King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,515
- 94,145
- Thread starter
- #81
Kuna watu hawapendi sura zao!huu unga unavyozeesha unaanzia wapi kuutumia!!!kama unga ungefanya nizidi kuwa mzuri labda ningeweza kuutumia!
Mzazi TID kawa babu Sana kweli ngada nouwmer