Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

Update ya askari wa JWTZ aliyeshushiwa kipigo

Haya mambo ya nidhamu jeshini kayabadili mwamunyange kipindi cha mboma na waitara jeshi lilikuwa na ubabe sana mwamunyange alianza hadi kufukuza wasumbufu sio awamu hii tu bwana mdogo.
Ok
 
hapo wametoa lawama tu ili wasihisike na lolote litakalo tokea binadamu wanakawaida ya kujisahau wasubiri watapata majibu yao ni swala la muda tu ilo
 
Angesema kuwa hana sidhani kama yangemkuta ya kumkuta. Kabla hujachukua usafiri na una hela pungufu unaongea.
Asa si unajua shy tenah,yeye anajua watu wanajua wao wana hela akisema hana si aibu
 
Kuna operation fulani 2013 Oljoro ya TPDF ambayo ilichukua wengi ma koplo wakujitolea toka JKT, hawa vijana waliiva sana maana walikuwa wamepata kozi mbili za kijeshi kabla hawajaajiriwa kisha kupata ya 3 iliyowaunganisha kwenye ajira JWTZ.
Wakati wamekwishamaliza kozi wanasubiria kupangiwa vikosi mmoja akaharibu kwakugombana na police , polisi wakampeleka kituoni kwao wakampiga na kisha kumwacha mahututi, akafa.
Musila ambaye ndiye alikuwa mkuu wa mafunzo wa intake ile akakasirika akawaambia wakaharibu.
Vijana wakaenda kuvamia kituo cha police wakaharibu. Yule kamanda Musila akapewa demotion.
Yale mambo ya kujivunia kombati za kijeshi yalishapita na sasa kila mmoja anatetea tonge lake.
Kama mimi siwezi kujiingiza kwenye matatizo eti kiss mpumbavu mmoja mwenzetu kashindwa kulipa 1500 kisa yuko karibu na geti kuu.
 
Wandugu habari,

Juzi nilileta taarifa kuhusiana na mwanajeshi wa jwtZ kupewa kichapo kikali na vijana wa bodaboda punde baada ya kumdhulumu yule kijana 1500 tu ambayo ilikuwa ni kwaajili ya malipo ya huyo boda kwa hiyo huduma.

Sasa jana inasemekana kiongozi wa kambi ya mafinga mwenye cheo cha luteni(jina halijafahamika) alikwenda kituo cha polisi mafinga kwaajili ya kuzungumza na mkuu wa polisi mafinga(OCD) ambapo pia alimshukuru kamanda huyo kwa kuwa police waliwahi mapema kumuokoa huyo kijana kwasababu bila hivyo angekuwa ni hayati.Katika mazungumzo hayo,inasemekana yule luteni amefedheheka sana na kitendo kilichotendwa na askari wake kwa kufanya utovu wa nidhamu kudhulumu shillingi 1500 kwa raia kwani kwa namna moja anachafua sifa ya jeshi la wananchi(JWTZ) lakini amesema askari huyo ambaye ni private atahojiwa zaidi hali yake kimwili ikitengemaa kwani bado yupo nyumbani akiugulia na uchunguzi unafanyika ikibainika kosa ni lake sheria za kiuaskari zitafwatwa.

Source:ebony

MY TAKE:sasa nimeamini hii awamu nyingine na zama zimebadilika,mimi nilifikiri wangekwenda kulipiza kisasi kwa bodaboda wote badala yake kaenda police kisheria Zaidi ndio kwanza anasema anafanya UCHUNGUZI.kweli sasa uonevu umekwisha
[HASHTAG]#AKIPONAUTUJULISHEPIAAA[/HASHTAG]
NAMKIPIGWA MTUJULISHE PIA
 
Tunasubiri apone then tunamsaka boda one by one tuwasage kama mahindi ili next muda wawe na adabu na jezi yetu. ova
 
Wandugu habari,

Juzi nilileta taarifa kuhusiana na mwanajeshi wa jwtZ kupewa kichapo kikali na vijana wa bodaboda punde baada ya kumdhulumu yule kijana 1500 tu ambayo ilikuwa ni kwaajili ya malipo ya huyo boda kwa hiyo huduma.

Sasa jana inasemekana kiongozi wa kambi ya mafinga mwenye cheo cha luteni(jina halijafahamika) alikwenda kituo cha polisi mafinga kwaajili ya kuzungumza na mkuu wa polisi mafinga(OCD) ambapo pia alimshukuru kamanda huyo kwa kuwa police waliwahi mapema kumuokoa huyo kijana kwasababu bila hivyo angekuwa ni hayati.Katika mazungumzo hayo,inasemekana yule luteni amefedheheka sana na kitendo kilichotendwa na askari wake kwa kufanya utovu wa nidhamu kudhulumu shillingi 1500 kwa raia kwani kwa namna moja anachafua sifa ya jeshi la wananchi(JWTZ) lakini amesema askari huyo ambaye ni private atahojiwa zaidi hali yake kimwili ikitengemaa kwani bado yupo nyumbani akiugulia na uchunguzi unafanyika ikibainika kosa ni lake sheria za kiuaskari zitafwatwa.

Source:ebony

MY TAKE:sasa nimeamini hii awamu nyingine na zama zimebadilika,mimi nilifikiri wangekwenda kulipiza kisasi kwa bodaboda wote badala yake kaenda police kisheria Zaidi ndio kwanza anasema anafanya UCHUNGUZI.kweli sasa uonevu umekwisha
Wangelipiza kisasi RAIA, ndo siku hio hio wangefukuzwa Kazi wote,hashindwi kufukuza wote.
 
Tunasubiri apone then tunamsaka boda one by one tuwasage kama mahindi ili next muda wawe na adabu na jezi yetu. ova
Hua utakuwa ushamba sana kiongozi,iyo jezi ni ya kawaida sana kama wakumbuka Cdf Mabeyo amewapiga marufuku mwanajeshi kuvaa gwanda kisha akaendesha gari binafsi kwani walikuwa wanawasumbua sana matrafiki barabarani sasa umejionea sasaivi wote heshima,Sasa ngoja waende wakafanye izo fujo kwa boda boda kisha uone kitakachowatokea hapo kambini kwao
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti mtu anatoa post, halafu tena anacomment first to reply kwenye ile ile thread yyake..
 
tangu magu aingie wanajesh wamekua na adabu ule ubabe wao wa kijinga kwishnee... VIVA MAGUFULI
 
Hujakosea kabisa mkuu.
Hahahaha nacheka kwa dharau,.. Unafikiri hakuna maasifa walio na ubabe?
Kipindi nipo JKT nilikua namuona Afisa anaenda kijijini kuchukua vitu vya watu dukani halafu halipi.
Raia wakawa wanamuogopa, kwa sikio langu nilimsikia mwenye duka akisema yule afande kaja kuchukua redio hapa hajalipa naogopa hata kumfata maana ni m-babe. Mpaka mkuu wake akamuombea kurudi makao makuu ya kambi maana alikua na kashfa nyingi na pia walikua det.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom