bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
Kwichuuu, mi kidumeTeh teh njoo nikutulize hapa na hii sindano natural ,badala ya kutoa kilio uwe unaugumia kwa furaha
Kwichuuu, mi kidumeTeh teh njoo nikutulize hapa na hii sindano natural ,badala ya kutoa kilio uwe unaugumia kwa furaha
Hakuna kidume anayelia kama weweKwichuuu, mi kidume
huu mstari si wa jay mo ni wa babuu wa kitaa kama sikosei...Nenda Mikocheni A nyuma ya Hospital ya Kairuki ulizia mtaa wa King'oko,ukishafika mtaa huo uulize Nataka kuonana na kaka Voda milionea utaonyeshwa..
"Aman kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"--Jay mo.
Inshallah..Mungu atamuondoshea yeye na wengine.
Ok, tupotezee kianaHakuna kidume anayelia kama wewe
MzukaOk, tupotezee kiana
huu mstari si wa jay mo ni wa babuu wa kitaa kama sikosei...
wee jamaa kumbe wa kitambo sana hapa jamvini..."Wao wakimwaga ugali sie tunamwaga mboga ,Amani kwa kaka voda,roho ngumu sio uoga" - Babuu wa Kitaa - Kimbia.
wee jamaa kumbe wa kitambo sana hapa jamvini...
We umeingia rasmi lini hapaHahahaaaaa hapana wa kitambo ni kina Field Marshal ES wazee wa sauti ya umeme , Nyani Ngabu , Kitila Mkumbo ,Kichuguu etc wameanza nayo 2006.
Je the boss na mshana jr wa mwaka ganiHahahaaaaa hapana wa kitambo ni kina Field Marshal ES wazee wa sauti ya umeme , Nyani Ngabu , Kitila Mkumbo ,Kichuguu etc wameanza nayo 2006.
We umeingia rasmi lini hapa
Mimi 2016
Je the boss na mshana jr wa mwaka gani
Naona nafasi ya 'unga' wanataka kuikabidhi kwa Chinga.Inakuaje watu wanafufua uzi wa marehemu!!
Inakuaje watu wanafufua uzi wa marehemu!!
Naona nafasi ya 'unga' wanataka kuikabidhi kwa Chinga.