Mcc 1 prison0
Utadunda na kuishia nafasi ya 3
Utadunda na kuishia nafasi ya 3
Goooooooooooooo, mbeya city1 prison0, dk ya kwanza
...mbona updates haziwekwi hapo juu ? au hamko uwanjani,sikilizeni hata redioni mtupe updates ya hizo tamthilia,wengine tupo mbali...
Sio Said huyo yule wa left..!?
Update:
40' Azam 1:0 Simba
40' Mgambo 1:0 Yanga
10' Mbeya City 1:0 Prison.
Tuendelee............
Update:
40' Azam 1:0 Simba
40' Mgambo 1:0 Yanga
10' Mbeya City 1:0 Prison.
Tuendelee............
Mohamed Netto wa Mgambo JKT amepewa kadi nyekundu na kutolewa nje kwa sababu ya kitendo cha kumwonyesha mwamuzi wa mchezo nyeti zake (mbo.o) halafu kakutwa na kimzizi kinachodhaniwa ni hirizi.
Dakika 45' mgambo wako pungufu lakini bado wanaongoza 1 bila.
kaseja kanifurahisha balaa...