Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Mimi simu yangu haina imei kabisaaa na bado ipo hewani kama kawaida.

Labda sikuelewa walituomba tuzime wenyewe!!!
Haina imei?
Aiseeee!!! Kaka unajua imei n nini?
Sio kwamba watazima simu zote simu nyingi sana sio feki ni 3% ya simu zote tz ndio zitazimwa.. Unaambiwa kampuni yenye simu nyingi feki ni kama laki tatu tu..
 
Mchina noma sana, alipo sikia hilo tangazo tu aliwahi kuweka defence zone kwa sim zake zote zilizopo Tz ili asipoteze soko, sasa kazi kwa TCRA kungámua hiyo kitu.
 
Haina imei?
Aiseeee!!! Kaka unajua imei n nini?
Sio kwamba watazima simu zote simu nyingi sana sio feki ni 3% ya simu zote tz ndio zitazimwa.. Unaambiwa kampuni yenye simu nyingi feki ni kama laki tatu tu..
Hii nchi kuanzia baba je.si.ka mpaka mfagia ofisi wote ni wasanii
 
Back
Top Bottom