Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Balali ametokomea huko alikotokomea bila hiyo Dual citizenship, hadi leo we are still guessing his whereabout, angekuwa na uraia wa nchi nyingine angalau tungeweza kujua hata pa kuanzishia msako wetu.
Hii sheria haijapitishwa but- my dear you will be shocked ukipewa idadi ya wabongo wenye passport zaidi ya moja, hii ina include hao vingunge unaowahofia.
Hii sheria haijapitishwa but- my dear you will be shocked ukipewa idadi ya wabongo wenye passport zaidi ya moja, hii ina include hao vingunge unaowahofia.