Unga unamuharibu Albert Mangwea

Kweli wewe muuza sura!
Ushanunua shades za kuendea mazishini?
Shades zitagongwa zilezile za kitambo!!!ha ha ha ha!!!huu msiba wa masela wazee wa kununa bila sababu!...watu wakitaka kujua rafiki wa nyoka ni nyoka wajaribu kuangalia jicho la tatu washkaji wataokuwa front katika msiba huu!!....mateja wanapendana sana halafu huwa wanajiona hao ni wajanja kuliko mtu yeyote asiyekula madude yao!
 
Mi nimenunua mpya mazeee, si kutakuwa na media. Na ni lazma nihojiwe na clouds wallah. Full kuuza sura.


Kweli mateja wanapendana aisee. Ujinga raha sana
Shades zitagongwa zilezile za kitambo!!!ha ha ha ha!!!huu msiba wa masela wazee wa kununa bila sababu!...watu wakitaka kujua rafiki wa nyoka ni nyoka wajaribu kuangalia jicho la tatu washkaji wataokuwa front katika msiba huu!!....mateja wanapendana sana halafu huwa wanajiona hao ni wajanja kuliko mtu yeyote asiyekula madude yao!
 
Kaka voda ndio Nazi?
Nenda Mikocheni A nyuma ya Hospital ya Kairuki ulizia mtaa wa King'oko,ukishafika mtaa huo uulize Nataka kuonana na kaka Voda milionea utaonyeshwa..

"Aman kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"--Jay mo.
 
RIP Ngwea you were ma' tru nigga..wasamehe wakuda wote wanaokuhukumu,,,Mungu ndio anajua kila kitu na washikaji zako ndio wanajua ulimokuwa unapitia..kikubwa ulikuwa mtu poa sana na kwa hilo tunakuombea Mungu akupumzishe mahala pema peponi.AMEN!

!
!
Wewe ndio mkuda. Ungemuonya.
 
Back
Top Bottom