Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Hahahahahahaha
mwl hapo kwa Kiranga umenimechekesha sanaaaaa! Me huyu nimekuwa niki mjudge kupitia comments(sorry off- topic kidogo)

Mimi pia naweza kusema gfsonwin ni simplificator.

Albert Einstein said "Everything should be as simple as it can be, but not simpler".

Perhaps my friend is attempting to make things simpler than they ought to be.
 
yap am sure.

kumbuka kwamba nilisema baadhi yao. and to me kuna avatar ambazo zina potray uhusika halisi wa mwenye nayo mfano Kongosho avatar yake inaonyesha tu kwamba huyu akili zake ziko resi na haziogopi kitu, angalia avatar ya King'asti inaonyesha wazi kwamba hili ni jembe na kwamba anasimama hata nafasi ya watu 5 mtu akizubaa.
tizama ya FP inaonyesha ni mtu decent sana na ndivyo alivyo. angalia ya pacha wako snowhite inaonyesha ni mtu anayependa sana kufanya nyumba kuwa nyumbani. hata ya Madame B inaonyesha jinsi alivyo mtundu
haya masifa ya kujirudia rudia haya...... sijui kichwa ntakibebaje!
asante sana rafiki yangu gfsonwin kwa hayo masifa, I am humbled!
Naogopa hata sijui nianzaje kumwaga masifa yako hapa, lol!
naamini wadada wengi sana tunatamani sana kuwa wewe........ kila mtu anaweza kujazia mengine kwa kadiri Mungu atakavyowajalia....
Unapendwa sana my dear
 
Last edited by a moderator:
haya masifa ya kujirudia rudia haya...... sijui kichwa ntakibebaje!
asante sana rafiki yangu gfsonwin kwa hayo masifa, I am humbled!
Naogopa hata sijui nianzaje kumwaga masifa yako hapa, lol!
naamini wadada wengi sana tunatamani sana kuwa wewe........ kila mtu anaweza kujazia mengine kwa kadiri Mungu atakavyowajalia....
Unapendwa sana my dear

Napenda avatar yako.. ndo ulivyo ee? Teh teh. Umemisiwa nami
 
Last edited by a moderator:
Mimi pia naweza kusema gfsonwin ni simplificator.

Albert Einstein said "Everything should be as simple as it can be, but not simpler".

Perhaps my friend is attempting to make things simpler than they ought to be.
Kiranga am someone very simple but very complicated to be understood.
 
Last edited by a moderator:
haya masifa ya kujirudia rudia haya...... sijui kichwa ntakibebaje!
asante sana rafiki yangu gfsonwin kwa hayo masifa, I am humbled!
Naogopa hata sijui nianzaje kumwaga masifa yako hapa, lol!
naamini wadada wengi sana tunatamani sana kuwa wewe........ kila mtu anaweza kujazia mengine kwa kadiri Mungu atakavyowajalia....
Unapendwa sana my dear

jamani ndivyo ulivyo ma dearest wala io kamba ni ujiko huo,
unapendeka sana na avatar yako inakuonyesha jinsi ulivyo.

tizama avatar ya Kaunga ama ya mwaJ yaani Kaunga ni mama wa sala muda wote na usoni pamoja na kilemba ndo kawa ivyo vyo, mwaj yeye ni mtu wa tabasamu muda wote hadi juzi nilimwambia hivi uajua kununa wewe?? manake 24/7 anatabasamua mdomoni lolz!
 
Last edited by a moderator:
Napenda avatar yako.. ndo ulivyo ee? Teh teh. Umemisiwa nami
Ningesikitika sana usingenimiss, lol!
Hiyo avatar karibu naanza kuilipisha, mdogo wangu kahamia uchagani atanisaidia kupanga bei maana kule kweli mambo ya biashara yametupita pembeni.......
Umesalimika lakini shem?
Umemisiwa pia
 
jamani ndivyo ulivyo ma dearest wala io kamba ni ujiko huo,
unapendeka sana na avatar yako inakuonyesha jinsi ulivyo.

tizama avatar ya Kaunga ama ya mwaJ yaani Kaunga ni mama wa sala muda wote na usoni pamoja na kilemba ndo kawa ivyo vyo, mwaj yeye ni mtu wa tabasamu muda wote hadi juzi nilimwambia hivi uajua kununa wewe?? manake 24/7 anatabasamua mdomoni lolz!
ha haaa, I hope watapita hapa kusoma haya masifa, lol!
Tunakupenda sana mdada
 
Ningesikitika sana usingenimiss, lol!
Hiyo avatar karibu naanza kuilipisha, mdogo wangu kahamia uchagani atanisaidia kupanga bei maana kule kweli mambo ya biashara yametupita pembeni.......
Umesalimika lakini shem?
Umemisiwa pia

Nsipoku miss wewe nta m miss nan? Tukianza kuilipisha tutapata hela. Halafu mdogo wako ndo keshakuwa mchaga tayari.. Mi nimesalimika kabisa.
 
AshaDii umeongea mambo mazito saaana...ni kweli kama kuna watu wamekusoma ulivyotaka usomeke basi watakuwa wameshiba kwa nasaha zako...Hapo nilipobold ndipo nimeshindwa kukusoma katikati ya mistari..please kama hutajali hebu rudia kwa faida ya mimi mdogo wako na wengine ambao wangependa wafaidike na nasaha zako.....
some people wanajenga fake personality kwenye forum na kusema ABCD wakati moyoni mwao ni WXYZ. occasionally hawa watu 'hukosea' na ku-comment their real nature na kama uko makini utawatambua. atleast ndio nilivyoelewa posti ya AshaDii 🙂 .
 
Last edited by a moderator:
Yap, ndio unaweza mpenda mtu kwa conversation zake tu bila kumwona, kama mie navompenda mtu fudenge humu........lol
 
Nsipoku miss wewe nta m miss nan? Tukianza kuilipisha tutapata hela. Halafu mdogo wako ndo keshakuwa mchaga tayari.. Mi nimesalimika kabisa.
yaani nakuambia kwa sasa mdogo wangu snowhite tumeshamshindwa kabisa.....
kahamia uchagani jumla.....
element ya kingoni iliyobaki kwake ni ya uteja tu.....
ila anaijua hela si mchezo.......
 
Last edited by a moderator:
Hapa tunazungumzia kumpenda mtu kupitia avatar si telepathy

Yap, ndio unaweza mpenda mtu kwa conversation zake tu bila kumwona, kama mie navompenda mtu fudenge humu........lol
 
Wanabodi habari za weekend??

Nakubali ndio MAPENZI ni 'phenomenon' ya ajabu...Mapenzi bana wanasema yanakujaga tu kama mvua...Na wengine wanasema ukipenda waweza kuwa kipofu..nyekundu ukaiona samawati na njano ukaiona kijani...Lakini pamoja na kizungumkuti kinachohusu mapenzi hivi katika hali ya kawaida..'WAWEZA MPENDA MTU KWA KUANGALIA AVATOR YAKE TU???............... Hebu ndugu zangu Eiyer, Nivea , Mr Rocky , Kaunga , Blaine , HorsePower, walimu wangu snowhite na gfsonwin , Mtambuzi , Jipu , saudari , Blue G, Kamanda Kazi, Yegoo na wengineo wengi nisaidieni hapa.....

hakuna mapenzi ya jinsi hiyo bali tamaa tu! mtu wa jinsi hiyo anakuwa katawaliwa na mawazo ya kutamani tamani kila gauni ilimradi tu akijua mwenye Avatar ni 'she'!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom