Uraia wa waTutsi !

Uraia wa waTutsi !

Mkuu jMali kama kusudi ni kutumia ethnicity yao, kwanini hawakuvamia Uganda yenyewe walipokuwa wanaishi?

Mimi sijui malengo yao najua yale ambayo yametokea na yanathibitika. Lakini food for thought: Museveni is a mhima, wahima wanashare ancenstry na watutsi, hawa ni ndugu moja. kagame na watutsi wenzie walipigana katika jeshi la Museveni kupindua serikali ya Uganda wakati ule, na Museveni baadae akaprovide vikosi vyake kumsaidia kupindua Rwanda. So i think hawavamii Uganda kwa sababu tayari wanatawala huko?
Lakini ningeomba tujadili yale yaliotokea ambayo yanathibitika kwanza
 
Mimi sijui malengo yao najua yale ambayo yametokea na yanathibitika. Lakini food for thought: Museveni is a mhima, wahima wanashare ancenstry na watutsi, hawa ni ndugu moja. kagame na watutsi wenzie walipigana katika jeshi la Museveni kupindua serikali ya Uganda wakati ule, na Museveni baadae akaprovide vikosi vyake kumsaidia kupindua Rwanda. So i think hawavamii Uganda kwa sababu tayari wanatawala huko?
Lakini ningeomba tujadili yale yaliotokea ambayo yanathibitika kwanza

You said it well jMali. Wakati wanavamia Uganda na baadae Rwanda na wanachokifanya huko Mashariki ya DRC, huwa wanashirikiana watutsi wote (call them wahima, banyankole, waha, wahangaza etc) kwa pamoja. Mfano, wakati rpa wanapigana kuvamia rwanda, watutsi wengi ambao tulikuwa tunajua ni WaTZ walienda vitani. Kule mpakani na burundi upande wa Kigoma panaitwa Manyovu, kuna wkt watusi wa kule waliingia burundi kupiga kura; waha wakawastukia..it wasn't good kwa kweli.. so these people think they are strategic, ila waTZ sasa tumewajua ndo mana akina Koba wakiona nondo kama za jMali, Mokala na wengineo jamaa wanapata wazimu kabisa wanaishia ku name watu km vile hutu, interahamwe nk.. hawaamini kama their satanic conspiracy is well known to many TZs. Congrats jMali
 
Mimi sijui malengo yao najua yale ambayo yametokea na yanathibitika. Lakini food for thought: Museveni is a mhima, wahima wanashare ancenstry na watutsi, hawa ni ndugu moja. kagame na watutsi wenzie walipigana katika jeshi la Museveni kupindua serikali ya Uganda wakati ule, na Museveni baadae akaprovide vikosi vyake kumsaidia kupindua Rwanda. So i think hawavamii Uganda kwa sababu tayari wanatawala huko?
Lakini ningeomba tujadili yale yaliotokea ambayo yanathibitika kwanza

Moja ya sababu ya mara moja moja kuingia ktk hizi threads za aina hii imekua ni kutoa elimu kwa watu kama wewe ambao mnachochea chuki kwa maslahi finyu sana. Soma vyema historia ya koo za Wahima na kiasi gani mengi ya makabila ya magharibi ya Tanzania tukiwemo sisi Wahaya tuliongozwa na koo hizi! Chuki zenu mbaki nazo huko kwenu siyo kuja kuwafitinisha watu wengine
 
You said it well jMali. Wakati wanavamia Uganda na baadae Rwanda na wanachokifanya huko Mashariki ya DRC, huwa wanashirikiana watutsi wote (call them wahima, banyankole, waha, wahangaza etc) kwa pamoja. Mfano, wakati rpa wanapigana kuvamia rwanda, watutsi wengi ambao tulikuwa tunajua ni WaTZ walienda vitani. Kule mpakani na burundi upande wa Kigoma panaitwa Manyovu, kuna wkt watusi wa kule waliingia burundi kupiga kura; waha wakawastukia..it wasn't good kwa kweli.. so these people think they are strategic, ila waTZ sasa tumewajua ndo mana akina Koba wakiona nondo kama za jMali, Mokala na wengineo jamaa wanapata wazimu kabisa wanaishia ku name watu km vile hutu, interahamwe nk.. hawaamini kama their satanic conspiracy is well known to many TZs. Congrats jMali

Nawashauri hii siyo sehemu sahihi ya michango ya chuki,pelekeni ktk mitandao yenu!
 
RPF iliundwa 1988 nchini Uganda, shabaha kubwa ikiwa ni kukusanya na kurudisha tena Wanyarwanda waliokuwa uhamishoni na pia kuunda serikali
mpya ya Rwanda.
RPF iliundwa na wakimbizi wa Kitutsi waliokimbilia Uganda na wengi wao walikuwa wakitumikia NRA ya Museveni.

1. Kwa nini watutsi waunde serikali mpya wakati kuna ya zamani? ya zamani ilikuwa na kosa gani? Ukisoma between the lines kosa ni kuwa iliongozwa na wahutu baaasi. Otherwise sijaona kokote kule wakimbizi wanaunda jeshi pamoja na chama cha siasa wakiwa uhamishoni!

2. Kuhusu situation ya wakimbizi wa Rwanda ni kweli kulikuwa na tatizo, lakini si tatizo ambalo lililazimu kutumia mtutu. After all Museveni baada ya kupindua Uganda alishaweka taratibu za kuwapatia uraia hawa watu, na wengi sana leo ni raia wa Uganda. Fikiria mtu kama Kagame alikuwa na miaka 3 tu mama yake alipomleta Uganda, wengine wengi wamezaliwa huko huko na kukulia huko huko, huwezi tu ghafla bin vuu ukataka kurudi Rwanda bila maelewano na serikali iliyopo kwa kulazimisha.

Tazama hata wakuu wenyewe wa RPF tayari walikuwa mawaziri katika serikali ya Uganda. Fred rwigema alikuwa DEPUTY COMMANDER-IN-CHIEF (NAIBU AMIRI JESHI MKUU WA UGANDA)! kwa cheo hiki huyu si rais wa pili chini ya Museveni? Think about that! na vile vile DEPUTY MINISTER OF DEFENCE, paul kagame alikuwa CHIEF OF MILITARY INTELLIGENCE. With these titles, do these people sound like refugees to you?

Halafu pia tuangalie na sababu ya serikali ya Rwanda kuwa na wasiwasi na hawa watu. Kumbuka kulikuwa na sehemu kubwa ya elite tutsis waliokimbia ukimbizini kutokana na kupinduliwa kwa ufalme wao, hivyo kulikuwa na hofu genuine ya uongozi wa zamani kuruhusu tu kurudi holela kwa watu ambao walikuwa against the revolution of the late 50's. kama wakimbizi walitaka kurudi si wangezungumza kurudi, kwa nini wakimbizi waunde chama cha siasa na jeshi lenye silaha at the same time? Lengo ni simply kurudi au ku-take over?

Angalia askari wenyewe wa hiyo RPF, walikuwa ni watutsi kutoka sehemu mbalimbali ambazo hazina uhusiano na 'kurudi'. Akina Ntaganda, Nkunda, Makenga etc, hawa si raia wacongo? walikuwa wanapigania kurudi au walikuwa wanapigania ututsi?
 
Kama unataka watu tu argue njoo na hoja za msingi siyo huu upuuzi! Mtu anaanza kuquestion genocide ya Rwanda ana akili timamu huyo?

Unafanana na kanisa katoliki wakati fulani. Walikuwa wananyonga watu huku wakinga'aka "mtu ana question dunia kuwa flat kama meza ana akili timamu huyo?" Leo hii nani ana akili timamu, anayedai kuwa dunia meza au dunia duara?

Mimi na-argue na facts, wewe lete zako hilo tu.
 
Moja ya sababu ya mara moja moja kuingia ktk hizi threads za aina hii imekua ni kutoa elimu kwa watu kama wewe ambao mnachochea chuki kwa maslahi finyu sana. Soma vyema historia ya koo za Wahima na kiasi gani mengi ya makabila ya magharibi ya Tanzania tukiwemo sisi Wahaya tuliongozwa na koo hizi! Chuki zenu mbaki nazo huko kwenu siyo kuja kuwafitinisha watu wengine

Nani anaongea fitna hapa? Nani anachochea chuki?
1. Wewe bisha kama hakuna uhusiano kati ya wahima na watutsi.
2. Bisha kama hiyo account niliyotoa ya uhusiano wa Museveni na Kagame kijeshi (NRA na RPA/RPF) ni fact au fiction.
 
You said it well jMali. Wakati wanavamia Uganda na baadae Rwanda na wanachokifanya huko Mashariki ya DRC, huwa wanashirikiana watutsi wote (call them wahima, banyankole, waha, wahangaza etc) kwa pamoja. Mfano, wakati rpa wanapigana kuvamia rwanda, watutsi wengi ambao tulikuwa tunajua ni WaTZ walienda vitani. Kule mpakani na burundi upande wa Kigoma panaitwa Manyovu, kuna wkt watusi wa kule waliingia burundi kupiga kura; waha wakawastukia..it wasn't good kwa kweli.. so these people think they are strategic, ila waTZ sasa tumewajua ndo mana akina Koba wakiona nondo kama za jMali, Mokala na wengineo jamaa wanapata wazimu kabisa wanaishia ku name watu km vile hutu, interahamwe nk.. hawaamini kama their satanic conspiracy is well known to many TZs. Congrats jMali

Thank you mkuu. inafurahisha kuona kuna watanzania wenzangu kama wewe. Mijitu mingine haioni kabisa hatari inayotukabili kwa kuendekeza wakimbizi haramu.
 
You must have a lot of free time on your hands. Please continue. I am enjoying your "pumba" every moment you write here. I have some contacts in the publishing industry. I can connect you so that you can write a book about the garbage that you are spilling here. Hey, I can suggest a good title for your book " The Garbage according to Jeean Marie"...lol

Runiga!!!!
 
Spin it whatever you want, wewe ni hater tuu wa watutsi na kumbuka anybody can come with millions reasons to justify anything, you singled out hao watu hapo juu for one and only one reason... TUTSI,shame on you, Kazi yako ni kueneza chuki tuu juu ya watutsi ndio maana huchoki posting garbage and seems you are in someone payroll, utawapata ignorant fools and extremist wenzako ndio wanakuamini,na ------ kama wewe ndio mliosababisha genocide itokee na hata humu jf wakikuachia na huu upuuzi wako you can make some damage,post zako doesn't belong here at jf Kuna extremist websites peleka kule ila one thing for sure you are not going to win or gain anything from hate propaganda and it will backfire 100%.


Ukiongelea udhalimu wa waarabu, wazungu na wakoloni wengine does that mean you hate them all? vipi kuhusu terrorists ukiongelea kuhusu al-shabab does that mean unachukia wasomali wote? I don't hate ALL tutsis. I hate YOU kind of tutsis!
Genocide ni matokeo ya watu kuvamia nchi period. You should be ashamed of yourselves. Mnasababisha watutsi wasiwe na raha kokote kule kwa tamaa zenu za madaraka.
 
Unajua ndani ya maelezo yako marefu unayoandika hapa ndiyo yanakuonyesha wewe ni mtu wa aina gani. Nikiwa ni mtu ninaye fahamu jinsi gani mnavyohasimiana sipati shida kuelewa malengo yako.

yepi hayo?
 
Nikiulize swali dogo hivi nini sifa za mtu kuitwa Mtanzania? Huo mfano wa Kabila unaotoa hapo ni kitu tofauti na kesi za akina Bandora,Ulimwengu,Castico na Amani. Watu wa aina ya Kabila walikuepo wengi hapa wakati wa awamu ya kwanza na kiasi awamu ya pili

Binafsi nimesoma na watu wa aina ya Kabila pale Muhimbili Primary sch. ktk miaka ya mwisho wa sabini kuja mpaka ktkt ya themanini. Lakini lazima utambue serikali ilikua imewapa hifadhi na ulinzi!

Lengo ni kuonyesha tu kuwa mtu kuwa na nyumba mbezi beach na mke kutoka kilimanjaro sio sifa ya kuwa raia wa Tanzania. Ndio maana nikauliza kuna mtu anaweza kumuita Joseph kabila Mtanzania simply kwa sababu kuna nyumba yao huku alikokulia?
 
Nani anaongea fitna hapa? Nani anachochea chuki?
1. Wewe bisha kama hakuna uhusiano kati ya wahima na watutsi.
2. Bisha kama hiyo account niliyotoa ya uhusiano wa Museveni na Kagame ni fact au fiction.
Keep spilling out your garbages lakini one word ARUSHA ndio mnatakiwa kule kwa genocide mliyofanya na sio kagame anaye finance trial zenu ni international community are they wrong too?and your feel good fiction fantasies about hima empire is all BS
 
Ukiongelea udhalimu wa waarabu, wazungu na wakoloni wengine does that mean you hate them all? vipi kuhusu terrorists ukiongelea kuhusu al-shabab does that mean unachukia wasomali wote? I don't hate ALL tutsis. I hate YOU kind of tutsis!
Genocide ni matokeo ya watu kuvamia nchi period. You should be ashamed of yourselves. Mnasababisha watutsi wasiwe na raha kokote kule kwa tamaa zenu za madaraka.
Mnatakiwa Arusha kujibu mashtaka ya genocide wapuuzi wakubwa nyie,vita mlishindwa mkapigwa na baba zako kina bagosora wanaozea jela na wengine you are criminal wanted,and pls spare us with your BS of hima conspiracy maana is all garbage..you lost give it up!
 
Mkuu, huyu jamaa yuko blinded by his hatred kwa watutsi kiasi kwamba haoni kwamba anaji contradict mwenyewe. Na the more watu wanampa forum na nafasi kama hii, basi anajiona kuwa ni some "expert" on Rwanda. Unfortunately, expertisim yake inaishia kwenye Google tu. So, mimi nina enjoy googled comments zake ambazo hazina mantiki hata kidogo. Hawa ndio wale tunawaita "good at everything, best at nothing". Lakini tumpe fora hii....he is very entertaining.

wewe ambaye expertise yako ina kwenda beyond google lete argument za hoja na facts sio hizo ready made rhetorics za genocidaire, sympathizer, revisionist, FDLR, interahamwe.... ambazo hata ukiulizwa maana yake hujui!
Nilikuuliza mtutsi anaongozaje interahamwe kuua watutsi halafu inaitwa genocide against tutsi hutaki kujibu, some great thinker you are!!
 
Mnatakiwa Arusha kujibu mashtaka ya genocide wapuuzi wakubwa nyie,vita mlishindwa mkapigwa na baba zako kina bagosora wanaozea jela na wengine you are criminal wanted,and pls spare us with your BS of hima conspiracy maana is all garbage..you lost give it up!

baba yako kagame anatakiwa france huko, spain, hata marekani inamlia timing, ngoja kidogo SA waprove kamuua karegeya usikilize mziki wake!
 
Keep spilling out your garbages lakini one word ARUSHA ndio mnatakiwa kule kwa genocide mliyofanya na sio kagame anaye finance trial zenu ni international community are they wrong too?and your feel good fiction fantasies about hima empire is all BS

The international community kupitia United Nations ilitoa the mapping report nadhani unaijua hii inaprove nini Kagame amefanya DRC. We'll be more than happy to host this case here in Arusha when the time comes.

excerpts:
"One of the most controversial passages of the report concerns crimes committed by Rwandan troops. The UN report raises the question of whether some might be classified "crimes of genocide". The possible use of the term "genocide" to describe the conduct of the Rwandan army has dominated media coverage of the leaked report."

source: Human rights watch.

Remember this report was not prepared by jMali or ingabire, or Nyamwasa, but the UN, as in UNITED NATIONS, take that! are the UN also interahamwe or FDLR?
 
Last edited by a moderator:
baba yako kagame anatakiwa france huko, spain, hata marekani inamlia timing, ngoja kidogo SA waprove kamuua karegeya usikilize mziki wake!
Such a liar, hakuna sehemu Yeyote kagame anatakiwa kujibu anything na dunia nzima dismissed case mlizomfungulia..kawadanganye washamba wenzako sio hapa
 
Nawashauri hii siyo sehemu sahihi ya michango ya chuki,pelekeni ktk mitandao yenu!

Haikuhusu! Hii ni forum ya watanzania. Nenda kaongelee kwenye forums za kwenu rwanda (kama mnazo maana no free of speech allowed by the tyrant kagame). Tuacheni na yetu
 
Back
Top Bottom