Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Rejea post no #82We jamaa ni kiazi. Huwezi kuniuzia chipsi unipangie muda wa kula. Kwamba nisipokula mpaka saa fulani unaninyang'anya sahani.
Rejea post no #82We jamaa ni kiazi. Huwezi kuniuzia chipsi unipangie muda wa kula. Kwamba nisipokula mpaka saa fulani unaninyang'anya sahani.
Ni LAZIMA watekeleze na hayo mengine. Lakini pia ni LAZIMA watoe taarifa ya masaa 72 kabla ya mabadiliko yoyote kama Kanuni ya 5(5) ya Kanuni za Kielektroniki na Mawasiliano ya Posta GN No.61/2018 kuhusu kumlinda mlaji inavyotaka.Rejea post #82 utaona nimeeleza kanuni za terms za mkataba zina apply kama offer ilivyokuja isipokuwa pale ambapo kuna sheria inasema matakwa fulani lazima yazingatiwe.
Halafu humu hoja ni mkataba wa vifurushi sio kuingiliwa kwa mawasiliano hilo sasa ni swala la katiba na mambo ya faragha za mtu.
kapitie kanuni kiongoziTatizo ndio lipo hapa tunachanganya mambo na kuweka kila kitu kwenye kapu moja kwenye mkataba ‘value of exchange’ ndani ya kampuni moja tu la simu vifurushi havilingani let alone huduma tofauti za biashara tofauti.
Muhimu hapo kuna mambo matano yanayoangaliwa kwenye ‘consensus in idem’ ili kampuni iwe na makosa lazima kuwe na ushahidi wa legal error (by contractual tests).
Kwenye vifurushi legal errors tatu ndio ambazo zinahusika:
Subject matter: wewe unadhani unanunua muda na data ambazo zinatakiwa zitumike mpaka ziishe, wakati wao wana offer minutes na data za kutumia ndani ya masaa waliyokuwekewa.
Bei; wewe unadhani hiyo ni bei ya data na minutes pekee; wao wanauza kifurushi ambacho kimeambatana na minutes, data and time limit kwa bei hiyo.
Nature: Wewe unadhani minutes na data ni independent, wao wanauza vyote ivyo kutumia ndani ya muda waliokuwekea umalize; usimalize juu yako.
Ni hivi ivyo vifurushi vingekuwa vimetangazwa vingine na wanachofanya ndio kungekuwa na tatizo la ‘legal error’, lakuweza kwenda mahakamani kwa madai ya consensus in idem.
Sasa tena ku compare sijui restaurant ambao wamekupa muda tu kwa ku book meza na kutumia, ukiisha na ujamaliza chakula ni haki yako kuondoka nacho similary Tanesco wanauza units ambazo hazina time limit.
In any contract the devil is in the details unatoa nini na kupewa nini which is exclusively that (unless were statute law provides other inclusive terms) lakini sio nani mwingine ana fanya nini.
Mkuu watoe taarifa ya kuwa muda wa kutumia kifurushi kwa mteja karibu unaisha ama? Sijaelewa hapo kwenye sheria.Ni LAZIMA watekeleze na hayo mengine. Lakini pia ni LAZIMA watoe taarifa ya masaa 72 kabla ya mabadiliko yoyote kama Kanuni ya 5(5) ya Kanuni za Kielektroniki na Mawasiliano ya Posta GN No.61/2018 kuhusu kumlinda mlaji inavyotaka.
Lakini una elezwa kuwa airtel wameanza kufanya kazi, wewe una bisha na contract law wala hutaki kuelewa kuwa kuna kanuni sheria nk...
UPDATE MASHTAKA DHIDI YA MAKAMPUNI MANNE YA SIMU.
Bashir Yakub, WAKILI
0714047241.
Niliwaahidi kwamba nitakuwa nikiwaeleza kila tukio kuhusu mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu kwa unyonyaji.
Mnakumbuka kuhusu yale mambo yetu matano, vifurushi kutokuwa na muda wa kuexpire,ruhusa ya kuhamishiana vifurushi, kutochanganya vifurushi na muda wa kawaida wa maongezi bila ruhusa ya mtumiaji, vifurushi vya watu kuisha wakati mtu hajatumia au ametumia kidogo, na utaratibu wa kutoa taarifa kifurushi kinapokaribia kuisha na si kinapoisha.
Muda wa siku thelathini niliowapa haujaisha ukiisha nitawaambia.
Aidha, niliitwa na ndugu wa TCRA kitengo cha walaji. Nilifanya nao majadiliano kuhusu mambo haya na kuwaeleza nia yangu ya kuhakikisha Mtanzania analindwa. Nimeelewana nao vizuri.
Zaidi, wanaandaa kikao ambacho kitakuwa kati yangu, TCRA kitengo cha walaji, na makampuni yote ya simu. Mimi nilikusudia kuyashitaki makampuni manne(the big 4) lakini wao wamependekeza kikao kijumuishe wote. Ni jambo zuri na nimelipokea.
Na nimewaeleza kuwa hatua yoyote ambayo inalenga kuondoa unyonyaji wa aina hii na usumbufu mwingine wowote wanaoupata Watanzania wakati wakitumia simu, ninaupokea kwa mikono miwili. So far, kikao kinaweza kuandaliwa wiki ijayo ili kuona tunafikia wapi.
Zaidi, leo nimepata taarifa ambazo sijathibitisha kuwa Airtel wamefanya mabadiliko kwenye utumiaji wa data ambapo muda wa kifurushi cha data ukiisha hawaunganishi tena moja kwa moja na salio, bali sasa wameweka chaguo(option) ambapo wana kuuliza ikiwa unataka kuendelea kutumia muda wa kawaida au ungetaka kujiunga upya. Mnaotumia Airtel angalieni hili likoje.
Hata hivyo, Airtel kama wamefanya hivyo nawaambia haitoshi. Ni LAZIMA watekeleze na hayo mengine. Lakini pia ni LAZIMA watoe taarifa ya masaa 72 kabla ya mabadiliko yoyote kama Kanuni ya 5(5) ya Kanuni za Kielektroniki na Mawasiliano ya Posta GN No.61/2018 kuhusu kumlinda mlaji inavyotaka.
Wasifanye mabadiliko kwa kujifichaficha hii nchi sio yao, mtumiaji ana haki ya kujulishwa mabadiliko.
Pia, kwa wale mnaonipigia simu kunitisha nitumie jukwaa hili kuwaambia kwamba nitafurahi sana, tena sana, kufia kwenye vita hii kuliko kufia sehemu nyingine yoyote. Mwanaume kamili hafi kwa malaria bali hufia mambo kama haya.
Mwisho, niwashukuru nyinyi Watanzania kwa namna mlivyopokea jambo hili. Sijawahi kuona jambo ambalo Watanzania wote wanaunga mkono kama ilivyo kwa hili. Hii inadihihirisha ni kwa namna gani mlikuwa mmechoka.
Niishie hapa, nitawapa taarifa za kikao cha wiki ijayo.
Pia Soma
![]()
Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu
NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...www.jamiiforums.com
Mkuu Kilatha unazungumziaje huu uamuzi wa Safaricom ya Kenya kuondoa ukomo wa vifurushi, mind you wamefanya hivyo huku kukiwa na kesi inaendelea mahakamani juu ya hilo.Nimeelezea post # 84 not all sales agreements are equal
It depends on the offer, muuza chips biashara yake aina masharti ya kula na wala TANESCO awauzi vifurushi isipokuwa independent units.
Tumuombe huyu brother afike mahakamani, atatupa mrejesho.
Imebidi kwanza nisome hiyo habari, Safaricom hawajashindwa kesi isipokuwa wao wamefanya as goodwill gesture to their customers kwenye kusherehekea 19 years.Mkuu Kilatha unazungumziaje huu uamuzi wa Safaricom ya Kenya kuondoa ukomo wa vifurushi, mind you wamefanya hivyo huku kukiwa na kesi inaendelea mahakamani juu ya hilo.
Seems like it's possible mkuu, they (telecoms) just need a bit of pressure to do that......
"Baada ya SafaricomPLC ya Kenya kuondoa "ukomo wa vifurushi" vya muda wa maongezi na intaneti kwa wateja wake, naibu waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye ameelezea msimamo wa Serikali kuhusu vifurushi."
So, u actually think all that happened had nothing to do with the on going cases in the courts?Imebidi kwanza nisome hiyo habari, Safaricom hawajashindwa kesi isipokuwa wao wamefanya as goodwill gesture to their customers kwenye kusherehekea 19 years.
Wawili wengine walioshitakiwa awajafuata huo mkumbo na hata hao safaricom bado wana expiry bundles it’s optional nina uhakika hizo zisizo na time limit aziwezi kuwa better deal kwa baadhi ya watu.
Na hata huko Ghana zuio sio kwa kushinda kesi bali limetolewa na serikari and this usually comes at the cost of those who benefited from such products.
Ha haAngalia huko kwenye vikao vyao usikubali kunywa hata maji yao.
Yes and NoSo, u actually think all that happened had nothing to do with the on going cases in the courts?
Kilatha
Sio matangazo tu ni pamoja na kupigiwa simu. Unadjani kitu urgent kumbe halotel +901.......Tangazo sio mkataba ni offer au invitation to treat. Kama mteja kampuni inaweza kujitetea ni namna ya kukupa habari unufaike na huduma wanazotoa.
Kama unaona txt zimezidi au audio ni ndefu wakati una top up hilo ni swala ambalo una haki ya kulillamikia TCRA.
Wako sahihi ki vipi unapo nunua line kuna kabrasha ulipewa la vigezo vyote hivyoJapo wenye mtazamo kinyume na mtoa mada wanaonekana kupingwa ila ndiyo wako sahihi
Hilo tatizo ambalo TCRA inabidi waingilie wateja lazima wawe na haki ya kuamua jinsi gani kampuni inaweza wasiliana nao.Sio matangazo tu ni pamoja na kupigiwa simu. Unadjani kitu urgent kumbe halotel +901.......
Sasa mbona wanaweza kubadilisha kifurushi wamavyotaka kama Halotel 10, 000 ilikuwa gb10 walipoona ngoma inogile elfu 10 hiyo sasa ni Gb 6. Na wanaweza shusha hata gb 5.Tatizo ndio lipo hapa tunachanganya mambo na kuweka kila kitu kwenye kapu moja kwenye mkataba ‘value of exchange’ ndani ya kampuni moja tu la simu vifurushi havilingani let alone huduma tofauti za biashara tofauti.
Muhimu hapo kuna mambo matano yanayoangaliwa kwenye ‘consensus in idem’ ili kampuni iwe na makosa lazima kuwe na ushahidi wa legal error (by contractual tests).
Kwenye vifurushi legal errors tatu ndio ambazo zinahusika:
Subject matter: wewe unadhani unanunua muda na data ambazo zinatakiwa zitumike mpaka ziishe, wakati wao wana offer minutes na data za kutumia ndani ya masaa waliyokuwekewa.
Bei; wewe unadhani hiyo ni bei ya data na minutes pekee; wao wanauza kifurushi ambacho kimeambatana na minutes, data and time limit kwa bei hiyo.
Nature: Wewe unadhani minutes na data ni independent, wao wanauza vyote ivyo kutumia ndani ya muda waliokuwekea umalize; usimalize juu yako.
Ni hivi ivyo vifurushi vingekuwa vimetangazwa vingine na wanachofanya ndio kungekuwa na tatizo la ‘legal error’, lakuweza kwenda mahakamani kwa madai ya consensus in idem.
Sasa tena ku compare sijui restaurant ambao wamekupa muda tu kwa ku book meza na kutumia, ukiisha na ujamaliza chakula ni haki yako kuondoka nacho similary Tanesco wanauza units ambazo hazina time limit.
In any contract the devil is in the details unatoa nini na kupewa nini which is exclusively that (unless were statute law provides other inclusive terms) lakini sio nani mwingine ana fanya nini.