chugaa
Member
- Nov 6, 2020
- 80
- 99
Wasalaam JF,
Kuna binti nimetokea kuwa naye kwenye uhusiano miaka miwili sasa. Nampenda jinsi alivyotulia mpole , mstaarabu ,mcha Mungu na asivyo na tamaa hana makuu. Tatizo Academic exposure yake ipo chini sana , sizungumzii ile exposure ya Kidimbwi na Juliana.
Kifupi huyu binti amesoma na kukulia kijijini kwao huko mkoani. Ni mwanamke mchapa kazi sana , Yeye jembe twende kila kitu twende . Ukimkuta kapendeza na kazi anazopiga huwezi kuamini. Sio mwanamke anayependa U'slay queen hata kidogo. Elimu yake ni form four ila kuna short courses flani alisomea. Na mimi Elimu yangu ni Degree.
Nimevutiwa na baadhi ya tabia zake mpaka sasa natamani nimuoe. Ni mtu anayenifanya nijihisi na amani hana yale mapicha picha.
Kwa sasa nimekaa naye kwangu kama mwaka hivi. Hana dalili zote za kunitia mashaka.
Tatizo alilonalo ni mtu mvivu wa kujifunza vitu na exposure ya masuala tu ya kawaida ya kijamii na Shuleni. Yaani mpaka sa nyingine napata tabu! Vitu vingi vya shule vya Academic vingi amesahau mpaka inshanagaza . Imefika hatua nawaza kumuacha nitafute mtu mwingine!!! Ila roho nyingine inaniambia kazana naye.
Je, naweza kumbadilisha vp awe na exposure maana alisoma huko kijijini kwenye shule za kata labda ndo maana ufahamu wake ni mdogo hivi? Naweza vp nikamnoa akili yake?
Kuna binti nimetokea kuwa naye kwenye uhusiano miaka miwili sasa. Nampenda jinsi alivyotulia mpole , mstaarabu ,mcha Mungu na asivyo na tamaa hana makuu. Tatizo Academic exposure yake ipo chini sana , sizungumzii ile exposure ya Kidimbwi na Juliana.
Kifupi huyu binti amesoma na kukulia kijijini kwao huko mkoani. Ni mwanamke mchapa kazi sana , Yeye jembe twende kila kitu twende . Ukimkuta kapendeza na kazi anazopiga huwezi kuamini. Sio mwanamke anayependa U'slay queen hata kidogo. Elimu yake ni form four ila kuna short courses flani alisomea. Na mimi Elimu yangu ni Degree.
Nimevutiwa na baadhi ya tabia zake mpaka sasa natamani nimuoe. Ni mtu anayenifanya nijihisi na amani hana yale mapicha picha.
Kwa sasa nimekaa naye kwangu kama mwaka hivi. Hana dalili zote za kunitia mashaka.
Tatizo alilonalo ni mtu mvivu wa kujifunza vitu na exposure ya masuala tu ya kawaida ya kijamii na Shuleni. Yaani mpaka sa nyingine napata tabu! Vitu vingi vya shule vya Academic vingi amesahau mpaka inshanagaza . Imefika hatua nawaza kumuacha nitafute mtu mwingine!!! Ila roho nyingine inaniambia kazana naye.
Je, naweza kumbadilisha vp awe na exposure maana alisoma huko kijijini kwenye shule za kata labda ndo maana ufahamu wake ni mdogo hivi? Naweza vp nikamnoa akili yake?