Upishi wa ovyo ovyo umefanya nimuache

Upishi wa ovyo ovyo umefanya nimuache

TimeStope

Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
80
Reaction score
126
Toka nimuoe hajawahi kupatia kwenye mapishi, kila anachopika lazima kiwe na mapungufu; kama sio chumvi nyingi, basi chakula kitakuwa kibichi lakini kweke yeye chakula kukosa chumvi ni kawaida, chumvi kuzidi kiasi ni kawaida, kuwa kibichi kawaida vilevile, chakula kukosa ladha ndo usiseme

Kuelekezwa pia hataki, maana anakuwa anaona kama anadharauliwa!

Nimevumilia vya kutosha imefika mahali nimeona isiwe tabu. Kwa sababu haiwezekani kusema una mke harafu kupika anazidiwa na Mama Ntilie

Wanawake wana paswa kujua kuwa, hatuowi kwa sababu tu ya kurahisisha Sex-Intercourse, kuna vitu vingi sana kutia ndani mapishi mazuri nk.
 
Seriously unaamuacha kisa ajui kupika!? Ebu mrudishe nyumban alaf uongee na mama ake amweleze ukwel kuwa umechoka na tabia yake ya ukaidi hasa unapomueleza kuhusu mapishi yake, baada ya hapo mtaftie mwalim amfundishe kupika na umwambie kabsa akishindwa hapo ndio ndoa imekufa kabsaa hautoweza mvumilia tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom