Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,420
- 5,700
AC huwa nikiwasha muda mrefu sana ni 3hrs lakini mara nyingi chumba kikishakuwa na ubaridi nazima. Sio kubwa sanaUnawasha masaa mangapi AC? Na kama hutojali AC yako ina ukubwa kiasi gani?
AC huwa nikiwasha muda mrefu sana ni 3hrs lakini mara nyingi chumba kikishakuwa na ubaridi nazima. Sio kubwa sanaUnawasha masaa mangapi AC? Na kama hutojali AC yako ina ukubwa kiasi gani?
Kitu cha kwanza tafuta fundi atenganishe mifumo,namaanisha akutoe kwenye mfumo wa pamoja akutengenezee wa kwako peke yako,Naomba kufahamu utaratibu wa kuwa na luku ya peke yangu katika fremu ya Biashara. Nina matumizi makubwa ya umeme ukilinganisha na fremu zingine. Natamani kufahamu hili ili kuondoa migogoro ya siku za mbeleni. Asante TANESCO
Sijui labda inategemea aina ya friji na friji, rfeezer ndiyo inakula sana umeme kiongoziFriji halizimwiii 24hrs hlf atumie unit 1/2 kwelii??
Nialike nije kukulinda tupunguze security lights hapo unaweza shuka hadi units 2Na Mie ndio hiyo Niko alone friji , feni security lights ,AC sigusi na pasi kila siku asubuhi.


Mita za umeme zipo constant, kadri matumizi yako ni makubwa hvyo cost zinakuwa nyingi, vtu vya umeme vinakuwa rated na kitu kina inaitwa "watt" hapo ndipo siri kubwa ilipofichwa ambayo watu wengi hawaijui, soma taa zako zina watt ngapi then zidisha mara masaa ya kuwaka kwake then gawanya kwa 1000 hapo ndipo utajua chombo chako kinatumia unit ngapi then baada yahapo unaweza kupunguza matumizi. " watt×hrs/ 1000 = total unit consumption
We ni mlinzi WA kampuni gani?Nialike nije kukulinda tupunguze security lights hapo unaweza shuka hadi units 2
This is too good to be true.Inawezakana kutumia umeme huo, nina familia ya watu 3 kwa mwezi natumia umeme wa 5000 sawa na unit 41 nawasha friji, feni 3, tv 2, rice cooker, brender, pump ya maji, pasi na vacuume cleaner, natumia hizo unit 41 confortably hadi mwezi mwingine, maji natumia unit 3 hadi 4 kwa mwezi
Una vifaa gani ndani. Usije kuta una bulb 4 tu za watt 10 pekee.natumia unit 0.5 kwa siku..mwezi unit 15
KK SecurityWe ni mlinzi WA kampuni gani?
Its true you got to believe me, nimekua nikitumia tariff hii tokea 2012 hadi leo hii, sijawahi kutumia zaidi ya umeme wa 10000 kwa mweziThis is too good to be true.
Hiyo haina raha mzee baba, chukua kitu cha Samsung.. yaani bariiidi .. huku kinadedisha mbu kama wamejipendekezaKuna haja ya kuagiza AC ya solar toka china.
huu ni uwongo, unless kama ivyo vifaa haviwashwi mwezi mzimaInawezakana kutumia umeme huo, nina familia ya watu 3 kwa mwezi natumia umeme wa 5000 sawa na unit 41 nawasha friji, feni 3, tv 2, rice cooker, brender, pump ya maji, pasi na vacuume cleaner, natumia hizo unit 41 confortably hadi mwezi mwingine, maji natumia unit 3 hadi 4 kwa mwezi
Acha uongo we jamaa😃😃😃 kama unachajia simu tu bila taa ntaaminiUmeme wa buku 2 wiki 2