jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,012
- Thread starter
- #21
Mkuu Comrade kuna swali ambalo mpaka leo sijui jibu lake. NI kwanini Interhamwe waliwaua watutsi? kwanini hili swali tunakwepa kila mara kutafuta au kueleza majibu yake?
Hawa jamaa machinjachinja tukielewa akili zao ndio tunaweza kudeal nao vizuri, kila siku tunasema watutsi watutsi watutsi, why are we not talking of interhamwe?
Swali lako zuri sana, tena sana. Interahamwe yenyewe iliongozwa na MTUTSI Robert kajuga! Na wafadhili wake wakuu walikuwa WATUTSI. Ukiwauliza hili swali hawa watutsi waliojazana humu kuwa iweje mtutsi aongoze kundi la kuua watutsi wenzie, wanakwepa kujibu wote. Ukweli ni kuwa Interahamwe originally lilikuwa kundi la vijana la kisiasa sio chinjachinja, liligeuka genocidal baada ya jeshi la Kitutsi likiongozwa na kagame kuvamia Rwanda. Ambapo kwa bahati mbaya kama kutokana na kundi lenyewe kuwa la vijana, watutsi wote wakageuka maadui.
Genocide unavyoifahamu wewe na watu wengine wengi, ilipangwa na Kagame ili kupata uhalali wa kuiongoza Rwanda (kwa kujidai kuistopisha). Without the so called Genocide, the most that kagame would have got ni kuwa included katika serikali ya majority kupitia yale mazungumzo ya Arusha, na si kuunda serikali nzima ya kitutsi kama ilivyo sasa.
Ndio maana hata yule hero wa filamu ya hotel Rwanda, Paul rusesabagina ambaye ni mhutu aliyeokoa watutsi, leo hii ni adui wa kagame, kwa sababu kagame anataka kuaminisha dunia kuwa hakuna mhutu binadamu, wote walishiriki kuua watutsi!