University offer ya voda imebadilishwa au?

University offer ya voda imebadilishwa au?

Mimi mbona ipo kama kawaida tu.

Walichobadili ni kutoka *149*02# kwenda *149*42#

A%2B%20Gallery_3.jpeg
Screenshot_20190215-155648.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ushamalza chuo na siyo mwanachuo, kwahyo haikuhusu tena!

wakati ukuta.
 
ALAFU KINGINE GB 2 UTADHANI UMEPEWA MB 100 YANI UKIGUSA YOUTUBE ZINAVYOYEYUKA KAMA UPEPO YANI SAIVI WAMENIKATISHA TAMAA KABISA INSTA YENYEWE TUNACHUNGULIA TUU UKIKESHA NUSU SAA ZISHAKATA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm natumia 50,000Tsh kwa ajili ya bundle na 19999 kwajili ya kuongea mbona silalamiki tafuta mpunga kijana
Nimetumia laini ya Voda kwa miaka kibao, lakini hapa naona nimefika mwisho wa kuitumia Voda huu ni unyonyaji hawajui maisha yamebana kwa wote, juzi ilikuwa 1500/= wakaenda elf 2000/= leo naona wamekuja 3000/=

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom