Update: Mashtaka dhidi ya makampuni manne ya simu

Update: Mashtaka dhidi ya makampuni manne ya simu

Rejea post #82 utaona nimeeleza kanuni za terms za mkataba zina apply kama offer ilivyokuja isipokuwa pale ambapo kuna sheria inasema matakwa fulani lazima yazingatiwe.

Halafu humu hoja ni mkataba wa vifurushi sio kuingiliwa kwa mawasiliano hilo sasa ni swala la katiba na mambo ya faragha za mtu.
Ni LAZIMA watekeleze na hayo mengine. Lakini pia ni LAZIMA watoe taarifa ya masaa 72 kabla ya mabadiliko yoyote kama Kanuni ya 5(5) ya Kanuni za Kielektroniki na Mawasiliano ya Posta GN No.61/2018 kuhusu kumlinda mlaji inavyotaka.

Lakini una elezwa kuwa airtel wameanza kufanya kazi, wewe una bisha na contract law wala hutaki kuelewa kuwa kuna kanuni sheria nk...
 
Kuna hoja ya makato ya HESLB. Tunakusihi mkuu kama inawezekana uende nayo yote kabisa.
 
Tatizo ndio lipo hapa tunachanganya mambo na kuweka kila kitu kwenye kapu moja kwenye mkataba ‘value of exchange’ ndani ya kampuni moja tu la simu vifurushi havilingani let alone huduma tofauti za biashara tofauti.

Muhimu hapo kuna mambo matano yanayoangaliwa kwenye ‘consensus in idem’ ili kampuni iwe na makosa lazima kuwe na ushahidi wa legal error (by contractual tests).

Kwenye vifurushi legal errors tatu ndio ambazo zinahusika:

Subject matter: wewe unadhani unanunua muda na data ambazo zinatakiwa zitumike mpaka ziishe, wakati wao wana offer minutes na data za kutumia ndani ya masaa waliyokuwekewa.

Bei; wewe unadhani hiyo ni bei ya data na minutes pekee; wao wanauza kifurushi ambacho kimeambatana na minutes, data and time limit kwa bei hiyo.

Nature: Wewe unadhani minutes na data ni independent, wao wanauza vyote ivyo kutumia ndani ya muda waliokuwekea umalize; usimalize juu yako.

Ni hivi ivyo vifurushi vingekuwa vimetangazwa vingine na wanachofanya ndio kungekuwa na tatizo la ‘legal error’, lakuweza kwenda mahakamani kwa madai ya consensus in idem.

Sasa tena ku compare sijui restaurant ambao wamekupa muda tu kwa ku book meza na kutumia, ukiisha na ujamaliza chakula ni haki yako kuondoka nacho similary Tanesco wanauza units ambazo hazina time limit.

In any contract the devil is in the details unatoa nini na kupewa nini which is exclusively that (unless were statute law provides other inclusive terms) lakini sio nani mwingine ana fanya nini.
kapitie kanuni kiongozi
 
Ni LAZIMA watekeleze na hayo mengine. Lakini pia ni LAZIMA watoe taarifa ya masaa 72 kabla ya mabadiliko yoyote kama Kanuni ya 5(5) ya Kanuni za Kielektroniki na Mawasiliano ya Posta GN No.61/2018 kuhusu kumlinda mlaji inavyotaka.

Lakini una elezwa kuwa airtel wameanza kufanya kazi, wewe una bisha na contract law wala hutaki kuelewa kuwa kuna kanuni sheria nk...
Mkuu watoe taarifa ya kuwa muda wa kutumia kifurushi kwa mteja karibu unaisha ama? Sijaelewa hapo kwenye sheria.

Kampuni ya simu kuamua ku respond hiyo ni goodwill ama kuboresha mahusiano tu kwa wateja na ni kawaida as a competition strategy but not mandatory given the nature of bundle contracts.
 
Moderator huyu jamaa ni mjanjà mmoja anayejitangaza kiaina. Pia anaweza kuwa tapeli namba yake ya simu ya nini? Wadau muwe makini mjini hapa. Tunajua hali ngumu so watu wanakuja na ubunifu


UPDATE MASHTAKA DHIDI YA MAKAMPUNI MANNE YA SIMU.

Bashir Yakub, WAKILI
0714047241
.

Niliwaahidi kwamba nitakuwa nikiwaeleza kila tukio kuhusu mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu kwa unyonyaji.

Mnakumbuka kuhusu yale mambo yetu matano, vifurushi kutokuwa na muda wa kuexpire,ruhusa ya kuhamishiana vifurushi, kutochanganya vifurushi na muda wa kawaida wa maongezi bila ruhusa ya mtumiaji, vifurushi vya watu kuisha wakati mtu hajatumia au ametumia kidogo, na utaratibu wa kutoa taarifa kifurushi kinapokaribia kuisha na si kinapoisha.

Muda wa siku thelathini niliowapa haujaisha ukiisha nitawaambia.

Aidha, niliitwa na ndugu wa TCRA kitengo cha walaji. Nilifanya nao majadiliano kuhusu mambo haya na kuwaeleza nia yangu ya kuhakikisha Mtanzania analindwa. Nimeelewana nao vizuri.

Zaidi, wanaandaa kikao ambacho kitakuwa kati yangu, TCRA kitengo cha walaji, na makampuni yote ya simu. Mimi nilikusudia kuyashitaki makampuni manne(the big 4) lakini wao wamependekeza kikao kijumuishe wote. Ni jambo zuri na nimelipokea.

Na nimewaeleza kuwa hatua yoyote ambayo inalenga kuondoa unyonyaji wa aina hii na usumbufu mwingine wowote wanaoupata Watanzania wakati wakitumia simu, ninaupokea kwa mikono miwili. So far, kikao kinaweza kuandaliwa wiki ijayo ili kuona tunafikia wapi.

Zaidi, leo nimepata taarifa ambazo sijathibitisha kuwa Airtel wamefanya mabadiliko kwenye utumiaji wa data ambapo muda wa kifurushi cha data ukiisha hawaunganishi tena moja kwa moja na salio, bali sasa wameweka chaguo(option) ambapo wana kuuliza ikiwa unataka kuendelea kutumia muda wa kawaida au ungetaka kujiunga upya. Mnaotumia Airtel angalieni hili likoje.

Hata hivyo, Airtel kama wamefanya hivyo nawaambia haitoshi. Ni LAZIMA watekeleze na hayo mengine. Lakini pia ni LAZIMA watoe taarifa ya masaa 72 kabla ya mabadiliko yoyote kama Kanuni ya 5(5) ya Kanuni za Kielektroniki na Mawasiliano ya Posta GN No.61/2018 kuhusu kumlinda mlaji inavyotaka.

Wasifanye mabadiliko kwa kujifichaficha hii nchi sio yao, mtumiaji ana haki ya kujulishwa mabadiliko.

Pia, kwa wale mnaonipigia simu kunitisha nitumie jukwaa hili kuwaambia kwamba nitafurahi sana, tena sana, kufia kwenye vita hii kuliko kufia sehemu nyingine yoyote. Mwanaume kamili hafi kwa malaria bali hufia mambo kama haya.

Mwisho, niwashukuru nyinyi Watanzania kwa namna mlivyopokea jambo hili. Sijawahi kuona jambo ambalo Watanzania wote wanaunga mkono kama ilivyo kwa hili. Hii inadihihirisha ni kwa namna gani mlikuwa mmechoka.

Niishie hapa, nitawapa taarifa za kikao cha wiki ijayo.

Pia Soma
 
Nimeelezea post # 84 not all sales agreements are equal

It depends on the offer, muuza chips biashara yake aina masharti ya kula na wala TANESCO awauzi vifurushi isipokuwa independent units.

Tumuombe huyu brother afike mahakamani, atatupa mrejesho.
Mkuu Kilatha unazungumziaje huu uamuzi wa Safaricom ya Kenya kuondoa ukomo wa vifurushi, mind you wamefanya hivyo huku kukiwa na kesi inaendelea mahakamani juu ya hilo.
Seems like it's possible mkuu, they (telecoms) just need a bit of pressure to do that......
"Baada ya SafaricomPLC ya Kenya kuondoa "ukomo wa vifurushi" vya muda wa maongezi na intaneti kwa wateja wake, naibu waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye ameelezea msimamo wa Serikali kuhusu vifurushi."
 
Mkuu Kilatha unazungumziaje huu uamuzi wa Safaricom ya Kenya kuondoa ukomo wa vifurushi, mind you wamefanya hivyo huku kukiwa na kesi inaendelea mahakamani juu ya hilo.
Seems like it's possible mkuu, they (telecoms) just need a bit of pressure to do that......
"Baada ya SafaricomPLC ya Kenya kuondoa "ukomo wa vifurushi" vya muda wa maongezi na intaneti kwa wateja wake, naibu waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye ameelezea msimamo wa Serikali kuhusu vifurushi."
Imebidi kwanza nisome hiyo habari, Safaricom hawajashindwa kesi isipokuwa wao wamefanya as goodwill gesture to their customers kwenye kusherehekea 19 years.

Wawili wengine walioshitakiwa awajafuata huo mkumbo na hata hao safaricom bado wana expiry bundles it’s optional nina uhakika hizo zisizo na time limit aziwezi kuwa better deal kwa baadhi ya watu.

Na hata huko Ghana zuio sio kwa kushinda kesi bali limetolewa na serikari and this usually comes at the cost of those who benefited from such products.
 
Imebidi kwanza nisome hiyo habari, Safaricom hawajashindwa kesi isipokuwa wao wamefanya as goodwill gesture to their customers kwenye kusherehekea 19 years.

Wawili wengine walioshitakiwa awajafuata huo mkumbo na hata hao safaricom bado wana expiry bundles it’s optional nina uhakika hizo zisizo na time limit aziwezi kuwa better deal kwa baadhi ya watu.

Na hata huko Ghana zuio sio kwa kushinda kesi bali limetolewa na serikari and this usually comes at the cost of those who benefited from such products.
So, u actually think all that happened had nothing to do with the on going cases in the courts?
Kilatha
 
So, u actually think all that happened had nothing to do with the on going cases in the courts?
Kilatha
Yes and No

Kwa mujibu wa shirika ni kwa sababu ya 19 years anniversary but then with the current case is this a coincidence? It might be as well due to the on going case.

Kingine sina details zote za kesi na nini safaricom walichofanya from the outlook ata hiyo data extension yenyewe utaendelea nayo pale ambapo utanunua bundle nyingine kabla ya uliyonayo aijaisha na yenye muda zaidi kuliko data zilizobaki.


That is according to their above sources like I said it appears to be a goodwill gesture makampuni mengi hufanya ivyo as a sales and competition strategy, also as a measure to improving customer relations.
 
Tangazo sio mkataba ni offer au invitation to treat. Kama mteja kampuni inaweza kujitetea ni namna ya kukupa habari unufaike na huduma wanazotoa.

Kama unaona txt zimezidi au audio ni ndefu wakati una top up hilo ni swala ambalo una haki ya kulillamikia TCRA.
Sio matangazo tu ni pamoja na kupigiwa simu. Unadjani kitu urgent kumbe halotel +901.......
 
Sio matangazo tu ni pamoja na kupigiwa simu. Unadjani kitu urgent kumbe halotel +901.......
Hilo tatizo ambalo TCRA inabidi waingilie wateja lazima wawe na haki ya kuamua jinsi gani kampuni inaweza wasiliana nao.
 
Huyu mwanasheria Yuko vizuri kusimama na public kuitetetea mi chadema na ACT imekenua meno tu kazi kuongelea vitu hewa tu visivyosaidia wananchi walio wengi afadhali wakili umesimama kutetea wananchi

nimefurahi michadema na mi ACT mingi imekatwa ugombea serikali za mitaa they are hopeless hawana agenda nzuri Kama za huyu wakili za kutetea wananchi
 
Tatizo ndio lipo hapa tunachanganya mambo na kuweka kila kitu kwenye kapu moja kwenye mkataba ‘value of exchange’ ndani ya kampuni moja tu la simu vifurushi havilingani let alone huduma tofauti za biashara tofauti.

Muhimu hapo kuna mambo matano yanayoangaliwa kwenye ‘consensus in idem’ ili kampuni iwe na makosa lazima kuwe na ushahidi wa legal error (by contractual tests).

Kwenye vifurushi legal errors tatu ndio ambazo zinahusika:

Subject matter: wewe unadhani unanunua muda na data ambazo zinatakiwa zitumike mpaka ziishe, wakati wao wana offer minutes na data za kutumia ndani ya masaa waliyokuwekewa.

Bei; wewe unadhani hiyo ni bei ya data na minutes pekee; wao wanauza kifurushi ambacho kimeambatana na minutes, data and time limit kwa bei hiyo.

Nature: Wewe unadhani minutes na data ni independent, wao wanauza vyote ivyo kutumia ndani ya muda waliokuwekea umalize; usimalize juu yako.

Ni hivi ivyo vifurushi vingekuwa vimetangazwa vingine na wanachofanya ndio kungekuwa na tatizo la ‘legal error’, lakuweza kwenda mahakamani kwa madai ya consensus in idem.

Sasa tena ku compare sijui restaurant ambao wamekupa muda tu kwa ku book meza na kutumia, ukiisha na ujamaliza chakula ni haki yako kuondoka nacho similary Tanesco wanauza units ambazo hazina time limit.

In any contract the devil is in the details unatoa nini na kupewa nini which is exclusively that (unless were statute law provides other inclusive terms) lakini sio nani mwingine ana fanya nini.
Sasa mbona wanaweza kubadilisha kifurushi wamavyotaka kama Halotel 10, 000 ilikuwa gb10 walipoona ngoma inogile elfu 10 hiyo sasa ni Gb 6. Na wanaweza shusha hata gb 5.

Ebu fafania hapo taf. Mi nadhani tuna hoja ya kulalamika
 
Na hizi SMS za ajabuajabu zenye mrengo wa matangazo ya biashara zitakoma mini?
 
Back
Top Bottom