Unatumia VPN gani?

Unatumia VPN gani?

Habar za muda huu .
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu. Na hali inayoendelea sasa jamii forums tuambie unatumia VPN gani kuingia kwenye hili jukwaa.

Mm natumia thunder VPN ipo vizuri inanisaidia X zamani twitter na hapa jamii forums.

Tuambie wewe unatumia ipi hivi ikitokea moja imezingua tuwe na chaguo lingine .

#Kaata_wahuni
#free_jamiiforums
#free_twitter
Ya kwangu inaitwa jambaroot vpn
 
sasa wamefungia nini 😂😂😂😁
 
Ni mwendo wa kuruka na extension tu😎
Screenshot_20250906_222958_Edge.jpg
 
Habar za muda huu .
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu. Na hali inayoendelea sasa jamii forums tuambie unatumia VPN gani kuingia kwenye hili jukwaa.

Mm natumia thunder VPN ipo vizuri inanisaidia X zamani twitter na hapa jamii forums.

Tuambie wewe unatumia ipi hivi ikitokea moja imezingua tuwe na chaguo lingine .

#Kaata_wahuni
#free_jamiiforums
#free_twitter
Na mimi natumia thunder iko poa sana
 
Back
Top Bottom