Upinzani bila kubadili siasa mtapata hasara kubwa Kwa Samia..

Unaleta mfano wa Sabaya kwenye hoja nyeti za kitaifa ?

You are not serious
Hahahaha tukifikiri na kuona tupo sahihi bila kuzama kutafuta na kujua uvunguni kuna nini, tutasumbuka sana.

Wakati hutoa maelekezo ya kufuata hata kama hauyataki. Hakuna haja ya kutukanana wala kudharauliana kwenye kuchangia, nchi ni yetu sote.
 
Hahahaha tukifikiri na kuona tupo sahihi bila kuzama kutafuta na kujua uvunguni kuna nini, tutasumbuka sana.

Wakati hutoa maelekezo ya kufuata hata kama hauyataki. Hakuna haja ya kutukanana wala kudharauliana kwenye kuchangia, nchi ni yetu sote.
Angalau ungeleta mfano unaofaa kwa taifa siyo unaokufaa wewe binafsi
 
Unazungumzia ETHOS hakuna utawala ulikuwa wa hovyo kimaadili kama utawala wa JPM.

yeye mwenyewe hakuwa na maadili ya kiuongozi mbele ya umma.

Hakuzingatia haki za binadamu, isipokuwa kulikuwa na haki za wanaccm wanaomuunga mkono.

Aliongoza kuteua viongozi wasio na maadili kwa jamii Masalia yake bado yapo jana tumesikia mkuu wa wilaya akimtukana mwananchi, yeye ametukana wananchi for 5 good years.

Kuna wakuu wa wilaya walikuwa wanachapa viboko watu hadharani.

Kuna watu walipotea kama sindano.

Hizi ndiyo ethos unazopenda wewe ?
Unaandika kiushabiki ama huijui Unaandika nini. Kwani watanzania ni wale tuu walio opposition. Tunapo sema turudi katika Ethos zetu ni watanzania wote tuu.

Kwani wewe huoni kabisa kuna Ubaya kutoka opposition? Siasa za extremism haiwezi kutusaidia kama nchi.

Mtawala anatumia promotional power kufuatana na action za opposition kuzi naturalised.
 
Unaandika kiushabiki ama huijui Unaandika nini. Kwani watanzania ni wale tuu walio opposition. Tunapo sema turudi katika Ethos zetu ni watanzania wote tuu.

Kwani wewe huoni kabisa kuna Ubaya kutoka opposition? Siasa za extremism haiwezi kutusaidia kama nchi.

Mtawala anatumia promotional power kufuatana na action za opposition kuzi naturalised.
Kwahiyo yeye alikuwa sawa kuwa extremist ?
 
Unaandika kiushabiki ama huijui Unaandika nini. Kwani watanzania ni wale tuu walio opposition. Tunapo sema turudi katika Ethos zetu ni watanzania wote tuu.

Kwani wewe huoni kabisa kuna Ubaya kutoka opposition? Siasa za extremism haiwezi kutusaidia kama nchi.

Mtawala anatumia promotional power kufuatana na action za opposition kuzi naturalised.
Kama hoja yako umeileta kishabiki mimi kwanini nisikujibu kishabiki.

Ukizungumzia ethos katika utawala wa awamu ya tano unafit only for a bad example.
 
Kwahiyo yeye alikuwa sawa kuwa extremist ?
Alikuwa sawa tuu kama iliishiwa njia za kistaarabu ku counter actions za opposition. Japo kulikuwa na njia nyingi mnoo ambazo hakuchagua kuzifuata. Mapungufu.

Mtoto kaiba shs 5000 unachoma mkono, kumbe hata kumuweka kikao kumfahamisha ingesaidia sana.
 
Alikuwa sawa tuu kama iliishiwa njia za kistaarabu ku counter actions za opposition. Japo kulikuwa na njia nyingi mnoo ambazo hakuchagua kuzifuata. Mapungufu.

Mtoto kaiba shs 5000 unachoma mkono, kumbe hata kumuweka kikao kumfahamisha ingesaidia sana.
Maana yake hakuwa mstaarabu ?
 
Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...

Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..

Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..

Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..

Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..

Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....

Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...

Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....

Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Mkuu kwa uwezo wako sikutarajia uje na hitimisho hili mapema hivi. Kumbuka kwenye siasa ni kutangaza sera, na kutumia mapungufu ya mshindani wako kupata uungwaji mkono. Ukijaribu kuangalia sera na ilani ni kama zinafanana ukiacha approach, kinachobakia ni kucheza na udhaifu wa mshindani wako. Hiyo ndio siasa ilivyo.
 
Toka mwendazeke aende,nchi imepoa sana. Hakuna amshaamsha kabisa.

Sie tulishazoea masimango na mwendo wa kikakamavu iwe mvua iwe jua.

Tungeshapewa majina na kauli za kuudhi. Mama amrudishe hata makonda tu awe anachangamsha mitandaoni.
 
Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...

Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..

Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..

Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..

Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..

Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....

Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...

Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....

Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Vipi bado unamtazamo ule ule ?
 
Jamaa umeandika vema. Yyte atakaeanza kumkosoa mama watu watamuona ana nongwa na ni muonevu na watahoji kwa nn aliufyata kwa mbabe jiwe? Mfano ni yule dada kule tweeter ambae watu walimbatiza jina la Ferain baada ya kumkosoa mama huku kwa jiwe akiwa ameufyata na vijitivii vyake vya mkononi kupigwa ban.


Wapinzani this time watakua ni loosers. Ishara nyingne niionayo ni bunge. Wabunge washasoma alama za nyakati na sasa wamejitwisha kazi ya upinzani kukosoa serikali na mama kaahidi hilo. So upinzani hautakua na hoja tena maana kila kitu kinafanyika. Mfano ji akina GWAJIMA, NAPE, GAMBO, MAKAMBA MUHONGO N.K
Vipi bado unamsimamo huu ulichoandika hapa ?
 
Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...

Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..

Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..

Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..

Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..

Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....

Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...

Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....

Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Sijui umeanza kuweje wewe.

Hakuna mtu atakosa kasoro hata kama ni mwanamke.
 
Back
Top Bottom