Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Kwa yeyote yule aliezimiwa simu yake ambapo alikuwa anatumia tiGO,Voda au Airtel,aweke line ya Halotel simu itakuwa hewani kama kawa. Hapa TCRA tushawashinda.
 
Why wasingeanza na dawa feki,barabara feki serikali feki pikipiki feki almost kila kitu from china is the lowest quality ever why only simu kuna nini they r hiding biashara kama ile ya mabasi lazima speed gavana leo zinakimbia mia ishirini ?
 
TCRA
Wapendwa wateja wa mitandao mbalimbali ya simu za mkononi,kwa sasa tumezima baadhi ya simu tu kwa awamu ya kwanza jumla ya simu 673,890.
#Awamu ya pili tunatarajia kuzima simu 4,945,641.
#TAFADHALI ENDELEA KUHAKIKI SIMU YAKO NA PIA USINUNUE SIMU KIHOLELA.
TCRA TCRA TCRA TCRA TCRA
 
TCRA
Wapendwa wateja wa mitandao mbalimbali ya simu za mkononi,kwa sasa tumezima baadhi ya simu tu kwa awamu ya kwanza jumla ya simu 673,890.
#Awamu ya pili tunatarajia kuzima simu 4,945,641.
#TAFADHALI ENDELEA KUHAKIKI SIMU YAKO NA PIA USINUNUE SIMU KIHOLELA.
TCRA TCRA TCRA TCRA TCRA
Hahhahahaaaa
 
Huu ni uonevu kwa jukwaa la Tech, Gadgets & Science Forum , Jukwaa la Siasa linapendelewa. Uzi huu ulitakiwa ukae kwenye jukwaa la Tech, Gadgets...... Na uzi huu ungewezesha watu wengi wajue umuhimu wa jukwaa la Tech, Gadgets....
Ujumbe huu uwafikie Moderators.
===========================
Nawapongeza TCRA na Wizara ya elimu (TCU, HESLB), TAMISEMI kwa kazi hii wanayoifanya...nashauri mazoezi kama haya yafanywe na TBS, TFDA, TANROAD, Bodi ya SUkari, na taasisi nyingine kama hizo kushughulikia badhaa na huduma feki kwenye maeneo yao ya kazi .
 
ccm UVCCM ndio watakuwa wameumia maana walipewa simu za mchina ili watumie jf na kwingineko.tumchek lizabon FaizaFoxy na tata madiba kama wako heawani.

swissme
Mtatumis sana JF kwa hoja zetu kuntu.
 
TCRA
Wapendwa wateja wa mitandao mbalimbali ya simu za mkononi,kwa sasa tumezima baadhi ya simu tu kwa awamu ya kwanza jumla ya simu 673,890.
#Awamu ya pili tunatarajia kuzima simu 4,945,641.
#TAFADHALI ENDELEA KUHAKIKI SIMU YAKO NA PIA USINUNUE SIMU KIHOLELA.
TCRA TCRA TCRA TCRA TCRA
Hivi kinacho zimwa ni simu ama mtambo uliokuwa unaruhusu simu feki kutumika?
 
Back
Top Bottom