Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Sadifu basi na ya kwangu....

Mie je?.....
haya leo niko poa ngoja nianze kudondoka ma point ya old schoolmate SnowBall.
huwa binafsi nakulandisha na mtu ambaye kwanza yuko makini sana kumskiliza mtu na hili avatar zako zote mbili zime potray, pili u mtu mstaarabu sana kwamba huwa si mwepesi wa kukasirika ingawa huwa unaweza kuchukia jambo. Lakini pia wewe ni mtu usiyependa kumuumiza mtu as hata kama mtu anakosea huwez ukamkaripia ingawa utamsemesha kwa lugha ya kubembeleza sana.

unlike mtu kama mimi ambaye ukikosea nakupa makavu live.

kasoro kubwa kwako ni hii kwa kuwa u mwoga wa kumuumiza mtu basi unaweza kujikuta kwenye kundi la kuwa na marafiki wengi sana wa kike na tena wote waka pozi kama wapenzi kwako ilihali wewe hutak lkn kuwaambia unaogopa utawaumiza.

pia huwa ukishachukia umechukia kurudisha moyo wako nyuma ni ngumu sana. ingawa huwa uko very considerate.

Disclaimers: This is according to my own judgement and it shall not be taken for any reference outside this thread.
 
Last edited by a moderator:
SnowBall.. Fafanua kidogo rafiki.. Kupenda kwa namna gani coz hili neno ni pana kidogo.



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha ha.. gfsonwin unataka kuchukua mikoba ya Mtambuzi nini?
Yaani 'avatar' yangu ndo inasoma hivi?....lolz ...Umeingia choo cha kiume aiseee... Umepatia kidogo kwa mbaaali..
Ila asante kwa kujaribu....karibu tena!

haya leo niko poa ngoja nianze kudondoka ma point ya old schoolmate SnowBall.
huwa binafsi nakulandisha na mtu ambaye kwanza yuko makini sana kumskiliza mtu na hili avatar zako zote mbili zime potray, pili u mtu mstaarabu sana kwamba huwa si mwepesi wa kukasirika ingawa huwa unaweza kuchukia jambo. Lakini pia wewe ni mtu usiyependa kumuumiza mtu as hata kama mtu anakosea huwez ukamkaripia ingawa utamsemesha kwa lugha ya kubembeleza sana.

unlike mtu kama mimi ambaye ukikosea nakupa makavu live.

kasoro kubwa kwako ni hii kwa kuwa u mwoga wa kumuumiza mtu basi unaweza kujikuta kwenye kundi la kuwa na marafiki wengi sana wa kike na tena wote waka pozi kama wapenzi kwako ilihali wewe hutak lkn kuwaambia unaogopa utawaumiza.

pia huwa ukishachukia umechukia kurudisha moyo wako nyuma ni ngumu sana. ingawa huwa uko very considerate.

Disclaimers: This is according to my own judgement and it shall not be taken for any reference outside this thread.
 
Last edited by a moderator:
SnowBall.. Fafanua kidogo rafiki.. Kupenda kwa namna gani coz hili neno ni pana kidogo.

Hebu jielekeze kwenye mapenzi haya tu tunayoyafahamu wote......Kama ambavyo nilimjibu Eiyer hapa chini.....

Eiyer nazungumzia mapenzi...najua 'context' ya upendo ni pana..but ili mjadala ueleweke vizuri hebu jibane tu kwenye kona ya mapenzi (haya haya unayoyafahamu).................





Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Sadifu basi na ya kwangu....

Ha ha ha ha ha ha.. gfsonwin unataka kuchukua mikoba ya Mtambuzi nini?
Yaani 'avatar' yangu ndo inasoma hivi?....lolz ...Umeingia choo cha kiume aiseee... Umepatia kidogo kwa mbaaali..
Ila asante kwa kujaribu....karibu tena!
najua huwez kukubali ukweli lolz!
ngoja nitakuja na details za watu wa aina yako.
 
Aaah wapi! Telepathy inakuwepo. Lakini si ya kupenda. Unataka kuniambiaje kuhusu avatar yangu ama yako kwa mfano?

Mimi bwana sihukumu kitabu kwa cover yake. Nataka kusoma mwanzo mwisho. Na nategemea surprises kwa kila mtu including myself. Niko careful kuhusu 'kupenda'. Naweza kukufahamu mwaka mzima na nisikupende japo nitakuwa nakumiss kama kampani yako iko poa. Na nikipenda utajuuta kama ulikuwa unabip hehehe!

Hi ! King will you remain online?-
 
Tusidanganayane ... unaweza kuzoena na mtu bila kumjua ukampenda online ... hata ukija kukutana naye in real time ..haijalishi tena yuko je ... unaondoka naye .... cha msngi labda usijiachie ukazoena na mtu kabala ya kumuona ... but there is a time there is no going back ...
 
Mmmh... Jamani mambo ya Avatar haya ni noooma..!
Kuna mkaka humu nilizoeana nae sana, kujumlisha na ile avatar yake, nakahisi atakuwa anafanana nayo kimtindo..!
Aliponiambia tuonane sikusita..! Nilipoonana nae sikuamini macho yangu hata kidogo..!
Mmmh... Kihere here cha kushoboka na Avatar kikaniisha tangu siku hiyoo..!
 
Mmmh... Jamani mambo ya Avatar haya ni noooma..!
Kuna mkaka humu nilizoeana nae sana, kujumlisha na ile avatar yake, nakahisi atakuwa anafanana nayo kimtindo..!
Aliponiambia tuonane sikusita..! Nilipoonana nae sikuamini macho yangu hata kidogo..!
Mmmh... Kihere here cha kushoboka na Avatar kikaniisha tangu siku hiyoo..!

Huvutiwi na maana ... katika maadishi ya mtu? anavyojielelza na kuona mambo ..hiyo ni bora zaidi ..au vipi?
 
Hebu jielekeze kwenye mapenzi haya tu tunayoyafahamu wote......Kama ambavyo nilimjibu Eiyer hapa chini.....

Kwa mtazamo wa mapenzi hayo.. Nafikiri haiwezekani. .. (Haiwezekani kwa sababu huwezi kupenda vitu vya kufikirika lolz... )

Ingawa unaweza kuvutika kumjua zaidi huyo aliyenyuma ya keyboard.







Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
[/QUOTE]



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahahah, aise, kumbe eeh......
Unajua watu hudhani
kuwa......maisha ya JF ndio maisha halisi ya mtu.....humu tuna
majambazi.....wachawi.....mabazazi......na kila aina.....sasa niambie
ndo umefall kwenye avatar ya Preta.....kumbe mchawi.......imefika muda
wake wa kutoa mgao huko uchawini......hana.......bahati nzuri ndo
ushajipendekeza......hujatolewa kafara mkuu.....? think....
 
jamani ndivyo ulivyo ma dearest wala io kamba ni ujiko huo,
unapendeka sana na avatar yako inakuonyesha jinsi ulivyo.

tizama avatar ya Kaunga ama ya mwaJ yaani Kaunga ni mama wa sala muda wote na usoni pamoja na kilemba ndo kawa ivyo vyo, mwaj yeye ni mtu wa tabasamu muda wote hadi juzi nilimwambia hivi uajua kununa wewe?? manake 24/7 anatabasamua mdomoni lolz!
gfsonwin hivi unajua unanisababishia matatizo wewe? Mie nina alergy na sifa. Nikisifiwa bichwa huwa linakuwa kubwa sana! Lol!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom