Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 34,312
- 41,791
Wekeni videoMkuu valid daa anasikitisha sana ngwea,wamshauri aache unga
Wekeni videoMkuu valid daa anasikitisha sana ngwea,wamshauri aache unga
Rest well AlbertHabari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Umewaonja wote!?WCB Wote vibamia
🙌🏿🙌🏿🙌🏿Kufuatilia ishu za unga, jiulizeni Amina Chifupa na mumewe wako wapi. Mtoto wa 1981 kawahi kuzimu mapema sana! Kwa upande mwingine ishu hizo muulizeni Langa. Alipata kazi nzuri lakini anakwambia, unga unakufanya uuwaze huohuo ukiwa kokote, na mahali kokote,muda wote,wakati wote! Hukumbuki lingine lolote!
Hii JF ni kamusiHI-HOP BILA MADAWA...
1.Lord Eyez
2.Chid Benz
3.Dogo Hamidu
4.Mr.Blue
5.Young Dee
6.Bou Nako
Loading...
Inasikitisha Sana,mwaka mmoja baada ya post ya kuonywa akatangulia mbele ya haki.Alionywa mapema kumbe! Loh! Sikio la kufa!
Ngwair maisha kuigaInasikitisha Sana,mwaka mmoja baada ya post ya kuonywa akatangulia mbele ya haki.
Ngwair alikuwa kashatumia madawa ila MP to The P alikuwa Clean wakati wakiwa Club ,Wezi waliwawekea madawa ya kulevya kwenye vinywaji ili wazime kisha wawaibie Pesa ,kwakuwa Ngwair alikuwa tayari kashakula dawa kitendo cha kuwekewa nyingine ndiyo kikaenda kumzimisha lakini M to the P natambaa na chaki alikuwa hatumii so alivyowekewa haikumletea madhara zaidi ya kupoteza fahamu kisha kuzinduka.
Miaka 13 ishapita leo tangia hilo tukio litokee.
M.A.P Albeto 120.
Hichi kipindi naona hakipo tena. UJENZIHabari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Acha uongo kaka.Kama alitumia Crystal meth ndy balaa
Maana inapasua ubongooo...
Unaweza hadi kupata stroke...
Ova
Okkkk... hongera zaoAcha uongo kaka.
Mbona wabongo kibao hapa Mowbray Cape Town, mfano kina Hamad, Doja na Rasta Domi, wanatumia Meth na bado wanadunda.
It was well saidHabari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
It's a matter of time.Acha uongo kaka.
Mbona wabongo kibao hapa Mowbray Cape Town, mfano kina Hamad, Doja na Rasta Domi, wanatumia Meth na bado wanadunda.
Kweli mkuu ,vijana wanapenda kuiga na kudanganyana ,wengi wanaongopeana kwamba ukipiga MADUDE ukimkamatia manzi SHOW SHOW na wengine ndiyo kama hivyo kugongea MISUBA bila kujua source yake ndiyo hivyo wanapigwa COCKTAIL.Ngwair maisha kuiga
Unaweza kusema usela
Mavi
Langa naye ndio hivyo mambo ya kuiga na kugongeana kijitiki kmbe wengine wanachanganya na dawa
Na watoto dizain hiyo ukiwakanya ahhh utaporomeshewa kila aina
Ya lugha,utasikia braza we unajuwa nini acha kutuingilia...
Mwisho wa siku gari likiwaka ni balaaa
Ova
Daaah Basilisa alikuwa anakiendesha ,kweli sijakigumia kitambo sana.Hichi kipindi naona hakipo tena. UJENZI
WAsanii gani kaw majina ambao wapo kwa sasa na wanatumia madawa , tuwaombee kwa Mungu waache?Habari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Wengi waliosemwa kwamba wanatumia enzi hizo baadhi washatangulia mbele za haki na wengine wameshaacha.WAsanii gani kaw majina ambao wapo kwa sasa na wanatumia madawa , tuwaombee kwa Mungu waache?
Mambo ya kuombea marehemu hapana!
Mimi wacha tumuwekee Simba mla nyama toka ZnZ kwenye Maombi, kwanza Simba ajue vibinti vyake vinakuwa muosha huoshwa, na aache hizo issue tajwa, kama ni kweli .Wengi waliosemwa kwamba wanatumia enzi hizo baadhi washatangulia mbele za haki na wengine wameshaacha.
M.A.P Mak Malick(Simba) , Ngwair ,Langa ,Dogo Mfaume etc
Walioacha Lord IZI(Terror) ,Fanani , Ibra Da Hustler ,Byser etc
Wanaoendelea Simba la masimba Haujui.