Mambo ya ajabu sana....nchi ya ajabu sana hiiSimu fake zinapojaribu kuzimwa kupitia mitambo fake!
labda bado ipo kwenye foleni ya kushughulikiwa. kuna jirani yangu alifurahi kuona simu yake imevuka salama saa6 usiku bila kuzimwa, lakini leo asubuhi mida ya saa mbili ikazimia kama sio kufa. imebaki kama mashine ya calculator na kusikiliza musicHata mimi ninayo simu nagu moja ni fake lakini bado inapiga mzigo , network inasoma freeesh
Haha.stay tuned.Porojo za kijiweni Mtaa wa Ufipa
Mbona yangu imeonaNimemsikiliza mtaalam wa TcRA anasema pin liko pale pale leo saa tano na dakika hamsini na tisa usiku.
Yaani cm fake hazitaiona tar 17.
jiji ndani jiji? solemba! mbona sijawahi kumsika meya wake?Ni jiji flani linalokuwa kwa kasi pembezeno mwa jiji la Dar