Kama pole pole alivokua akitafuta kiki ktk katiba mpya msimu wa kikweteAlkua anatafuta kiki
Kama pole pole alivokua akitafuta kiki ktk katiba mpya msimu wa kikweteAlkua anatafuta kiki
Aliona Kenya Kuna Mwanasheria kashtaki makampuni ya simu na yeye akataka kupitia humo wakati NIA ni SIFURI.Alkua anatafuta kiki
Hajafanya kosa, yupo sahihi kabisa ile ni mbinu ya kusaka watejaHao ndio wanasheria wetu wanafanya kaxi kama wanasiasa
Hana kosa kaka, kama wewe sio mwanasheria hauwezi muelewaMajina ya Bashiru hua sio ha kuaminika sana.
Jamaa ana firm kubwa tuu, hana shida ndogo ndogo, aliamua kuwa sauti ya wasio sikika na kujitangaza pia.Kashiba Sasa Hivi, Wakati Mwingine Mjifunze
Umejuaje hana shida ndogo ndogo, au ndo wewe nini😁Jamaa ana firm kubwa tuu, hana shida ndogo ndogo, aliamua kuwa sauti ya wasio sikika na kujitangaza pia.
Bado sijafikia hatua hiyo ya kuwa kama Yakub, niombee my dear...Umejuaje hana shida ndogo ndogo, au ndo wewe nini😁
Nakuaminia dear wangu, soon utafika huko. Mungu ni mwemaBado sijafikia hatua hiyo ya kuwa kama Yakub, niombee my dear...
Amen, my dear.Nakuaminia dear wangu, soon utafika huko. Mungu ni mwema
Amen, muhimu sana hilo dear.Amen, my dear.
Tumtumainie Mungu tuu.
Wow, you know what?Amen, muhimu sana hilo dear.
Wanasheria ni watata sana muda mwingineWakati wa maandamano SUDAN, mitandao yote ilizimwa .Mwanasheria mmoja akaenda mahakamani kushtaki, mahakama ikaamuru arejeshewe huduma hiyo, serikali ikaruhusu arejeshewe yeye tu kwahiyo akawa yeye tu ndio mwenye huduma.Pengine na huyu jamaa mitandao imeamua kumtatulia hizo kero peke yake, kwa makubaliano kuwa akae kimya,au alipotatuliwa hizo kero akajua kuwa kila mtu mambo yamekuwa safi.
You know where to find me... Usijaze uzi wa watu na mambo yako hayo 😂😂Wow, you know what?
Wewe ni kitu special.
Sawa MamilooYou know where to find me... Usijaze uzi wa watu na mambo yako hayo 😂😂