Ni yule wa Wanawakn live?
Joyce Kiria kwenye hii issue angekaa kimya, sexual record yake ni mbovu sana.
Joyce Kiria ni Mke halali wa DJ Nelly, huyu Henry Kilewo amedandia tu, ndoa ya kilutheri haivunjiki mpaka mmojawapo atangulie kwa MOLA.
Huu ndo upumbavu ulioandikwa na Joyce Kiria facebook saa 1 lililopita;-
FRORA MBASHA POLE SANA...
NIJUAVYO MIMI NI KWAMBA, WAANDISHI WA
HABARI NA VYOMBO VYA HABARI TUNAONGOZWA
NA KANUNI NA SHERIA! NA KAZI KUBWA NI
KUIELIMISHA JAMII BADALA YA KUKANDAMIZA NA
KUPOTOSHA JAMII. KWA
JINSI HIYO NI LAZIMA IFIKE MAHALI TUONE
KWAMBA KUMDHALILISHA MTU ,PAMOJA NA
KUINGILIA UHURU WA MTU BINAFSI NI MAKOSA!
Kinachoe delea sasa ivi juu ya Flora&Mbasa ni
kwamba tunaingilia maisha binafsi ya mbasha na
mbaya zaidi tunamdhalilisha ''MWANAMKE''
Flora..kwa sasa tunauza sana magazeti na tunapata
trafiki kubwa kwenye blogs zetu ili kujiingizia
kipato..kwa Kumdhalilisha Flora ndicho
kinachoendelea...
Kama tumeamua kuchukua jukumu la Mahakama
sawa. Maana ndicho tunachokifanya kila kona
kujaribu kutoa hukumu ya kesi hii! Mbaya zaidi 99%
tunamuhukumu Flora eti kwa misemo kwamba
MWANAMKE -------- hubomoa nyumba yake
mwenyewe!
Ni lini huu mfumo dume ndani yetu utaondoka?
Kosa linalomkabili mume wa Flora liko wazi wazi, na
vitendo hivyo vinafanyika sana sana ndani ya
nyumba zetu. Ni vitendo vya kumdhalilisha
Mwanamke sana na vinatuumiza sana kina mama
wengi. Hakuna mwanamke atakaependa kusikia
mumewe kamdhalilisha kwa kulala na mwanamke
mwingine. Tena mdogo wake??! Tena kwa kubaka!
Hakunaaaaa! Hayupo huyo mwanamke...
Nikijaribu kuvaa viatu vya Flora ni vizito sana. Wala
sijui ningefanya nini kwa maumivu ninayohisi....
Kinachoniumiza ni kwamba jamii imeacha HOJA ya
msingi ambayo ni kitendo alichofanya Mbasha na
ndicho kimempandisha kizimbani Mbasha!! na
badala yake jamii kuanza kumuona Flora ni mkosefu
kuliko aliyebaka..
Kwa maneno mengine ni kwamba tunabariki
alichokifanya mbasha, na kwamba Mwanamke
yeyote asichukue hatua yeyote endapo Mume
atabaka au kutoka nje ya Ndoa yake.
Yaani mnatuambia wanawake wa nchi hii kwamba,
ukimfumania mumeo au akibaka we umsamehe
kimya kimya na maisha yaendelee! Mpaka sasa
jamii haioni kwamba Mbasha amefanya kosa kabisa!
Kana kwamba kama Mbasha hatakiwi kukemewa bali
asifiwe mwanzo mwisho na zawadi apewe kwa
kitendo hicho kama atakutwa na hatia kwamba
amefanya...
yaan kwenye jamii yetu inaonekana mwanaume kua
na mahusiano nje ya nyumba yake ni Sifa tena
anapewa majina mazuri ya urijali! lakini kwa
mwanamke ni umalaya na Ukahaba...
Hapo ndo napataga wazimu wa kichaga aiseee...
Inaniumiza sana na kuna siku nilikaa nikaamua
kuvunja ukimya juu ya hili jambo la michepuko tena
nikawataja wazi wazi watu tunaowategemea wawe
mifano bora lakini wao ndo waharibifu wakubwa! Cha
ajabu jamii iliinuka juu yangu ila ukweli ulisimama
na unabaki palepale kwamba mtu anapotoka nje ya
Ndoa yake au nyumba yake ni MZINZI na anatakiwa
akemewe bila kuangalia Hadhi yake.
kinachofanyika sasa kwenye jamii ni UNYANYASAJI
DHIDI YA MWANAMKE NA UKATILI WA KIJINSIA pale
tunapowaona wanaume WAzinzi ni marijali na
Wanawake ndo Malaya na makahaba...
mbaya zaidi kuna baadhi ya wanawake wenzetu
wanaushadadia huu MFUMO DUME kiasi kwamba
wanakua mstari wa mbele kumnyooshea Flora vidole
huku wakisahau kua mwenzio akinyolewa na ww
zako tia maji..WANAWAKE TUSIMAME IMARA
KUTOKOMEZA UKATILI NA MFUMO DUME kwenye
jamii yetu...Kama kuna mwanamke atakaeshereheke
a mume wake akimbaka mdogo wake basi huyo
amnyooshee kidole Flora...
Nasisitiza! ni kwa nn mwanaume husifiwa kwa uzinzi
Na jamii inatetea???! HUU NI MFUMO DUME na ni
Ukatili dhidi ya Wanawake...
MIMI JOYCE KIRIA NASEMA, MAADILI YAZINGATIWE
NA WATU WOTE BILA KUJALI WADHIFA WA MTU. NA
ENDAPO MTU AKIKENGEUKA BASI JAMII IMKEMEE
VIKALI. BADALA YA KUTUKUZA UZINZI KWA
KUANGALIA STATUS ZA WATU NA KUKANDAMIZA
WANAWAKE....
kwa pamoja tunaweza kutokomeza ukatili huu.....
NOTE: WAKINA MAMA TUPIGE MAGOTI TUMLILIE
MUNGU ASEME NA HAWA WATU WANAOTAWALIWA
NA PEPO MCHAFU WA UZINZI..IN THE MIGHT NAME
JESUS I PRAY....
hivi kumbe unaweza fungwa bila kufikishwa mahakamani?Mi naona ananijichanganya tu, eti kosa la Mbasha liko wazi kwa kuwa hayo mambo yanatokea sana, lingekuwa wazi angepelekwa mahakamani? Si angekuwa jela!
Kwa hiyo Joyce Kiria ana uhakika 100% Mbasha amebaka? ----- sana huyu mwanamke. Nadhani hajitambui
Hebu nipe tofauti mbili kati ya kilichofanywa na joyce kiria na kinachofanywa na baadhi ya wana jf!Nadhani hana uelewa wa kutosho, anachojua yy ni haki za wanawake tu, bora aendelee kumsapoti mmewe kwny siasa n c anachokifany ss
Leo inabidi nitoe siri, Joyce Kiria nishamla mara tatu, lakini kipindi hicho hajakutana na Henry Kilewo.
Siku zote Wanawake Wana akili za kuvukia Barabara tu..
Kama Elimu ameikosa basi kukaa mjini kungemfanya walau ajitambue..
Nimeamini wanawake akili zao ni Shake Well before Use...
NB;
Hakuna harakati kwenye ndoa.
usilazimishe unachoamini wewe kila mwanamke afuate. usituharibie wake zetu kama umezoea kubadili wanaume kila mara kutokana na kujifanya unajua sana haki za wanawake ni wewe. kaa kimya kama huna la kuongea.