Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

hii ipo sana humu ndani........ila watu wapunguze kujishaua........unakuta mtu kelele mingi kumbe kapuku......
btw......mambo vipi.....pasaka hiyo hapo ujue.........

Haaa!!
Preta ulivyojibu kwa uhakika mpenzi.
Ila kweli ngoja nami nimuulize Yericko Nyerere kwa nini hakoment uzi wangu siku hzi.
Mie ni muhanga ati, bonge la Avatar, simu na chartn nyingi za mapenzi mpaka night kali, siku ya siku, kumbe ni Boss wangu Manispaa,ila nashukuru,ananisaidia sana maswala ya kikazi japo sijaanzisha nae mahusiano.
ID hz, we acha tu.

Mambo Poa,Pasaka bhana nina mpango wa kuja huko Arusha kwa wakwe.
Nipokeeni tu.
 
Last edited by a moderator:
SnowBall kazi inakuwa kubwa sana mtu anaposema tuonane na wewe ulishafall kwa avatar!

Ruttashobolwa umeongea vitu vya muhimu sana mkuu..sio siri sisi binadamu ni 'complex creature'...kuna wengine kupitia avatar hawataki kufahamika na kuna wengine kupitia avatar wanataka wajulikane..kaazi kweli kweli....
 
Last edited by a moderator:
Nipitie hapo Korogwe basi kama vipi?.....


Haaa!!
Preta ulivyojibu kwa uhakika mpenzi.
Ila kweli ngoja nami nimuulize Yericko Nyerere kwa nini hakoment uzi wangu siku hzi.
Mie ni muhanga ati, bonge la Avatar, simu na chartn nyingi za mapenzi mpaka night kali, siku ya siku, kumbe ni Boss wangu Manispaa,ila nashukuru,ananisaidia sana maswala ya kikazi japo sijaanzisha nae mahusiano.
ID hz, we acha tu.

Mambo Poa,Pasaka bhana nina mpango wa kuja huko Arusha kwa wakwe.
Nipokeeni tu.
 
Last edited by a moderator:
Mwl snowhite hicho kitanda ulicho kiweka kimemaanisha nini?

si unajua mwalimu mimi huwa sipendi kutoa jibu moja kwa moja!lazima nikupe kazi ufikir
hebu itafakari ID yangu!kisha itafakari avatar yangu kisha izingatie signature yangu kisha jifikirishe comments zangukisha utapata jibu!sawa?
 
Usidhani kama nimeisahau ile ya wakati ule kabla ya hiki kikatuni... so mi nakujaji kutokana na ileeeeeeeee....

Mh, we nawe.
Lol, pamoja na kuiweka kwa dk 2 ulishaiona,
Duh!
Tuko we kiboko
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Haaa!!
Preta ulivyojibu kwa uhakika mpenzi.
Ila kweli ngoja nami nimuulize Yericko Nyerere kwa nini hakoment uzi wangu siku hzi.
Mie ni muhanga ati, bonge la Avatar, simu na chartn nyingi za mapenzi mpaka night kali, siku ya siku, kumbe ni Boss wangu Manispaa,ila nashukuru,ananisaidia sana maswala ya kikazi japo sijaanzisha nae mahusiano.
ID hz, we acha tu.

Mambo Poa,Pasaka bhana nina mpango wa kuja huko Arusha kwa wakwe.
Nipokeeni tu
.
am i missing something here?
cc gfsonwin na Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
Usinambie unaipenda avatar yangu....really?
Mbona ntaruka nishangilie....(am kidding)..
Madame B kweli waipenda avatar yangu?
kheee sasa lileswali hata sijajibu vizuri hata kbala ya mila hazijafanyikaushaanza kuruka ruka na avatar ya Madame B
ahahahahhahah kweli avatar hizi avatar zina mambo!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom