Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Mbona kuna mtu hapa simu yake ni feki kabisa na TCRA walimtumia sms mara kadhaa kwamba abadili simu kabla ya June 16 lakini hadi muda huu anaendelea na matumizi kama kawaida.Sio mmoja tu wapo wengi au ndo kusema zoezi limeshindikana?
 
Awa TCRA naona shuguli imewashinda ngoja tuwape kaz TANESCO
 
Me nilisemaa hapa wakuu....Bongo hakuna linalowezekana...simu wanazoziita fake bado zipo zinapiga kazi kama kawaaa...
 
Hakuna kitu kama hicho...hawezi kuzimahata simu feki zina IMei feki pia, wakiamua kuzima basi jue hata original zinaweza kuzimika na kuleta madai ya kibiashara...ukizima simu ya mtu mfanya biashara ana haki kudai fidia kubwa tu
 
Hakuna kitu kama hicho...hawezi kuzimahata simu feki zina IMei feki pia, wakiamua kuzima basi jue hata original zinaweza kuzimika na kuleta madai ya kibiashara...ukizima simu ya mtu mfanya biashara ana haki kudai fidia kubwa tu
Mbona nchi nyingi ikiwemo China yenyewe walishafanya hili zoezi?Hata jirani zetu Kenya walishafanya..hakuna cha kudai fidia kubwa wala nini..Wafanyabiashara wa simu walifaidika sana na ulaghai wao wa kununua simu vichochoroni then wanatupiga kwa bei kubwa acha ile kwao nao maana mzigo umedoda mno
 
Mbona kuna mtu hapa simu yake ni feki kabisa na TCRA walimtumia sms mara kadhaa kwamba abadili simu kabla ya June 16 lakini hadi muda huu anaendelea na matumizi kama kawaida.Sio mmoja tu wapo wengi au ndo kusema zoezi limeshindikana?
almuradi uoneshe kwamba hili suala ni uwongo..wabongo kwa kupinga hamjambo,mpe hongera ambaye simu yake feki haijafungiwa
 
Habari wana jf,

Jana ndio ilikuwa mwisho wa hizi simu zetu zakimagumashi, lakini nashangaa bado kuna simu yangu nayo ni cheche lakini inaendelea kupiga mzigo kama kawaida, sasa hebu tu juzane kama mpango umehairishwa au mpango ume feli?
 
unaonaje ukiwauliza TCRA na uwaambie kabisa kuhusu hiyo simu yako ambayo bado inapiga mzigo ili waitendee haki
 
Habari wana jf,

Jana ndio ilikuwa mwisho wa hizi simu zetu zakimagumashi, lakini nashangaa bado kuna simu yangu nayo ni cheche lakini inaendelea kupiga mzigo kama kawaida, sasa hebu tu juzane kama mpango umehairishwa au mpango ume feli?
1466143446571.jpg
Mkuu tulia na wala usiwe na presha watakufikia
 
Back
Top Bottom