King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 61,055
- 90,341
Habari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga.
Wadau kama kuna mtu ameangalia, atakubaliana na mimi yaani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga.
Wadau kama kuna mtu ameangalia, atakubaliana na mimi yaani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..