Unga unamuharibu Albert Mangwea

Unga unamuharibu Albert Mangwea

Habari wana JF,

Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.

Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..

Nawasilisha..
Rest well Albert
 
Kufuatilia ishu za unga, jiulizeni Amina Chifupa na mumewe wako wapi. Mtoto wa 1981 kawahi kuzimu mapema sana! Kwa upande mwingine ishu hizo muulizeni Langa. Alipata kazi nzuri lakini anakwambia, unga unakufanya uuwaze huohuo ukiwa kokote, na mahali kokote,muda wote,wakati wote! Hukumbuki lingine lolote!
🙌🏿🙌🏿🙌🏿
 
Hivi uzinzi,ushoga na madawa ya kulevya ipi zambi kubwa
 
Alionywa mapema kumbe! Loh! Sikio la kufa!
Inasikitisha Sana,mwaka mmoja baada ya post ya kuonywa akatangulia mbele ya haki.

Ngwair alikuwa kashatumia madawa ila MP to The P alikuwa Clean wakati wakiwa Club ,Wezi waliwawekea madawa ya kulevya kwenye vinywaji ili wazime kisha wawaibie Pesa ,kwakuwa Ngwair alikuwa tayari kashakula dawa kitendo cha kuwekewa nyingine ndiyo kikaenda kumzimisha lakini M to the P natambaa na chaki alikuwa hatumii so alivyowekewa haikumletea madhara zaidi ya kupoteza fahamu kisha kuzinduka.

Miaka 13 ishapita leo tangia hilo tukio litokee.

M.A.P Albeto 120.
 
Inasikitisha Sana,mwaka mmoja baada ya post ya kuonywa akatangulia mbele ya haki.

Ngwair alikuwa kashatumia madawa ila MP to The P alikuwa Clean wakati wakiwa Club ,Wezi waliwawekea madawa ya kulevya kwenye vinywaji ili wazime kisha wawaibie Pesa ,kwakuwa Ngwair alikuwa tayari kashakula dawa kitendo cha kuwekewa nyingine ndiyo kikaenda kumzimisha lakini M to the P natambaa na chaki alikuwa hatumii so alivyowekewa haikumletea madhara zaidi ya kupoteza fahamu kisha kuzinduka.

Miaka 13 ishapita leo tangia hilo tukio litokee.

M.A.P Albeto 120.
Ngwair maisha kuiga
Unaweza kusema usela
Mavi
Langa naye ndio hivyo mambo ya kuiga na kugongeana kijitiki kmbe wengine wanachanganya na dawa
Na watoto dizain hiyo ukiwakanya ahhh utaporomeshewa kila aina
Ya lugha,utasikia braza we unajuwa nini acha kutuingilia...
Mwisho wa siku gari likiwaka ni balaaa

Ova
 
Habari wana JF,

Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.

Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..

Nawasilisha..
Hichi kipindi naona hakipo tena. UJENZI
 
Kama alitumia Crystal meth ndy balaa
Maana inapasua ubongooo...
Unaweza hadi kupata stroke...

Ova
Acha uongo kaka.
Mbona wabongo kibao hapa Mowbray Cape Town, mfano kina Hamad, Doja na Rasta Domi, wanatumia Meth na bado wanadunda.
 
Habari wana JF,

Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.

Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..

Nawasilisha..
It was well said
 
Ngwair maisha kuiga
Unaweza kusema usela
Mavi
Langa naye ndio hivyo mambo ya kuiga na kugongeana kijitiki kmbe wengine wanachanganya na dawa
Na watoto dizain hiyo ukiwakanya ahhh utaporomeshewa kila aina
Ya lugha,utasikia braza we unajuwa nini acha kutuingilia...
Mwisho wa siku gari likiwaka ni balaaa

Ova
Kweli mkuu ,vijana wanapenda kuiga na kudanganyana ,wengi wanaongopeana kwamba ukipiga MADUDE ukimkamatia manzi SHOW SHOW na wengine ndiyo kama hivyo kugongea MISUBA bila kujua source yake ndiyo hivyo wanapigwa COCKTAIL.
 
Habari wana JF,

Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.

Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..

Nawasilisha..
WAsanii gani kaw majina ambao wapo kwa sasa na wanatumia madawa , tuwaombee kwa Mungu waache?

Mambo ya kuombea marehemu hapana!
 
WAsanii gani kaw majina ambao wapo kwa sasa na wanatumia madawa , tuwaombee kwa Mungu waache?

Mambo ya kuombea marehemu hapana!
Wengi waliosemwa kwamba wanatumia enzi hizo baadhi washatangulia mbele za haki na wengine wameshaacha.

M.A.P Mak Malick(Simba) , Ngwair ,Langa ,Dogo Mfaume etc

Walioacha Lord IZI(Terror) ,Fanani , Ibra Da Hustler ,Byser etc

Wanaoendelea Simba la masimba Haujui.
 
Wengi waliosemwa kwamba wanatumia enzi hizo baadhi washatangulia mbele za haki na wengine wameshaacha.

M.A.P Mak Malick(Simba) , Ngwair ,Langa ,Dogo Mfaume etc

Walioacha Lord IZI(Terror) ,Fanani , Ibra Da Hustler ,Byser etc

Wanaoendelea Simba la masimba Haujui.
Mimi wacha tumuwekee Simba mla nyama toka ZnZ kwenye Maombi, kwanza Simba ajue vibinti vyake vinakuwa muosha huoshwa, na aache hizo issue tajwa, kama ni kweli .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom