGALI KABLA YA GENOCIDE:
Officially RPA ilikuwa na 600 armed troops katikati ya Kigali kabla ya genocide kama sharti mojawapo la mazungumzo ya Arusha. Namba hii haina ubishi. Hivyo si kweli kama ulivyoeleza kuwa RPA ilianza kuingia Rwanda baada ya Genocide kuanza. RPA tayari ilikuwa mjini Kigali wakati huo. Unofficially RPA ilikuwa na 4000 troops, kwani walikuwa wanaingia kinyemela kinyume na makubaliano rasmi.
source:
Paul Mugabe Former Intelligence Officer of the Department G2 of National Gendarmerie (Rwandan Patriotic Army).
RPF ILIKATAA MSAADA HIVYO KUFANYA GENOCIDE IENDELEE:
RPF ilikataa msaada wa UN kuleta vikosi ili kusimamisha mauaji badala yake iliendelea na mapigano ili kuteka nchi nzima. Hivyo idadi kubwa ya watu ingeweza kupona kama si tamaa ya Kagame kuwa rais.
When the Security Council discussed sending a larger peacekeeping force to Rwanda with a broader mandate to protect civilians, the RPF feared that the force might interfere with its goal of military victory. Its leaders may have been particularly concerned that the French might use the force to protect the interim government. Instead of welcoming the move and urging speedy implementation, the RPF spokesman in Brussels opposed it and asserted that there were no more Tutsi to be saved.
On April 30, Gerald Gahima and Claude Dusaidi of the RPF political bureau reiterated this position in a slightly less forceful statement which declared:
The time for U.N. intervention is long past. The genocide is almost completed. Most of the potential victims of the regime have either been killed or have since fled.
Source: Human rights watch.
http://www.hrw.org/reports/1999/rwanda/Geno15-8-03.htmhttp://www.hrw.org/reports/1999/rwanda/Geno15-8-03.htm
KUHUSU JEAN KAMBANDA, BAGOSORA NA WENGINEO:
Jean Kambanda amekuwa mtaji mkubwa wa serikali ya Kagame katika suala hili la Genocide. Naomba upitie sources zifuatazo ili kuona hukumu yake ilikuwaje.
..This lawyer then tricked him into agreeing to plead guilty. He thought he was only pleading guilty to
political responsibility for any actions his government took during the events of 1994 and was not a confession to a criminal act as such and he did not understand it to be a confession to war crimes or genocide.
source:
AllAfrica;
proxylake-kambanda
Kesi yake huyu haina tofauti na kesi nyingine za kubambikiwa watu waliokuwa chini yake ambazo mahakama ya ICTR inazitupilia mbali.
Mfano angalia mwanajeshi Gratien kabiligi alishitakiwa kwa: conspiracy to commit genocide; genocide; complicity in genocide; and murder, rape, persecution, extermination and inhumane acts as crimes against humanity. Additionally, Kabiligi is charged with the killing of civilians and outrages upon personal dignity as serious violations of Common Article 3 (Geneva Conventions).
Lakini matokeo yake mahakama ikamuona hana hatika kwa YOTE na kumuachia HURU.
Source:
Hague Justice portal. Sikatai kuwa makosa yalifanyika lakini hili la kupanga genocide sasa linazidi kudhihirika kuwa ni uzushi.
Nakunukuu: uchunguzi wangu umebaini ni jeshi zima la rwanda likiongozwa na
Theoneste Bagosora lilihusika sio tu kuua,bali kupanga mauaji hayo siku nyingi kabla ikiwemo kuanda list ya watu wote
Hapa naomba kupishana na wewe, mahakama ya ICTR imekanusha na kumuondolea shitaka la kuwa Genocide ilipangwa:
There is no finding or sufficient evidence that Bagosora ordered or authorised any of the killings for which he was found to bear superior responsibility. He is solely held responsible for failing to prevent crimes committed by his subordinates over a period of 65 hours during which he had effective control. As a consequence, a majority of judges approved a reduction of his sentence from life to 35 years.
source:
rnw.
http://www.rnw.nl/international-justice/article/ictr-rwandan-genocide-no-master-plan-long-versionhttp://www.rnw.nl/international-justice/article/ictr-rwandan-genocide-no-master-plan-long-version Vile vile nadhani hakuna ubishi kuwa kuna baadhi ya FDLR walirudi na kuwa integrated na serikali ya Rwanda bila kushitakiwa. Kwa hiyo hapa napingana na ule msimamo wako kuwa jeshi zima lilihusika katika mauaji.
MWISHO:
Kwa maoni yangu inabidi kuwe na justice ya ukweli katika suala la genocide. Justice hii inatakiwa kujumuisha RPF/RPA kwa makosa yao ya mwaka 1990 na kuendelea post july 94 kwa kuua wakimbizi wa kihutu katika makambi nchini congo vile vile.
Kwa kuanzia tu inabidi vile vile iangaliwe hali hii ambayo marekani inai-describe kama ifuatavyo:
"Analysis of the ethnic breakdown of the current Rwandan government shows Tutsis hold a preponderant percentage of senior positions. Hutus in very senior positions often hold relatively little real authority, and are commonly twinned with senior Tutsis who exercise real power. The military and security agencies are controlled by Tutsis, generally English speakers who grew up as refugees with President Kagame in Uganda.
The 28-member cabinet is evenly split among Tutsis and Hutus, but most key ministries are in the hands of Tutsis (Hutu ministers do head Health and Agriculture, ministries which affect the lives of most Rwandans). While the Rwandan government (GOR) presents itself as a champion of national unity and equal opportunity, de-emphasizing ethnic identity and ostensibly opening positions throughout society to those of skill and merit, political authority in the country does not yet reflect this ideal. Ethnic identity is still keenly felt and lived, and ordinary Rwandans are well aware of who holds the levers of power. The long-term stability of Rwanda depends upon a government and ruling party that eventually shares real authority with the majority population."
source:
wikileaks from US embassy in Kigali.
cc:
murutongore,
Koba