It depends on the offer kama nauza buffet eat as much as you want kuanzia saa saba mchana mpaka saa nane. Aina maana kwa sababu hupo ndani ya mgahawa uendelee kula muda ukiisha.Huwezi mnyanganya sahani kisa muda wa lunch umeisha,
Mabepari haoHatua nzuri, tunakuombea mkuu, hao wanaokutisha hawatumii cm?
Ndio maana muuza chips hakupangii muda wa kumaliza zege yako...hata ukila mwezi mzima isup to you so makampuni ya simu pia yanatakiwa yakuache utumie bundle zako mpaka utakapomaliza sio kwa muda waliokupangia. 9Bundles ni bidhaa kama chips mayai ambapo unaponunua tu kanuni za mkataba zina apply.
Uwezi kwenda kununua zege usipomaliza ukamfuata muhudumu akurudishie chenji kisa umeshiba kati kati it doesn’t work that way.
Hivi vyuo vyetu avifundishi masuala ya contract law
Ndugu mkataba unakitu kinaitwa either ‘consensus in idem’, consideration au value of exchange.Ndio maana muuza chips hakupangii muda wa kumaliza zege yako...hata ukila mwezi mzima isup to you so makampuni ya simu pia yanatakiwa yakuache utumie bundle zako mpaka utakapomaliza sio kwa muda waliokupangia. 9
Una mpambanisha na jiwe!Mkuu ukimaliza Mambo ya vifurushi njoo kwenye makato bodi ya mikopo vyuo vikuu HESLB hapa utapata kongole jingi zaidi
Ndugu mkataba unakitu kinaitwa either ‘consensus in idem’, consideration au value of exchange.
Hizo ni terms zinazo specify utatoa nini na kupata nini, muuza chips kama ajakuwekea muda wa kumaliza kula awezi kukufukuza, halikadhalika ukienda restaurant ambazo ni za table booking kwa muda, time ikifika you would have to leave ata kama ujamaliza.
Kwenye kifurushi unaelezewa wazi what you will get in usage at a charge, that is the contract there is the time limit in the package.