King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,515
- 94,141
- Thread starter
- #21
si ndo wanasema maskini akipata ****** hulia...
Sasa unga na kutoa sauti vina uhusiano gani ?
Mkuu valid nahisi unga unaaribu system ya sauti si umeona mateja wakiongea ahaa mwanangu valid niachie bati mwana nikapate chai kidogo(weka swag za kiteja)