Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Mwanamke akikusaliti (Akikucheat) kwa Mwanaume mwingine, usikubali kumrudisha tena kwako.
Ili mwanamke akusaliti kuna vitu viwili husababisha.
Kama aliwahi kumcheat mwanaume wake yoyote ujue huyo ana tabia hiyo. Haijalishi sababu ilikua nini (hapa inabidi uwe na roho ngumu). Ndo hawa unakuta hawezi kuwa na mwanaume mmoja. Anaona haridhiki, kipesa, kihisia au kimawazo.
Mwanamke wa hivi anaweza fanya mapenzi na mwanaume hata bila kuwa na hisia naye. Anamuwekea mwanaume uchi hapo, apige akimaliza wamalizane.
Huyo wa aina ya pili ni kwamba si mvumilivu sana. Mapenzi sio mstari ulionyooka. Kuna kipindi kuna mazuri na kuna kipindi hakuna linaloenda sawa.
Wengine hawana uwezo wa kuvumilia ukiwa unapitia shida kifedha. Wengine hawana uwezo wa kuvumilia pale hisia zake kwako zikishuka.
Sasa kitendo cha yeye kwenda kwa mwanaume mwingine hadi kufikia hatua anavuliwa chupi, ujue haoni umuhimu wa kukutunzia wewe.
Haoni umuhimu wa kutunza uchi wake kwa ajili yako kwenye hicho kipindi mnachopitia. Mpaka kufikia hapo inamaana hisia zake kwako hakuna kabisa. Na ujue kwamba hisia za mwanamke hazina huruma na mtu hata kidogo.
Mwanamke hawezi penda mpenzi zaidi ya mmoja. Ukiona anapenda sehemu mbili ujue hana sifa ya kuwa mwaminifu, hasa kama ulikua umeshaingia naye kwenye mahusiano.
Akikucheat inamaana anakutumia. Kwake anasema ngoja niendelee kumuweka huyu ili jambo langu lisipofanikiwa kule nje basi niwe na sehemu ya kujipoozea (yani wewe).
Ndo maana ni muhimu kuwa na viwango vyako. Kuwa na misimamo yako. Mwanamke akikusaliti hiyo ndo imetoka, haijalishi ulimpenda kiasi gani.
Mana alikua na uwezo wa kusema muachane halafu akaenda kwa mwanaume mwingine kwa amani. Kweli, ungeumia! sababu unampenda lakini sio zaidi ya maumivu ya kusalitiwa na mwanamke unayempenda.
Na akishafanya vitu vyake huko, usimkubali tena. aukishamkubali tu, hatokuheshimu tena. Sababu sasa anajua huna mipaka. Anajua anaweza kukufanyia chochote na utamsamehe. Anajua huna msimamo!
Haijalishi amelia kiasi gani, baada ya muda atasahau hayo na atakumbuka kwamba hata akikusaliti huwezi muacha. Ni rahisi kurudia tena.
Na ukiona unamuonea huruma sana, mwambie mnaweza kuwa pamoja lakini si kama wapenzi tena. Japo sio jambo zuri mana anaweza akakuigizia mpaka ukajaa tena, ukamfanya mpenzi wako tena, alafu mzunguko ukajirudia tena.
Kuwa na Msimamo kumkataa Mwanamke asiyekufaa!
Share na Wengine wapate kujifunza.
Ili mwanamke akusaliti kuna vitu viwili husababisha.
- Ni danga, huwezi kumtuliza. Au
- Upendo wake umeisha kwako kihisia na vitendo, sio kimaneno.
Kama aliwahi kumcheat mwanaume wake yoyote ujue huyo ana tabia hiyo. Haijalishi sababu ilikua nini (hapa inabidi uwe na roho ngumu). Ndo hawa unakuta hawezi kuwa na mwanaume mmoja. Anaona haridhiki, kipesa, kihisia au kimawazo.
Mwanamke wa hivi anaweza fanya mapenzi na mwanaume hata bila kuwa na hisia naye. Anamuwekea mwanaume uchi hapo, apige akimaliza wamalizane.
Huyo wa aina ya pili ni kwamba si mvumilivu sana. Mapenzi sio mstari ulionyooka. Kuna kipindi kuna mazuri na kuna kipindi hakuna linaloenda sawa.
Wengine hawana uwezo wa kuvumilia ukiwa unapitia shida kifedha. Wengine hawana uwezo wa kuvumilia pale hisia zake kwako zikishuka.
Sasa kitendo cha yeye kwenda kwa mwanaume mwingine hadi kufikia hatua anavuliwa chupi, ujue haoni umuhimu wa kukutunzia wewe.
Haoni umuhimu wa kutunza uchi wake kwa ajili yako kwenye hicho kipindi mnachopitia. Mpaka kufikia hapo inamaana hisia zake kwako hakuna kabisa. Na ujue kwamba hisia za mwanamke hazina huruma na mtu hata kidogo.
Mwanamke hawezi penda mpenzi zaidi ya mmoja. Ukiona anapenda sehemu mbili ujue hana sifa ya kuwa mwaminifu, hasa kama ulikua umeshaingia naye kwenye mahusiano.
Akikucheat inamaana anakutumia. Kwake anasema ngoja niendelee kumuweka huyu ili jambo langu lisipofanikiwa kule nje basi niwe na sehemu ya kujipoozea (yani wewe).
Ndo maana ni muhimu kuwa na viwango vyako. Kuwa na misimamo yako. Mwanamke akikusaliti hiyo ndo imetoka, haijalishi ulimpenda kiasi gani.
Mana alikua na uwezo wa kusema muachane halafu akaenda kwa mwanaume mwingine kwa amani. Kweli, ungeumia! sababu unampenda lakini sio zaidi ya maumivu ya kusalitiwa na mwanamke unayempenda.
Na akishafanya vitu vyake huko, usimkubali tena. aukishamkubali tu, hatokuheshimu tena. Sababu sasa anajua huna mipaka. Anajua anaweza kukufanyia chochote na utamsamehe. Anajua huna msimamo!
Haijalishi amelia kiasi gani, baada ya muda atasahau hayo na atakumbuka kwamba hata akikusaliti huwezi muacha. Ni rahisi kurudia tena.
Na ukiona unamuonea huruma sana, mwambie mnaweza kuwa pamoja lakini si kama wapenzi tena. Japo sio jambo zuri mana anaweza akakuigizia mpaka ukajaa tena, ukamfanya mpenzi wako tena, alafu mzunguko ukajirudia tena.
Kuwa na Msimamo kumkataa Mwanamke asiyekufaa!
Share na Wengine wapate kujifunza.