Nilitamani sana hawa vijana wachukue ubingwa bora imekuwa hivyo,
Tumechoka na simba na yanga timu zisizo na maendeleo ujanja ujanja tu hata viwanja hazina club hata kituo cha radio hazina zote zinakaribia umri wa miaka 50 hovyo kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.