Mgambo kamchapa kandambili goli tatu,zote za penalty...golikipa wa yanga dida ameshikwa tena kwa uchawi kama ilovokua kule misri...
Kuhusu ubingwa wasaahu,nafasi ya tatu nawaombea waipate.
simba pigeni mbili tu hao lambalamba manake wana mdomo sana
Lao Mashabiki na wanazi wote wa kandambili "mutake musitake" lazima mumshangilie Mikia. Arafu sasa Dua zenu hazitafua dafu.Simba pigeni mbili tu hao lambalamba manake wana mdomo sana
Mkuu Pamoja sana leo lazima mnyama apakatwe na ubingwa tunautangaza leo leo, chezea fedha weye.Leo ndo leo! pale taifa na mkwakwani.
Azam tunampakata mnyama,Yanga wanadraw na Mgambo.
Fuatilia via AZAM TV,TBC TAIFA NA JF.
Nilijua ulaya bana.....Ambiere vp asee?
Ukiniuliza hata Ronaldo anacheza timu gani sijui
ila ronaldo mwenyewe unamjua!