Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,738
- 3,159
Mwanajeshi mbabe wake ni polisi,polisi hapendi ujinga wa hao jamaa wa std 7.Kuna operation fulani 2013 Oljoro ya TPDF ambayo ilichukua wengi ma koplo wakujitolea toka JKT, hawa vijana waliiva sana maana walikuwa wamepata kozi mbili za kijeshi kabla hawajaajiriwa kisha kupata ya 3 iliyowaunganisha kwenye ajira JWTZ.
Wakati wamekwishamaliza kozi wanasubiria kupangiwa vikosi mmoja akaharibu kwakugombana na police , polisi wakampeleka kituoni kwao wakampiga na kisha kumwacha mahututi, akafa.
Musila ambaye ndiye alikuwa mkuu wa mafunzo wa intake ile akakasirika akawaambia wakaharibu.
Vijana wakaenda kuvamia kituo cha police wakaharibu. Yule kamanda Musila akapewa demotion.
Yale mambo ya kujivunia kombati za kijeshi yalishapita na sasa kila mmoja anatetea tonge lake.
Kama mimi siwezi kujiingiza kwenye matatizo eti kiss mpumbavu mmoja mwenzetu kashindwa kulipa 1500 kisa yuko karibu na geti kuu.
Over!!