Evod Denis
Member
- Jun 16, 2016
- 15
- 2
Tcra bado kuna simu fake mjini....
Nilikwisha wajuza hii ni sanaa.Zile simu ambazo zilikuwa hazionyeshi IMEI namba tuliambiwa ni feki kikiwemo kisimu changu kimojawapo. Nimeuliza watu kadhaa hadi hivi sasa wanasema pamoja na simu zao kutoonyesha namba hiyo hazikuzimwa.
Sasa najiuliza yalikuwa maigizo? Au ilikuwa kuzima mjadala wa sukari na bunge live? Tuombe majibu toka TCRA maana walishatutisha kwamba kukaa na simu hizi ni hatari kwa afya na mazingira
Kwa uhalisia, watu wengi ambao walisema IMEI zao zinaleta majibu kuwa ni fake,bado simu zao ziko hewani. Jana usiku kama sikosei nilisikia TCRA wakisema so far simu 630,000 zimeshazimwa. Nilichojiuliza hiyo idadi ni ndogo sana kulingana na ukweli wa soko la Simu Fake Tanzania.Sio kila simu ambayo ukitafuta imei number yake na kuifanyia imei verification then ikaleta nt original bas n fake inategemea kama brand iyo ipo kwenye database
Tunaendaga huko na mission zetu za kiserikali ukikutana nao ni wanyonge kweli.. Pesa za kununua makoti na raba mpya mpya utawakoma simu zenyewe wananunua ebay second hand au hizi za mikataba. Kuna mmoja alikuja na iphone bongo namwambia niuzie utaenda kununua nyingine oooh, iphone za us hazishiki huku.....hahaha What a dope!Siyo kibarua tu mkuu, huyu Nyani Ngabu huwa anaosha mbupuma za vibabu vya kimarekani! Bpra nibaki kwetu nile vumbi kuliko aibu hii! Na vibabu vya kizungu vinavyonuka sasa mmmhhhhh!!
Sio chajiUzimaji unaendelea
nina kisimu kidogo
kilikuwa bado hewani mpaka saa 1 asubuhi
sasa hivi kimezimwa
BAD NEWSUzimaji unaendelea
nina kisimu kidogo
kilikuwa bado hewani mpaka saa 1 asubuhi
sasa hivi kimezimwa

Na mbwembwe zote humu kumbe unatumia mchina?View attachment 357206 mimi yangu washafanikiwa tayari jamani kuizima.
Weka picha?Uzimaji unaendelea
nina kisimu kidogo
kilikuwa bado hewani mpaka saa 1 asubuhi
sasa hivi kimezimwa
Hih imewezekana?Na mbwembwe zote humu kumbe unatumia mchina?