Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
baadhi ya avatar huwa zinazungumza sana tu haihitaj akil ya darasani ili kujua kama muhusika anasadifu avatar yake kwa baadhi ya watu.
mfano: huthitaj hata akili ya darasani kujua kwamba akili ya Kongosho iko mbele kama mshale na kwamba hajui kumwogopa mtu na ndio maana hata njian yeye anataka kunyonya.
angalia avatar ya King'asti alivyo tu unajua huyu ni mtu wa kazi kwake hakuna masihara na ukicheza anaweza kukuchapa mkono.
angalia avatar ya FP alivyo unapata picha kabisa ni mtu decent na asiyependa makuu.
angalia avatar ya Madame B yaani inaonyesha kabisa na yeye yuko hivyo wale wa jukwaa lile watanielewa(joke)
angalia avatar ya Mtambuzi imekaa kipaparazzi sana na ndivyo alivyo.
hawa ni wachache tu ambao nimejaribu kuonyesha avatar zao zinavyowasadifu.
mtu kama Kiranga yaani utajua tu ni complicator.
Napenda avatar yako na unavyoandika. Halafu kuna kitu kingine zaidi
Last edited by a moderator: