Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Mtu kama huyo ni yule anayechagua mpenzi kwenye mabango ya matangazo, ama dancers wanaoonekana kwenye shootings za wasanii
 
yaani nakuambia kwa sasa mdogo wangu snowhite tumeshamshindwa kabisa.....
kahamia uchagani jumla.....
element ya kingoni iliyobaki kwake ni ya uteja tu.....
ila anaijua hela si mchezo.......

hahahahaha. Ukiwa Roma........ Tushampa hadi kyamba.
 
Last edited by a moderator:
Looks are deceiving my dear, at least to me. Honestly natamani kuwa kama avatar yangu na bado nina safari ndefu sana. Naupenda uafrika na ninavutiwa na mapambo na urembo wa kiafrica ndio maana niliichagua hiyo avatar.

Thanks kwa kuwa nimefanikiwa kuwafool watu humu including mwalimu. Lol
jamani ndivyo ulivyo ma dearest wala io kamba ni ujiko huo,
unapendeka sana na avatar yako inakuonyesha jinsi ulivyo.

tizama avatar ya Kaunga ama ya mwaJ yaani Kaunga ni mama wa sala muda wote na usoni pamoja na kilemba ndo kawa ivyo vyo, mwaj yeye ni mtu wa tabasamu muda wote hadi juzi nilimwambia hivi uajua kununa wewe?? manake 24/7 anatabasamua mdomoni lolz!
 
Last edited by a moderator:
Thank you!!!!




Ndio SnowBall inawezekana tena sana....................real love is the language of heart, hearts communicate themselves na kuambiana kuwa sisi tunapendana ama sisi hatupendani.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu huwa wanapenda avatar........watakuja kunyonywa damu siku moja......ndio watajua....
Mimi nakuzimikia sana Preta sijui nitakupataje? Yaani kila nikiangalia avatar yako napata msisimko wa hali ya juu, sijui nikuje huko Yaeda chini
 
Last edited by a moderator:
Lol! Mdogo wangu wewe umepinda! ha ha ha! Sauti zimefanyeje hapa? BTW umemissiwa.

Jamani dada huyooooo..........
Jamani penye ukweli mie naweka wazi, sauti yako yanivutia ....acha tu.
Hata nawe umemissiwa tu mamito
 
hii ipo sana humu ndani........ila watu wapunguze kujishaua........unakuta mtu kelele mingi kumbe kapuku......
btw......mambo vipi.....pasaka hiyo hapo ujue.........
Wewe bhana aah, ukiwa kapuku hutakiwi kuwa mnyonge bhana. Mtu lazima ujishaue tu, rusha jiwe lako gizani huko, litakayempata ndo salama yako. Chezeiya sisi wavuvi weye!.
 
Prisoner 46664 nambie mkuu kwa nini unasema wana 'issues'?
Hebu dadavua bana acha kubania...najua lara 1 angependa pia kusikia....chezeya avatar ya amber rose!

Ha ha..mkuu nilifanya sampling tu kidogo..na naweza nisiwe sahihi 100%..lakini naomba uniruhusu nisiseme sana..ila nikiweka record sahihi,nahisi amber rose amefunikwa sana na lara 1...
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mimi nakuzimikia sana Preta sijui nitakupataje? Yaani kila nikiangalia avatar yako napata msisimko wa hali ya juu, sijui nikuje huko Yaeda chini

haiyaaaa....we shauri yako...........tumezoea ID ya Mtambuzi ujue........sasa ukibadili sijui utabadili uitwe nani......usiche kunitumia PM.......
 
Last edited by a moderator:
haiyaaaa....we shauri yako...........tumezoea ID ya Mtambuzi ujue........sasa ukibadili sijui utabadili uitwe nani......usiche kunitumia PM.......

ID na Avatar yako yawakonga wengi nyoyo P
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom