ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
Binafsi sikukubaliana na kaseja kurudi jangwani kwa mara ya pili...ktka game mistake kutokea ni kawaida, ngoja tuone vijana watakavyorudi kipindi cha pili.Yondani alimrudishia mpira kaseja....badala abutue akataka kupiga pasi ya kimo cha ng'ombe ili ule mpira umpite mshambulizi kichwani.....matokeo yake Mpira ukamgonga mshambulizi kichwani moja kwa moja wavuni.