mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,076
- 134,841
Kuna mdau kanijibu cmnt yangu,anasema mbn kuna watu wanatumia crystal meth na wako poa 😄Kweli mkuu ,vijana wanapenda kuiga na kudanganyana ,wengi wanaongopeana kwamba ukipiga MADUDE ukimkamatia manzi SHOW SHOW na wengine ndiyo kama hivyo kugongea MISUBA bila kujua source yake ndiyo hivyo wanapigwa COCKTAIL.
Skumjibu,ila nkacheka tu
Yah hao wakina ngwea wlivamia mambo kwa kuiga
Unyamwezi mwingi tu mwisho wa siku ndiyo hivyo
Sema wabongo kwenye kuambiana ukweli tuna unafki sana
Ova