Uraia wa waTutsi !

Uraia wa waTutsi !

Ukirudia hayo maelezo ambayo unaniulizia, utagundua nimetumia maneno "the so called genocide", kumaanisha kuwa there was none! Elewa kuwa si kila mauaji ni genocide. Sikatai kuwa hakuna watutsi waliuawa, nakataa kuwa kulikuwa na genocide against tutsis, that's all. Na kwamba maiti zile milioni moja nyingi ni za wahutu si watutsi.
Labda nianzie mbali, pole kwa gazeti!

Wahutu walikuwa na ndio majority Rwanda (about 84%, mwaka 2009), wakati watutsi ni around 15% na the rest ni watwa. wakoloni waliwapendelea watutsi kwa kuwafanya watawala (soma historia kwa habari zaidi). Ufalme wa kitutsi ulipinduliwa Rwanda miaka ya 1958-59. Na kuundwa mfumo wa kiserekali. Watutsi wa koo za kifalme kama kagame na wengineo walikimbilia uhamishoni kukwepa aibu ya kutawaliwa na 'watumwa' wao wahutu, wakati watutsi wengine waliendelea na maisha Rwanda kama kawaida.

Katika mfumo halali wa kidemokrasia, haikuwezekana tena na hata leo haiwezekani (ingawa kagame amechakachua obviously) given the demographics kwa serikali ya kidemokrasia kujaa watutsi kama ilivyo sasa, wakati wao ni minorities. Kwa hiyo mbinu iliyotumiwa na Kagame ni kuinstigate 'genocide', kwa kuunda jeshi la kitutsi RPA na kuvamia Rwanda kuanzia mwaka 1990 mpaka 1994. Ukitafuta habari zaidi utaona kuwa actually Habyarimana ndio alizuia wahutu wasilipize kisasi kwa watutsi kutokana na mauaji ya waasi hawa wa kitutsi. Yeye ndio alikuwa kama breki iliyozuia mauaji. Habyarimana alifikia makubaliano ya kushare madaraka na hawa 'waasi' wa RPA kupitia Arusha Accords (kama unakumbuka) for the sake of peace mwaka 94.

Sasa tatizo kwa watutsi wafalme kama Kagame likawa kama nilivyosema kuwa hawataweza kuchukua nchi nzima kurudisha ufalme wao. Katika mfumo wa demokrasia, lazima baada ya muda uchaguzi huru utafanyika na serikali itandelea kuwa ya wahutu kwa sababu simply ndio majority, kama ambavyo hapa Bongo hata wahindi wafanyaje hawawezi kuwa majority katika uongozi(rais, mawaziri, ukuu wa mikoa, ubunge, wilaya, wakurugenzi...)! Unless...they have a dictator like PK. Pia kumbuka vile vile kulikuwa na swala la Kagame kushitakiwa kwa mauaji (ambayo sijui kwa nini hayaitwi genocide against hutus, given jeshi la RPA lilikuwa la kitutsi) waliyofanya kwa miaka minne toka 1990 kutokea Uganda.
Hapo ndipo alipomtungua Habyarimana, akijua fika kuwa baadhi ya wahutu watakosa uvumilivu na kuingia mtaani kusaka just any tutsi regardless, na yeye kupata kisingizio kuwa anavamia Rwanda sasa ili kuokoa watutsi wenzie kutokana na 'genocide'. Ndio maana akaweka watu kama Robert kajuga na wenzie kuongoza na kuchochea interahamwe kuchinja watutsi wenzao huku wakijifanya wao ni wahutu ili kukoleza dhana ya genocide apate uhalali wa kuingia Rwanda. Lakini kiukweli majority ya wahutu ilikuwa kama yule bwana wa Hotel Rwanda, sio wauaji by nature! Ndio maana nikasema kuwa genocide against tutsis ni concept ya kutungwa na kagame. Kuna tofauti kati ya genocide na mass-killings (kama great thinker nenda ka-research). Ni kweli waliuawa baadhi ya watutsi na raia wa kihutu but it was never under genocide, sana sana labda kisasi tu.

Waliouawa wengi ni wahutu waliokuwa wana-defend nchi yao isipinduliwe na jeshi la kitutsi la RPA, lakini leo hii mafuvu yao yote Kagame analazimisha yawe ni ya watutsi tu ili kuendelea na dhana yake ya genocide!
Na vile vile analazimisha kuwa FDLR ambayo ni mabaki ya jeshi la serikali halali ya Habyarimana kuwa nao wote ni ma-genocidaire, badala ya kusema ukweli kuwa wao waliuwa waasi wa RPA ambao ni watutsi na sio watutsi kwa sababu ni watutsi. Ingekuwa hivyo kusingekuwa na watutsi Rwanda mpaka 1994, baada ya mapinduzi ya wahutu 1958! lakini ukweli ni kuwa watutsi waRwanda toka enzi hizo mpaka leo majority yao dunia nzima wako Rwanda! Hii inatosha kuthibitisha kuwa chuki dhidi ya watutsi ni concept ya kutungwa tu.

Rusesabagina the hero of hotel Rwanda, ndio yale yale niliyosema kuwa huyu alikuwa mhutu (tena mmoja wapo tu kati ya majority) ambaye aliwahifadhi watutsi wasiuwawe na BAADHI ya wahutu wachache wenye hasira kali. This guy was a normal Hutu, kama wahutu wengine. kagame anamchukia kwa sababu anaharibu version yake ya 'genocide'! anaonyesha kuwa kumbe hakukuwa na simply vita kati ya wahutu na watutsi, bali vita kati ya wanyarwanda (wahutu+watutsi) vs jeshi la waasi wa kitutsi toka Uganda!

Tufanye chemsha bongo: Baada ya siku 100 toka kutunguliwa kwa ndege ya Habyarimana kulikuwa na maiti milioni moja.
Kagame alikuwa na jeshi la watutsi lenye bunduki na risasi wakipigana na jeshi la Rwanda then (ambalo leo ni FDLR). How is it possible kuwa wahutu wa kawaida wameua watutsi millioni moja in that short period of time (just 100 days) wakitumia majembe na mapanga huku wamebeba watoto migongoni, mbuzi, bata, magodoro, n.k wakikimbilia ukimbizini Tanzania, Congo.. na kwingineko? Common sense ni kuwa kuua watu milioni moja in 100 days kunahitaji bunduki, na given kuwa katika kila 10 watu 8 ni wahutu. na kama wahutu ndio waliokuwa wanakimbia wauaji wa RPA under Kagame, na basi hayo mafuvu milioni majority yake ni wahutu!
Ndio maana kuhojihoji utata wa genocide unafungwa mara mbilimbili kama victoire ingabire! Na kuongea amani na FDLR kama Kikwete unatishiwa kupigwa hata kama wewe Rais!
Haaaa haa aahaa huu utumbo pelekea wendawazimu wenzako mliokuwa brainwashed pamoja kwenye makambi yenu ya interahamwe,you're not worthy debating akili yako haiko Sawa.
 
ukiona damu ujue mnyama kachinjwa, ukweli unauma koba rwanda ni lazima irudi kwa wenyewe tu, binadamu hawezi tawaliwa na m..e..n..d..e hata siku moja. Uhuru wa kweli rwanda mnajaribu kuuchelewesha tu lakini time will beep soon
Ndio mlivyofundishwa kule maporini mnapoiba mihogo ya wacongo na kubaka wanawake eti Rwanda hakuna Uhuru,sorry wakimbizi wote walisharudi mliobaki ni nyie genocidals na wajomba zako ambao mko wanted dunia nzima mtashikwa tuu na ndio maana Kuna mahakama maalum kwa ajiri yenu arusha
 
tunaweza kuongea mambo mengine yooote, kulaumu chochote kile LAKINI WE CAN NEVER DENY EXISTENCE OF GENOCIDE IN RWANDA mwaka 1994. yale yalikuwa mauaji ya kimbari kabisa bila kupepesa macho na ushahidi upo wa kutosha beyond reasonable doubt. hata hivyo, tunaweza kusema kuwa, pamoja na genocide pia makosa ya crimes against humanity yalitokea na wapo watu walioshitakiwa kwa makosa hayo pale ICTR. lakini kati ya yote kosa kubwa lililotendeka rwanda ni genocide tena sawasawa na ile waliyofanyiwa wayahudi na hitler.

hatuhitaji kubishana katika hili kwasababu ushahidi upo wazi.
 
Hiyo nikawaida lakini, mimi naona ungeanza hivi JMALIA MnyaRwanda Mhutu babake kaua watu harafu akapigwa akakimbia nchi sasa anaweweseka kwenye mitandao ya jamii akijifanya raia wa nchi nyingine,just talk and talk umeshindwa na hiyo ideology yako haiwezi kukufikisha popote, by the way hao wa Tutsi unaowachukia hata Tanzania wapo, fika Tabora utaambiwa.
Other wise hata Obama babake ni Mkenya, harafu historia ya nchi ya Rwanda ndio sababu.
Your interest with Rwanda inaonesha wewe sio mu Tanzania.
Tulia ndugu.
Hao uliowaongelea hawakupenda kuzaliwa kwenye hizo nchi, it was bad history created from ethnic ideologies kama hizo zako.
I wish ungekua karibu yangu, nikuzabe kibao.

Kwani hayo aliyoyasema Ñî ya kweli? Unaonekana kama kibaraka wa kagame ww.
 
tunaweza kuongea mambo mengine yooote, kulaumu chochote kile LAKINI WE CAN NEVER DENY EXISTENCE OF GENOCIDE IN RWANDA mwaka 1994. yale yalikuwa mauaji ya kimbari kabisa bila kupepesa macho na ushahidi upo wa kutosha beyond reasonable doubt. hata hivyo, tunaweza kusema kuwa, pamoja na genocide pia makosa ya crimes against humanity yalitokea na wapo watu walioshitakiwa kwa makosa hayo pale ICTR. lakini kati ya yote kosa kubwa lililotendeka rwanda ni genocide tena sawasawa na ile waliyofanyiwa wayahudi na hitler.

hatuhitaji kubishana katika hili kwasababu ushahidi upo wazi.

Mkuu I thank you for your comment. Please educate more Tanzania so that hawa remnants we interahamwe wasipate nafasi ya ku poison fikira za watanzania wengi ambao ni ndugu zetu. Mimi nashangaa watu wakisema eti JF imevamiwa na watutsi. The truth is that JF imevamiwa na interahamwe ambao wanatafuta sympathy kutoka kwa Watanzania ili baadae wakishafurumushwa huko congo, wahamie huko kwenye mapori yaliyo karibu na rwanda waendelee ku destabilize nchi yetu. Fanyeni yoooote lakini one thing i can assure you is that you will not succeed in destabilize Rwanda. Hilo msahau kabisa.
 
tunaweza kuongea mambo mengine yooote, kulaumu chochote kile LAKINI WE CAN NEVER DENY EXISTENCE OF GENOCIDE IN RWANDA mwaka 1994. yale yalikuwa mauaji ya kimbari kabisa bila kupepesa macho na ushahidi upo wa kutosha beyond reasonable doubt. hata hivyo, tunaweza kusema kuwa, pamoja na genocide pia makosa ya crimes against humanity yalitokea na wapo watu walioshitakiwa kwa makosa hayo pale ICTR. lakini kati ya yote kosa kubwa lililotendeka rwanda ni genocide tena sawasawa na ile waliyofanyiwa wayahudi na hitler.

hatuhitaji kubishana katika hili kwasababu ushahidi upo wazi.

Mkuu issue iliyopo kwenye suala la genocide linakera sana. Kuna watu wanajaribu kutufanya wajinga na kutuaminisha kama haikuwepo, wakati sisi wenyewe tulikuwa tunaoka miili ya watu mto kagera, even worse kuna wale wanaojaribu kuwasifia interhamwe na kuwalinda.

Lakini kibaya zaidi naona Kigali siku hizi kumeanza kuwa na wendawazimu pia. wanapoliticize issue hii na kuifanya kama ni launch pad ya attacks kwa watu wenye maoni tofauti na serikali. kama ni wahutu wanakuwa branded genociders, kama ni watusi wanakuwa eliminated, au kukumbwa na hali kama ya Paul Karegeya, this is very worrying trend.

By the way huwezi kulinganisha issue ya Hitler au watu wa ulaya kuwaua wayahudi. Wayahudi walikuwa ni immigrants kutoka middle east wanaoleta matatizo kwenye nchi za Ulaya. Ni watu wenye dini, historia na waliotoka katika mazingira tofauti sana na watu wa Ulaya, lakini walikuwa wanataka kudominate wengine. In fact hadi leo bado wayahudi wanaoendeleza zile tabia zilizofanya wafukuzwe Ulaya mpaka sasa sio popular.

Interhamwe walikuwa wanaua fellow country men, hawakuwa wanaua wageni.
 
kwa taarifa yako watusi ni wahuni kupitiliza mmoja akiolewa kwenu tu familia yenu ni lazima ijae watusi kutoka rwanda na muda si mrefu wanaanza kuwabagua hata ulieoa

Mkuu uhuni ni sababu ya kuwaua? kwani ni wao tu ndio wahuni?
 
Mkuu jMali asante kwa darsa maridhawa.

Ukirudia hayo maelezo ambayo unaniulizia, utagundua nimetumia maneno "the so called genocide", kumaanisha kuwa there was none! Elewa kuwa si kila mauaji ni genocide. Sikatai kuwa hakuna watutsi waliuawa, nakataa kuwa kulikuwa na genocide against tutsis, that's all. Na kwamba maiti zile milioni moja nyingi ni za wahutu si watutsi.
Labda nianzie mbali, pole kwa gazeti!

Wahutu walikuwa na ndio majority Rwanda (about 84%, mwaka 2009), wakati watutsi ni around 15% na the rest ni watwa. wakoloni waliwapendelea watutsi kwa kuwafanya watawala (soma historia kwa habari zaidi). Ufalme wa kitutsi ulipinduliwa Rwanda miaka ya 1958-59. Na kuundwa mfumo wa kiserekali. Watutsi wa koo za kifalme kama kagame na wengineo walikimbilia uhamishoni kukwepa aibu ya kutawaliwa na 'watumwa' wao wahutu, wakati watutsi wengine waliendelea na maisha Rwanda kama kawaida.

Katika mfumo halali wa kidemokrasia, haikuwezekana tena na hata leo haiwezekani (ingawa kagame amechakachua obviously) given the demographics kwa serikali ya kidemokrasia kujaa watutsi kama ilivyo sasa, wakati wao ni minorities. Kwa hiyo mbinu iliyotumiwa na Kagame ni kuinstigate 'genocide', kwa kuunda jeshi la kitutsi RPA na kuvamia Rwanda kuanzia mwaka 1990 mpaka 1994. Ukitafuta habari zaidi utaona kuwa actually Habyarimana ndio alizuia wahutu wasilipize kisasi kwa watutsi kutokana na mauaji ya waasi hawa wa kitutsi. Yeye ndio alikuwa kama breki iliyozuia mauaji. Habyarimana alifikia makubaliano ya kushare madaraka na hawa 'waasi' wa RPA kupitia Arusha Accords (kama unakumbuka) for the sake of peace mwaka 94.

Sasa tatizo kwa watutsi wafalme kama Kagame likawa kama nilivyosema kuwa hawataweza kuchukua nchi nzima kurudisha ufalme wao. Katika mfumo wa demokrasia, lazima baada ya muda uchaguzi huru utafanyika na serikali itandelea kuwa ya wahutu kwa sababu simply ndio majority, kama ambavyo hapa Bongo hata wahindi wafanyaje hawawezi kuwa majority katika uongozi(rais, mawaziri, ukuu wa mikoa, ubunge, wilaya, wakurugenzi...)! Unless...they have a dictator like PK. Pia kumbuka vile vile kulikuwa na swala la Kagame kushitakiwa kwa mauaji (ambayo sijui kwa nini hayaitwi genocide against hutus, given jeshi la RPA lilikuwa la kitutsi) waliyofanya kwa miaka minne toka 1990 kutokea Uganda.
Hapo ndipo alipomtungua Habyarimana, akijua fika kuwa baadhi ya wahutu watakosa uvumilivu na kuingia mtaani kusaka just any tutsi regardless, na yeye kupata kisingizio kuwa anavamia Rwanda sasa ili kuokoa watutsi wenzie kutokana na 'genocide'. Ndio maana akaweka watu kama Robert kajuga na wenzie kuongoza na kuchochea interahamwe kuchinja watutsi wenzao huku wakijifanya wao ni wahutu ili kukoleza dhana ya genocide apate uhalali wa kuingia Rwanda. Lakini kiukweli majority ya wahutu ilikuwa kama yule bwana wa Hotel Rwanda, sio wauaji by nature! Ndio maana nikasema kuwa genocide against tutsis ni concept ya kutungwa na kagame. Kuna tofauti kati ya genocide na mass-killings (kama great thinker nenda ka-research). Ni kweli waliuawa baadhi ya watutsi na raia wa kihutu but it was never under genocide, sana sana labda kisasi tu.

Waliouawa wengi ni wahutu waliokuwa wana-defend nchi yao isipinduliwe na jeshi la kitutsi la RPA, lakini leo hii mafuvu yao yote Kagame analazimisha yawe ni ya watutsi tu ili kuendelea na dhana yake ya genocide!
Na vile vile analazimisha kuwa FDLR ambayo ni mabaki ya jeshi la serikali halali ya Habyarimana kuwa nao wote ni ma-genocidaire, badala ya kusema ukweli kuwa wao waliuwa waasi wa RPA ambao ni watutsi na sio watutsi kwa sababu ni watutsi. Ingekuwa hivyo kusingekuwa na watutsi Rwanda mpaka 1994, baada ya mapinduzi ya wahutu 1958! lakini ukweli ni kuwa watutsi waRwanda toka enzi hizo mpaka leo majority yao dunia nzima wako Rwanda! Hii inatosha kuthibitisha kuwa chuki dhidi ya watutsi ni concept ya kutungwa tu.

Rusesabagina the hero of hotel Rwanda, ndio yale yale niliyosema kuwa huyu alikuwa mhutu (tena mmoja wapo tu kati ya majority) ambaye aliwahifadhi watutsi wasiuwawe na BAADHI ya wahutu wachache wenye hasira kali. This guy was a normal Hutu, kama wahutu wengine. kagame anamchukia kwa sababu anaharibu version yake ya 'genocide'! anaonyesha kuwa kumbe hakukuwa na simply vita kati ya wahutu na watutsi, bali vita kati ya wanyarwanda (wahutu+watutsi) vs jeshi la waasi wa kitutsi toka Uganda!

Tufanye chemsha bongo: Baada ya siku 100 toka kutunguliwa kwa ndege ya Habyarimana kulikuwa na maiti milioni moja.
Kagame alikuwa na jeshi la watutsi lenye bunduki na risasi wakipigana na jeshi la Rwanda then (ambalo leo ni FDLR). How is it possible kuwa wahutu wa kawaida wameua watutsi millioni moja in that short period of time (just 100 days) wakitumia majembe na mapanga huku wamebeba watoto migongoni, mbuzi, bata, magodoro, n.k wakikimbilia ukimbizini Tanzania, Congo.. na kwingineko? Common sense ni kuwa kuua watu milioni moja in 100 days kunahitaji bunduki, na given kuwa katika kila 10 watu 8 ni wahutu. na kama wahutu ndio waliokuwa wanakimbia wauaji wa RPA under Kagame, na basi hayo mafuvu milioni majority yake ni wahutu!
Ndio maana kuhojihoji utata wa genocide unafungwa mara mbilimbili kama victoire ingabire! Na kuongea amani na FDLR kama Kikwete unatishiwa kupigwa hata kama wewe Rais!
 
Last edited by a moderator:
Genocide ni mauaji yanayofanywa na kundi moja la watu kutokomeza uwepo wa kundi lingine kwa misingi ya ukabila,dini n.k sasa unaweza vipi kusema mauaji ya rwanda ya kikabila 94 siyo genocide wakati yalihusisha mpaka vichanga vya siku kadhaa?
Halafu kuna sehemu nyingine unaongea kishabiki sana mpaka nahisi unainterest na kundi unalolitetea hasa pale unapojaribu kulisafisha ili lionekane ni totally innocent.
Nimepitia historia ya paul rusesabagina anaonekana ni mhutu lakini mama yake na mke wake wote walikuwa watutsi kwavyovyote vile huyu mtu alikuwa neutral tu lilipokuja suala la ukabila.
Nimejaribu kupitia pia ya robert kajuga alikuwa ni mtutsi lakini baba yake alichukua ID ya kihutu kwasababu za kiusalama yeye na familia yake,usalama dhidi ya nani sijajua bado na pia mtu huyu anatumikia kifungo cha maisha kwa uhusika wake.
Kama tunavyofahamu watu wengi waliohusika kwenye genocide wanatumikia vifungo au wameidhinishwa kukamatwa na mahakama sasa unaweza nisaidia majina ya watutsi wengine wanaotumikia vifungo au kusakwa kwa uhusika wao apart from kajuga?kwa maelezo yako natumaini watakuwa wengi tu kwasababu interahamwe(the main suspect)ilikuwa kama yao kwasababu iliongozwa na wao tena kiongozi mkuu aliwekwa na Kagame.
Halafu umesema mauaji haya yalifanywa na kundi dogo tu tena lililokuwa na zana duni kama mapanga,marungu na mashoka,naamini kipindi hicho rwanda kulikuwa na serikali tena kwa mujibu wako ilikuwa ni bora na haikuwa na ukabila kwani ilizuia mauaji ya aina hiyo huko nyuma,sasa ilifanya nini kukizuia hiki kikundi kidogo tu cha hao wahutu wenye msimamo mkali?na nani alizuia yasiendelee?
Ninavyofahamu mimi labda kama utaweza kuniaminisha tofauti ni kuwa mauaji ya rwanda 94 yalifanywa na wahutu wenye msimamo mkali na yalilenga watutsi wote na wahutu wenye msimamo wa kati

1. Quote: "Genocide ni mauaji yanayofanywa na kundi moja la watu kutokomeza uwepo wa kundi lingine kwa misingi ya ukabila,dini n.k sasa unaweza vipi kusema mauaji ya rwanda ya kikabila 94 siyo genocide wakati yalihusisha mpaka vichanga vya siku kadhaa?"

Jibu: Genocide zinazokubalika bila kupingwa mfano ya wanazi vs wayahudi zilitokana na chuki tu (ukabila, dini n.k kama ulivyosema), hakukuwa na jeshi la wayahudi popote pale lililokuwa linashambulia serikali ya hitler kijeshi kwa miaka minne likiua raia wasio na hatia kama ilivyo Rwanda.
Sijakataa wahutu wachache kuua watutsi kwa sababu tu ni watutsi kama hao watoto wachanga lakini hiyo ilikuwa ni sehemu ndogo ya vita kubwa ya kikabila ambayo Kagame anataka kutusahaulisha na si a stand alone genocide. Bila vita hivi vikubwa mauaji haya madogo madogo yasingetokea. Kucategorise mauaji haya kuwa genocide ni sawa sawa na kudai vita vya walyanchali na walyanchoka kule Mara (sina uhakika na spelling) nayo ni genocide, mauaji ya wakulima na wafugaji morogoro nayo genocide simply tu kwa sababu ni kabila mbili zinapigana .....sijui Tanzania peke yake tungekuwa na mahakama za genocide ngapi. wachilia mbali mauaji ya chaguzi za kenya, mauaji ya sasa ya kikabila southern sudan etc. Kama ambavyo mifano hii haikidhi status ya genocide ndivyo hivyo hivyo mauaji ya Rwanda 94 hayakidhi kuitwa genocide. Lakini hata hivyo nakaribisha mjadala katika hili kwa sababu mpaka sasa hakuna makubaliano katika tafsiri ya genocide worldwide.

2. Quote: "Halafu kuna sehemu nyingine unaongea kishabiki sana mpaka nahisi unainterest na kundi unalolitetea hasa pale unapojaribu kulisafisha ili lionekane ni totally innocent."
Jibu: sina ushabiki na kundi lolote. Msimamo wangu binafsi ni kuwa yoyote aliyehusika kufanya uhalifu wowote ule afikishwe mbele ya sheria. simple as that. Tatizo langu mimi ni case kama za FDLR ambao ni wanajeshi wa serikali halali ya Rwanda waliopinduliwa, hawa wanashitakiwa kwa lipi? kudefend nchi kwa mujibu wa katiba? What about Kagame na jeshi lake waliokuwa wanavamia Rwanda kwa miaka minne, mbona wao hawashtakiwi? je hawakuua watu (ambao 99% ni wahutu by the way)? Ndio maana wenye akili wote kama Kikwete tunaona njia sahihi ni mazungumzo. Watu wote washitakiwe kulingana na makosa yao.

3. Quote: "Nimepitia historia ya paul rusesabagina anaonekana ni mhutu lakini mama yake na mke wake wote walikuwa watutsi kwavyovyote vile huyu mtu alikuwa neutral tu lilipokuja suala la ukabila.
Nimejaribu kupitia pia ya robert kajuga alikuwa ni mtutsi lakini baba yake alichukua ID ya kihutu kwasababu za kiusalama yeye na familia yake,usalama dhidi ya nani sijajua bado na pia mtu huyu anatumikia kifungo cha maisha kwa uhusika wake."

Jibu: kwa observation yako mwenyewe: paul rusesabagina ni mhutu lakini neutral kwa ukabila, kawasave watutsi (wajomba zake na wakwewe), lakini upande wa pili mtutsi pure Robert Kajuga kaongoza kundi la interahamwe kuchinja watutsi wenzie, hujiulizi how come? Maana kama mhutu anamlinda mtutsi, lakini mtutsi anaongoza wahutu kuua watutsi hapo hakuna genocide kuna conspiracy to frame the hutus. Hebu fikiria inavyosikitisha inawezekana baadhi ya watutsi waliolindwa na rusesabagina walikuwa wanakimbia kundi la interahamwe likiongozwa na mtutsi mwenzao aliyebeba ID ya kihutu!

4. Quote: "Kama tunavyofahamu watu wengi waliohusika kwenye genocide wanatumikia vifungo au wameidhinishwa kukamatwa na mahakama sasa unaweza nisaidia majina ya watutsi wengine wanaotumikia vifungo au kusakwa kwa uhusika wao apart from kajuga?kwa maelezo yako natumaini watakuwa wengi tu kwasababu interahamwe (the main suspect)ilikuwa kama yao kwasababu iliongozwa na wao tena kiongozi mkuu aliwekwa na Kagame"
Jibu: of course kitu kama interahamwe kilikuwa manipulated kupitia infiltration na mamluki, in such a way kwamba watendaji wanaoonekana walikuwa wahutu, hivyo ni vigumu kung'amua idadi ya watutsi humo , hata wewe mwenyewe si umeona kuwa RAIS wake alikuwa anaji-identify kama mhutu?
Pili, kagame anatumia wenzake kama condom, hivyo kufungwa kwa kajuga kusikufanye kudhani kuwa kagame yuko fair! he does not need him any more ni kama vile alivyowatumia kina Bosco ntaganda, Laurent Nkunda, m23 etc. wakishamaliza uthamani wao basi tena.

5. Quote: "Halafu umesema mauaji haya yalifanywa na kundi dogo tu tena lililokuwa na zana duni kama mapanga,marungu na mashoka,naamini kipindi hicho rwanda kulikuwa na serikali tena kwa mujibu wako ilikuwa ni bora na haikuwa na ukabila kwani ilizuia mauaji ya aina hiyo huko nyuma,sasa ilifanya nini kukizuia hiki kikundi kidogo tu cha hao wahutu wenye msimamo mkali?na nani alizuia yasiendelee?"
Jibu: Nchi iliingia kwenye machafuko baada ya ndege ya rais habyarimana kutunguliwa na majeshi ya waasi wa RPA wakiongozwa na kagame. Jeshi lilikuwa bize kupigana na Majeshi ya kagame yakisaidiwa na majeshi ya Uganda. Hawakuweza kuzuia hisia za raia wahutu wachache (baadhi yao wakiwa ndani ya majeshi yenyewe) kulipiza kisasi kwa watutsi at the same time. Narudia tena wachache kumbuka takwimu watutsi walikuwa less than 15%, hivyo hata wakiuawa 2 lazima wataonekana ni wengi tu, katika nchi ambayo zaidi ya 80% ni wahutu.
nani alizuia yasiendelee? well, yaliisha kwa sababu VITA viliisha kagame akiwa mshindi (sadly), hayakuisha kwa sababu kagame aliyazuia. Kagame was fighting Rwanda since 1990, hivyo obviously sababu ya yeye kupindua Rwanda haina uhusiano wowote na kuzuia 'genocide'.

6. Quote: "Ninavyofahamu mimi labda kama utaweza kuniaminisha tofauti ni kuwa mauaji ya rwanda 94 yalifanywa na wahutu wenye msimamo mkali na yalilenga watutsi wote na wahutu wenye msimamo wa kati"
Jibu: ninavyofahamu mimi kutokana na ushahidi huru uliopo ni kuwa mauaji ya Rwanda 94 yalifanywa na:


  1. Baadhi ya raia wa kawaida ambao ni wahutu, wenye hasira kali kulenga watutsi wote bila kujali, kulipiza kisasi cha kutunguliwa ndege ya Rais (mhutu) na kuvamiwa nchi na jeshi la kitutsi la kagame.
  2. Jeshi la RPA likiongozwa na Kagame kulenga wanyarwanda wote lengo likiwa kupindua nchi na kuchukua madaraka ikiwa ni muendelezo wa mashambulizi yao toka mwaka 1990.
  3. Jeshi la nchi ya Rwanda wakati huo (ambao leo hii linaunda sehemu kubwa ya FDLR): kuua askari wa RPA katika mapambano halali ya kulinda nchi ya Rwanda kama wajibu wao kwa mujibu wa katiba. Askari wa Kagame wa RPA ni watutsi, wakati jeshi la nchi liliundwa na majority wahutu.
  4. Kiasi kidogo cha askari wa jeshi la Rwanda ambao wali-commit war crimes against tutsi, idadi yao kubwa ilikuwa inapambana na RPA.
swala la mafuvu milioni moja kama ni watutsi au wahutu lilishawahi kufanyiwa utafiti na takwimu zilipotolewa serikali ya kagame ikazikataa. yenyewe ilidai kuwa wahutu ambao ni missing ndio waliocommit mauaji wakakimbia, lakini watutsi ambao ni missing ndio wameuawa! Matokeo yake there are more hutu missing kutokana na genocide kuliko watutsi, lakini somehow maiti zooooote officially ni za watutsi, sasa uliza walijuaje utaishia kama ingabire!
 
WATZ WALIOENDA KU-TRAIN NA KUPIGANA MSUMBIJI WALIKUWA WATU WA MSUMBIJI? anayesifia operation kimbunga ni m...se...ng....

waafrika tulienda kusaidia waafrika wenzetu msumbiji kupambana na mkoloni. Tofauti na tutsi extremists wanao-infiltrate nchi za wenzao ili kuzipindua!
kuhusu hilo tusi lako naamini ma-mod wapo na wanaona. Hivi ndugu, hushangai Rwanda ina wakimbizi congo DRC, malawi, msumbiji, zambia, uganda, tanzania, afrika kusini, ulaya.... Mna tatizo gani nyinyi?
 
Mkuu issue iliyopo kwenye suala la genocide linakera sana. Kuna watu wanajaribu kutufanya wajinga na kutuaminisha kama haikuwepo, wakati sisi wenyewe tulikuwa tunaoka miili ya watu mto kagera, even worse kuna wale wanaojaribu kuwasifia interhamwe na kuwalinda.

Lakini kibaya zaidi naona Kigali siku hizi kumeanza kuwa na wendawazimu pia. wanapoliticize issue hii na kuifanya kama ni launch pad ya attacks kwa watu wenye maoni tofauti na serikali. kama ni wahutu wanakuwa branded genociders, kama ni watusi wanakuwa eliminated, au kukumbwa na hali kama ya Paul Karegeya, this is very worrying trend.

By the way huwezi kulinganisha issue ya Hitler au watu wa ulaya kuwaua wayahudi. Wayahudi walikuwa ni immigrants kutoka middle east wanaoleta matatizo kwenye nchi za Ulaya. Ni watu wenye dini, historia na waliotoka katika mazingira tofauti sana na watu wa Ulaya, lakini walikuwa wanataka kudominate wengine. In fact hadi leo bado wayahudi wanaoendeleza zile tabia zilizofanya wafukuzwe Ulaya mpaka sasa sio popular.

Interhamwe walikuwa wanaua fellow country men, hawakuwa wanaua wageni.

Ndugu, kila mtu anahuzunika na kufa kwa watu wale mwaka 1994. Tatizo hapa ni definition ya genocide. Hakuna mtu anakataa kuwa wahutu waliua watutsi au kinyume chake, mafuvu si yapo? itakuwa upumbavu. kinachopingwa hapa ni kudai kuwa mauaji yalikuwa ya upande mmoja, hilo tu. Si kila mauaji ya kikabila na kidini ni genocide, genocide inatakiwa kuangaliwa katika muktadha wake. Ndio maana nilimueleza jamaa mmoja hapa kuwa kama ingekuwa hivyo hapa tu Tanzania tungekuwa na magenocide ya kumwaga; walyanchali na walyanchoka kule mara, wakulima na wamasai morogoro, n.k yote hayo si mapigano ambayo makabila yanauana? kenya je wakikuyu na waluo kwenye chaguzi zao, sudani kusini sasa hivi wadinka na wanani sijui? mbona haziwi genocide?

Tuache kujadili kwa hisia badala yake twende kwa facts, mfano nani alikuwa anacontrol eneo la mto kagera maiti zilikotupwa wakati wa genocide? jeshi la waasi la kagame au serikali? inawezekana vipi jeshi la serikali lipite katikati ya askari wa kagame, liue watutsi, liwamwage mtoni, halafu lirudi lilikotoka kupitia hapo hapo?
Kiongozi mkuu wa interahamwe Robert kajuga, alikuwa ni mtutsi. Utaniaminishaje propaganda kwamba kundi lote hili liliundwa specifically kwa ajili ya kuua watutsi na kwamba simply kila member wake alikuwa ni genocidaire?

Narudia tena nobody hawezi kudharau vifo vya wahanga wa 94. Lakini tatizo huyo ambaye maelezo yake yanachukuliwa kuwa ndio official account (kagame and co) yeye mwenyewe ni mtuhumiwa. Tunasahaulishwa makusudi kuwa huyu bwana alikuwa alivamia Rwanda kijeshi kwa miaka minne toka mwaka 90 akiongoza jeshi la kitutsi. Je kwa miaka minne mauaji ya huyu bwana Rwanda mbona hayakuitwa genocide? wakati ambapo aliowauwa kutokana na takwimu za idadi, over 80% ni wahutu?
kuna mambo mengi ya kujadili hapa, ndio maana hakuna mtu anayeasi kundi la kagame anakaa salama.
 
Ndio mlivyofundishwa kule maporini mnapoiba mihogo ya wacongo na kubaka wanawake eti Rwanda hakuna Uhuru,sorry wakimbizi wote walisharudi mliobaki ni nyie genocidals na wajomba zako ambao mko wanted dunia nzima mtashikwa tuu na ndio maana Kuna mahakama maalum kwa ajiri yenu arusha

Mna wakimbizi dunia nzima acha kupotosha watu, wengine mnahamia kiharamu nchini kwetu tumewarudisha kwa operesheni kimbuga!
kula sample hii: Rwandan refugees in zambia reject Kigali passports.
 
Hii ya interahamwe kuongozwa na mtutsi is so preposterous it is laughable. Hata Bagosora na Kambanda would be appalled by such a deposit. Naona Inkingi mko full throttle. Haya endeleeni. He he he.

Revisionist wako wengi na ndio the only card waliyobaki nayo to wipeout atrocities walizofanya in History books,lakini ukweli Rwanda genocide ilikuwa documented vizuri sana hata survival wengi bado wanaishi,sishangai lakini maana kuna wengi tuu wanaamini NAZI haikutokea.

Your entitled your own opinions not your own facts! FACT: Robert kajuga is a tutsi. Nipeni reference moja tu inayodai vinginevyo tumalize mjadala kama great thinkers.

"Jerry Robert Kajuga was the national president of the Hutu extremist militia, the Interahamwe,[SUP][1][/SUP] which was largely responsible for perpetrating the Rwandan Genocide in 1994.

Ironically, he was from a Tutsi family " source: wikipedia.

"Among the founders of the Interahamwe are Anastase Gasana (now exiled in the United States), rewarded with the post of Minister of Foreign Affairs in Kagame's regime and Desiré Murenzi, who was placed at the head of a major oil company. Also troubling is the fact that Robert Kajuga, the Tutsi President of the Interahamwe, is the brother of a Rwandan businessman named Husi (killed during the Rwandan Genocide), who, according to several sources, has funded the scholarship of Janet Nyiramongi, Paul Kagame's wife.
"
source: Paul Kagame, the Mastermind of the Genocide of Interior Tutsis in Rwanda by Guillaume Murere, Ph.D., Gatineau-Québec, Canada
 
umesahau pia kagame alikuwa mkuu, chief of millitary inteligency wa jeshi la Uganda ( uganda people's Defence Force )

sasa hivi ni rais wa Rwanda,yani hawa watu siwaelewi,Tanzania inabidi tuwe makini

Si kwa chama hiki kilichopo madarakani.Umakini ni karibia 0!Hivi sasa tishio la Tanzania si watutsi!bali wachina wanaoshirikiana na baadhi ya wasaliti kuhujumu kila kizuri chetu!Itakuwa kufumba na kufumbua tutakapoanza kushtuka watakuwa wakituuzia silaha ili zitusaidie kwenye frustration zetu!God forbid!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sasa tujuze, was this one a genocide against all Rwandan people or against Tutsis?

tunaweza kuongea mambo mengine yooote, kulaumu chochote kile LAKINI WE CAN NEVER DENY EXISTENCE OF GENOCIDE IN RWANDA mwaka 1994. yale yalikuwa mauaji ya kimbari kabisa bila kupepesa macho na ushahidi upo wa kutosha beyond reasonable doubt. hata hivyo, tunaweza kusema kuwa, pamoja na genocide pia makosa ya crimes against humanity yalitokea na wapo watu walioshitakiwa kwa makosa hayo pale ICTR. lakini kati ya yote kosa kubwa lililotendeka rwanda ni genocide tena sawasawa na ile waliyofanyiwa wayahudi na hitler.

hatuhitaji kubishana katika hili kwasababu ushahidi upo wazi.
 
....hahhaaaa, imekugusa maana hata kiswahili chako, inaonekana hauna muda mu.re.fu. tz
 
Mkuu I thank you for your comment. Please educate more Tanzania so that hawa remnants we interahamwe wasipate nafasi ya ku poison fikira za watanzania wengi ambao ni ndugu zetu. Mimi nashangaa watu wakisema eti JF imevamiwa na watutsi. The truth is that JF imevamiwa na interahamwe ambao wanatafuta sympathy kutoka kwa Watanzania ili baadae wakishafurumushwa huko congo, wahamie huko kwenye mapori yaliyo karibu na rwanda waendelee ku destabilize nchi yetu. Fanyeni yoooote lakini one thing i can assure you is that you will not succeed in destabilize Rwanda. Hilo msahau kabisa.

Ndio maana mnajaribu kuji-attach na Kenya???? Rwanda is just a spoon, Tanzania will not destabilise Rwanda but Rwanda will destabilized itself. Subiri akina Kayumba Nyamwasa na FDLR
 
Hiyo nikawaida lakini, mimi naona ungeanza hivi JMALIA MnyaRwanda Mhutu babake kaua watu harafu akapigwa akakimbia nchi sasa anaweweseka kwenye mitandao ya jamii akijifanya raia wa nchi nyingine,just talk and talk umeshindwa na hiyo ideology yako haiwezi kukufikisha popote, by the way hao wa Tutsi unaowachukia hata Tanzania wapo, fika Tabora utaambiwa.
Other wise hata Obama babake ni Mkenya, harafu historia ya nchi ya Rwanda ndio sababu.
Your interest with Rwanda inaonesha wewe sio mu Tanzania.
Tulia ndugu.
Hao uliowaongelea hawakupenda kuzaliwa kwenye hizo nchi, it was bad history created from ethnic ideologies kama hizo zako.
I wish ungekua karibu yangu, nikuzabe kibao.
Usiwe na shaka baba lao kagame anawazaba vibao wote wanaopinga utawala wake wa kibabe hata kama ni watutsi vibao tu. I mean wananyongwa hotelini etc etc.
 
Back
Top Bottom