UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

hata wakimfanyia mamayako itakuwa nzuri sana sasa tutajipanga mtu kama wewe weka contact zako tukuoneshe mapigo tunayaweza sasa mpaka 2015 tutakuwa na kikosi kazi tit for tat mmeanza tutamalizia kwi kwi kwi whatch your shoulder mate
 
Blah blah blah blah, nyingi. swali dogo tu, Atarudia?

Asirudie anamwogopa nani. Dr. SU is a hero!!!! Mmeshindwa na mtashindwa zaidi siku za mbeleni. Kashasema yuko fiti na subiri ufiti wake. Kama mna gati mbona hamkuzuia maandamano jana? Mmefyata mkia!!! sema
 
zomba huoni aibu kuisifia serikali iliyomshindwa mtu mmoja"ulimboka''?
Kwa hiyo system ilitumia kodi zetu kwa kupambana na ulimboka,shame!
System hiyo hiyo ilishindwa kugundua bendera zetu katika meli za iran!

Zomba toto la FIsadi likiugua linatibia nje ya nchi!!! Mwenye uchungu na ndugu zake wanaougua mjini na vijijini wanakosa vipimo na dawa hawezi kuwa na maneno ya kejeli kama ZOMBA. Imagine jinsi gani tunateseka kulipia extended family matibabu na vipimo private wakati hospital kama Muhimbili tunazo. Kuli aliandika "Yana mwisho haya"
 
Tena zaidi!!! Ameonja mauti na Mungu kamtema kupitia tundu dogo. Mungu hachezewi!! Dr. SU tuko mbele yako!! Do not worry.

Precision work, nna uhakika waliyoifanya hiyo kazi walikuwa ni ma surgeon wazuri sana! kwi kwi kwi teh teh teh! adabu kafundwa, ngoja tuone kurudi kwake kama atarudia au ame-taadab. Na wataomsikiliza wapo? kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Precision work, nna uhakika waliyoifanya hiyo kazi walikuwa ni ma surgeon wazuri sana! kwi kwi kwi teh teh teh! adabu kafundwa, ngoja tuone kurudi kwake kama atarudia au ame-taadab. Na wataomsikiliza wapo? kwi kwi kwi teh teh teh!

So what? Walikuwa surgeon wazuri mbona operationa abbot hiyo? Imekula kwao na bahati nzuri hata vipimo vya toxic damuni hakuna!!! Mlifikiri ummeshaua na hamkuweka ile kitu ya kumaliza!!! Mungu kamponya na atajilinda extra!!
 
So what? Walikuwa surgeon wazuri mbona operationa abbot hiyo? Imekula kwao na bahati nzuri hata vipimo vya toxic damuni hakuna!!! Mlifikiri ummeshaua na hamkuweka ile kitu ya kumaliza!!! Mungu kamponya na atajilinda extra!!

Hakutakiwa afe huyo, alikuwa anatiwa adabu tu. Precision surgeons kazi yao si kuuwa, kazi yao ni kutibu. Na wamefanikisha kwa kiasi kikubwa sana. Vipi, mgomo unaendelea?
 
Hakutakiwa afe huyo, alikuwa anatiwa adabu tu. Precision surgeons kazi yao si kuuwa, kazi yao ni kutibu. Na wamefanikisha kwa kiasi kikubwa sana. Vipi, mgomo unaendelea?

Mgomo mbona bado upo? Tatizo lako hutubiwi Tanzania!! Sisi tunaopata huduma Muhimbili tunajua mgomo bado upo na utaendelea kuwepo hadi serikali yako itakaposikiliza na kufanyia kazi madai yao. Kiranja amerudi na yuko fiti. Na hatakaa afe, he remains our hero na watanzania wote wanaoishi chini ya dola 1.25 per day ambao ni 67.9% of the total population of over 44 million tunajua hilo. Wewe unayeishi kwa more than 250 USD per day hujui shida ndiyoa maana unaongea utani. Tuko serious na tunawakilisha maskini hapa mtandaoni wewe unawakilisha waliokutuma kuja kufanya counter ya michango yetu. You are never realistic!!! Umeshiba na kusazia wale mbwa wenu, sorry kumbe mbwa wenu hawali makombo, wananuliwa dogs stuff with suplements!!!
 
eleza wewe iliyo too high ya kwenda ku negotiate mgomo bar? Kwi kwi kwi teh teh teh. Ingawa inauma lakini ndio ukweli, jamaa kachombezwa akaingia kichwa kichwa, vijana wakamshughulikia, sijui kama hawajamtia vidole vya macho, maana kichapo cha usiku kucha si mchezo.

Ukifatilia posts zangu za jf nilililsema hilo humuhumu jf kabla hajala kichapo. Nilisema huyo dawa yake akamatwe atandikwe ndio atajuwa wagonjwa wanaumwa vipi. Naam, utafikiri nilikuwa natabiri, haijapita siku mbili, jamaa kachezea kichapo cha maana.

Atarudia?

usiogope auaye mwili! Ogopa auaye roho! Mwili hufa roho haifi!
 
usiogope auaye mwili! Ogopa auaye roho! Mwili hufa roho haifi!

Na wagonjwa huteseka wakiwa hai kungoja madaktari waliogoma, kumbuka na hilo. Na wale wanaroho na wana miili inayohitaji huruma na kutazamwa zaidi ya hao madaktari wanaoshinikiza wenzao waache kuwatibu wagonjwa waingie mitaani.

Jee, Atarudia?
 
Mgomo mbona bado upo? Tatizo lako hutubiwi Tanzania!! Sisi tunaopata huduma Muhimbili tunajua mgomo bado upo na utaendelea kuwepo hadi serikali yako itakaposikiliza na kufanyia kazi madai yao. Kiranja amerudi na yuko fiti. Na hatakaa afe, he remains our hero na watanzania wote wanaoishi chini ya dola 1.25 per day ambao ni 67.9% of the total population of over 44 million tunajua hilo. Wewe unayeishi kwa more than 250 USD per day hujui shida ndiyoa maana unaongea utani. Tuko serious na tunawakilisha maskini hapa mtandaoni wewe unawakilisha waliokutuma kuja kufanya counter ya michango yetu. You are never realistic!!! Umeshiba na kusazia wale mbwa wenu, sorry kumbe mbwa wenu hawali makombo, wananuliwa dogs stuff with suplements!!!

Huna unaemwakilisha wewe, wanaowakilisha huwajui?

Huo mgomo labda upo kiboroloni, Muhimbili hakuna.
 
Na wagonjwa huteseka wakiwa hai kungoja madaktari waliogoma, kumbuka na hilo. Na wale wanaroho na wana miili inayohitaji huruma na kutazamwa zaidi ya hao madaktari wanaoshinikiza wenzao waache kuwatibu wagonjwa waingie mitaani.

Jee, Atarudia?
wagonjwa huteseka na kufa kwa ukosefu wa dawa.usitoe hoja zenye viraka!
 
Back
Top Bottom