Faraja Zungu
Member
- Sep 9, 2025
- 5
- 3
Warp cloudNdio ipi hiyo
Warp cloudNdio ipi hiyo
Gwa kokajaMi nko mpakani
Nikitaka ingia JF ama X navuka mpaka nasoma nakoment zeni narudi malawi
Kwisha habari yao. Inabidi watunge sheria ya kukataza Opera miniTumieni opera mini browser hizi tovuti zote walizofungia bongo utapata bila VPN
Hiyo itakuwa wanavuka mipaka sasa.Jiwe mwenyewe hakuwa na ujinga wa hivi sijui hili darasa wamepata wapi?(yeye alikuwa anawaza malaika wamsaidie tu kufungia mitandao)Kwisha habari yao. Inabidi watunge sheria ya kukataza Opera mini
Download opera mini app huko utakuta kila kituIv wadau kwenye zamani twitter sasa x unafanyaje ili kuangalia account za mambo ya minyanduano maana nimeingia leo nakuta haingiliki
Sijakupata bado mkuu opera mini app inakuaje maana nataka kuona kwenye zamani twitter au sasa xDownload opera mini app huko utakuta kila kitu
Kama unashindwa kupata X(twitter) login ni kwamba access imekuwa denied na wenye mamlaka.Download Orbot app kwenye playstore(kama huwezi kuafford paid VPN) hii ni free.Ukishafanya installation nenda kwenye choose app,add X na app nyingine unazopenda then activate Orbot utakuwa huru.Lakini home boy mambo ya zinaa acha nayo.Sijakupata bado mkuu opera mini app inakuaje maana nataka kuona kwenye zamani twitter au sasa x
Mkuu mbona nime download iyo app ya orbot nikaenda kwenye chooses app nika add x nika save pia nimeingia x bado nakuta hazifunguki izo accountKama unashindwa kupata X(twitter) login ni kwamba access imekuwa denied na wenye mamlaka.Download Orbot app kwenye playstore(kama huwezi kuafford paid VPN) hii ni free.Ukishafanya installation nenda kwenye choose app,add X na app nyingine unazopenda then activate Orbot utakuwa huru.Lakini home boy mambo ya zinaa acha nayo.
Hizo account nyingi zilikuwa suspended na X kwa muda japo bado kuna baadhi ziko active mpaka sasa.Kingine inaweza kuwa internet yako iko chini eneo ulipoMkuu mbona nime download iyo app ya orbot nikaenda kwenye chooses app nika add x nika save pia nimeingia x bado nakuta hazifunguki izo account
Ni vigumu sana kuzuia VPN, zina bypass hadi barriers za wachina ndiyo ije iwe bongo hii😂😂😂😂😂😂😂 oya vpn ni ngumu sana kuzuia japo mm siyo IT lakin ni ngumu sana