Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,806
Natumia kwajili ya shughuli zangu sasa wewe lazima ubanane la bando za chuoHiyo siyo sifa mkuu,maisha yanabadilika tambua hivyo pia jifunze kubana matumizi ufanye vitu vya maana, isijekuwa unafanya matumizi hayo future yako uje kuishi kwa kikokotoo
Sent using Jamii Forums mobile app