Katiak kuzunguka zunguka humu nimekutana na ushahidi usiopingika kwamba J.K Mkongo alikuwa CHANGUDOA.., hii ni hatari sana..!
flora kamsaliti mumewe kwa gwajima hiyo haitaji elimu ys mlimani kujua ukweli
acha unafiki, hujui chochote wewe unapayuka tu,unamhukumu flora kwa kosa gani? ema pia ana tuhuma na hazijathbitishwa kwaiyo uache hukumu zako za kijinga nyerere ukimlaumu flora na kumwacha ema lazima wewe utakua mjinga na huna akili timamu, eti sio wife material! wewe una uhakika na una uthibitisho gani?
upeo wako mdogo matatizo ya kifamilia huwezi ukawachangisha waumini milion 9. Ulitupiwa jini bila kujielewa sasa limetoka unatoa ushuhuka kama msukule
Kwa mfano kaandika hivi: Cristina anazunguka Dunia kwa Baiskel kwa nia ya kutokomeza ukatili wa Kijinsia kwa Wanawake. Alipofika Tanzania na kuelezea azma yake hiyo aliambiwa amtafute Joyce Kiria...
sijaelewa maana yake ninini hasa? inawezekana yeye anajiona kama ni mtu maarufu sana. sijui ana nini cha muhimu
magezeti ya udaku yatakuponza sana wewe mtu mzima hatishiwi nyau
acha unafiki, hujui chochote wewe unapayuka tu,unamhukumu flora kwa kosa gani? ema pia ana tuhuma na hazijathbitishwa kwaiyo uache hukumu zako za kijinga nyerere ukimlaumu flora na kumwacha ema lazima wewe utakua mjinga na huna akili timamu, eti sio wife material! wewe una uhakika na una uthibitisho gani?
Hana uhakika bali ni akili za kibeki tatu
Atakuwa kainama kainua masaaabuuurrri yake akiwa mtupu akaanza kufikiri kanjanja namba moja anatetea haki za kijinsia akiamini kwamba mtua kiongelea jinsia anaongelea mwanamke she is a mere fool