NDO NAJISHANGAA MKUU MAANA NILIAMBIA SIMU YANGU FAKE KWA SMSPolisi jamii mbona bado uko hewani wakati time imeshaisha?
huenda yake ni OGPolisi jamii mbona bado uko hewani wakati time imeshaisha?
TCRA ilikuwa inataka kuvuta attention ya wabongo. Hamna kitu kinachozima-kesho watakuja na swaga za "zoezi hili limekuwa gumu kutokana na ..."Mboni thimu yangu feki ya "Yong Ching" haijazimwa?!
Au ndo kiki mpya?