huo ni uzushi na umbeya,mnyamwezi Ngwea anaishi na demu wake wa kishua,tena kwenye mjengo wa kueleweka ushuani uko.
umeenda kwenye msiba mkuu?
Kuna watu hawapendi sura zao!huu unga unavyozeesha unaanzia wapi kuutumia!!!kama unga ungefanya nizidi kuwa mzuri labda ningeweza kuutumia!
huo ni uzushi na umbeya,mnyamwezi Ngwea anaishi na demu wake wa kishua,tena kwenye mjengo wa kueleweka ushuani uko.
duh mkuu tunaskilizia mipango inakwendaje...sunajua mchizi amekatia mbali so ni mlolongo flan
Kuna Pusher humu anaitwa@matumbo ndio povu lilikuwa linamtoka, hatimaye Ngweair is no more na Mungu amuweke mahala anapostahili Amen.
amani kwa Kaka Voda Milionea
Washtue wanao waache poda wale mmea...
Jipange...
Haha nimepitia vyema uchambuzi wa JF.Kweli JF noma,kila kitu kinapatikana humu.AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA