Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Update:
Mapumziko sasa na matokeo ni haya:
Simba 1:1 Azam
Mgambo 1:0 Yanga
Mbeya city 1:0 Prisons.
 
Team today AISHI MANULA ERASTO NYONI GADIEL MICHAEL DAVID MWANTIKA AGGREY MORIS MICHAEL BOLOU HIMID MAO SALUM ABUBAKAR JOHN BOCCO KIPRE TCHETCHE KHAMIS MCHA SUBS MWADINI ALI LUCKSON KAKOLAKI KELVIN FRIDAY MUDATHIR YAHYA BRAISON RAFAEL GAUDENCE MWAIKIMBA BRYAN UMONY

Mara ngapi nikukataze huu uandishi wako.
 
Yanga tunahitaji ushindi,waganga wa Simba wanafanya kazi nzuri huku
 
Mohamed Netto wa Mgambo JKT amepewa kadi nyekundu na kutolewa nje kwa sababu ya kitendo cha kumwonyesha mwamuzi wa mchezo nyeti zake (mbo.o) halafu kakutwa na kimzizi kinachodhaniwa ni hirizi.
Dakika 45' mgambo wako pungufu lakini bado wanaongoza 1 bila.
ha ha ha ha ha! naona yanga ya manji imeanza kuonyesha fitina zake! huyo mohamed netto kapigwa pesa za manji!
 
.....hakuna ubishi, Simba inabidi imuachie Azam pointi zote 3 leo, matokeo ya 1-0 yanatosha kabisa sioni kwanini tung'ang'anie.
 
Leo ndo leo! pale taifa na mkwakwani.

Azam tunampakata mnyama,Yanga wanadraw na Mgambo.
Fuatilia via AZAM TV,TBC TAIFA NA JF.

Weka live update hapa, umia sana mimi mgambo chapa timu yangu... ngoja kipindi cha pili.
 
Back
Top Bottom