Unatumia unit ngapi za LUKU kwa siku?

Unatumia unit ngapi za LUKU kwa siku?

Familia ya watu wa 4, tv on almost 24 hrs, fridge haizimwi, pasi mara kadhaa, kucharge simu all the time.

Tuna average units 3.5 kwa siku.
Na Mie ndio hiyo Niko alone friji , feni security lights ,AC sigusi na pasi kila siku asubuhi.
 
Huyu

Huyu jamaa atakua anataa tuu
Inawezakana kutumia umeme huo, nina familia ya watu 3 kwa mwezi natumia umeme wa 5000 sawa na unit 41 nawasha friji, feni 3, tv 2, rice cooker, brender, pump ya maji, pasi na vacuume cleaner, natumia hizo unit 41 confortably hadi mwezi mwingine, maji natumia unit 3 hadi 4 kwa mwezi
 
12,000BTU ni roughly 3.5kW = 3500W, kwa power ya namna hiyo kama unatumia hiyo AC 10hrs mfulilizo maana yake ni kwamba 3500W X 10hrs = 35,000Whr sawa na 35kWh. Unit moja ni 1kWh hivyo kwa masaa kumi itatumia 35Units. Hapo sijaweka factor ya size ya room which is also very important.

Kama nimekosea nirekebishwe fastaaa!
Du! Iyo itakuwa AC au jokofu la muhimbili la kuifadhi maiti
 
Binafsi sina uwezo wa kutumia AC kwa sababu wengi niliongea nao wanaomiliki AC wanasema umeme wa 10,000 (28+units)kwa siku hautoshi, especially kama unatumia nonstop.

Umeshawahi kuishi nyumba yenye AC na kununua umeme wake? Labda unaweza kuwa na practical experience.
Labda zile AC za kutoboa ukuta ila sio izi za kisasa
 
Back
Top Bottom